Upinzani unazidi kumuweka mbali Tundu Lissu na kujiweka karibu na Serikali za CCM

Upinzani unazidi kumuweka mbali Tundu Lissu na kujiweka karibu na Serikali za CCM

Binafsi ninamuona TUNDU LISSU kama MWANAHARAKATI zaidi....kaliba hiyo ANAYO.

Simuoni kuwa ni mwanasiasa sana hasa siasa zetu za Afrika.

Tundu Lissu angekuwa anafanya siasa katika nchi za "kiliberali"ama hata za CONSERVATIVE kama kule Marekani na UINGEREZA.

Huko angefanikiwa ZAIDI lakini si katika nchi zetu...hususani sisi tulio katika ujamaa na kujitegemea.

Na ukitaka kujua jamaa ni mliberali mwenye FREE THINKING angalia mwenendo wake,hotuba zake na hata KAZI ZAKE KAMA WAKILI.

Ningemshauri asome tena shahada ya 3 abobee zaidi na kuomba kazi ya kufundisha SHERIA NA UTAWALA huko aliko....hili linamfaa ZAIDI!!

Siasa za upinzani za Tanzania awaachie tu akina Mbowe,Maalim Seif na Zitto Kabwe.


Muuza Al Kasus
Tandale
 
Chuki yake binafsi kwa raisi Magufuli haisadii wenye akili wamemuonyesha hakuna adui wa kudumu kwenye siasa!
 
Upinzani sio chadema na act, upinzani ni imani ambayo ipo kwenye mioyo ya watu, hata chadema nzima na act wakiamua kuunga juhudi bado watatokea wapinzani wengine na wataendelea kutokea tu, upinzani sio chama ni imani
 
Upinzani sio chadema na act, upinzani ni imani ambayo ipo kwenye mioyo ya watu, hata chadema nzima na act wakiamua kuunga juhudi bado watatokea wapinzani wengine na wataendelea kutokea tu, upinzani sio chama ni imani
Nimekuelewa manka!
 
Kitendo cha wabunge wa Chadema kuapishwa Dodoma chini ya kiongozi mkongwe na mwenyekiti wa Bawacha ni kujitenga na falsafa za Tundu Lisu za kususa na "kugomea"...
Mbona Nondo Abuduli kasema mashtaka yako pale pale hata kama wamekubali kuungana na mwinyi
 
Imeisha hiyo
IMG-20201206-WA0033.jpg
 
Kitendo cha wabunge wa Chadema kuapishwa Dodoma chini ya kiongozi mkongwe na mwenyekiti wa Bawacha ni kujitenga na falsafa za Tundu Lisu za kususa na "kugomea"

Kitendo cha ACT Wazalendo kujiunga na SUK huko Zanzibar ni ishara tosha ya kumtenga Tundu Lissu na wakili wake Amsterdam huko ICC.

Kiufupi, Tundu Lissu ameachwa mpweke na rafiki zake.

Maendeleo hayana vyama!
Mkuu nilikuwa siamini uchawi Ila sasa maamini uchawi upo.
 
Back
Top Bottom