Upinzani watangaza mapambano 2008

Upinzani watangaza mapambano 2008

Yeye Zitto yuko huko wapi? Na wewe uko wapi? Inaonekana na wewe uko karibu na Mushi! Ha ha aaaaaaa.

Nisamehe ndugu, nimeshindwa kujizuia.

Mushi yuko mbali sababu maalum. Pili, hatujui hata kidogo Mushi mchango wake ni nini. Kumbuka wote hatuwezi kuwa Wabunge. Mushi akituma fedha kwao pia ni mchango. Hatuwezi kusema lolote kuhusu mchango wa Mushi.

Pia, Mushi hajaenda kuomba kura watu anao waita wasaliti.

Mushi anafanya nini wakati wapinzani wakizunguka nchi nzima? Huu ni usaliti zaidi ya kina Marando anaowaona kuwa ni wasaliti
 
Kwahiyo kwasababu siko kwenye ulingo wa kisiasa basi nisiseme kina Laswai na Kaborou ni wasaliti?

Hiyo ni juu yako ila kwangu wewe unaonekana msaliti tu kuliko hao kina Lamwai unaowaona wasaliti.
 
Na ndio maana nasema unajikomba!
Hivi Zitto mwenyewe aliyekuwepo hapa mbona hakusema nimemtukana?

Unatumia maneno ya kujikomba na wakati unaweza kujikuta wewe ndio unajikomba hapa.
 
Mushi anafanya nini wakati wapinzani wakizunguka nchi nzima? Huu ni usaliti zaidi ya kina Marando anaowaona kuwa ni wasaliti
Kwahiyo kwa mara nyingine unajaribu kusema kuwa wana jf ni wasaliti kwasababu hawazunguki Tanzania?
Ama this time ni Mushi peke yake?
Ni nini? mbona umeudhika kuliko Zitto mwenyewe?
Ama kweli wapambe NUKSI!
 
Kwahiyo kwa mara nyingine unajaribu kusema kuwa wana jf ni wasaliti kwasababu hawazunguki Tanzania?
Ama this time ni Mushi peke yake?
Ni nini? mbona umeudhika kuliko Zitto mwenyewe?
Ama kweli wapambe NUKSI!

Wewe huwezi kuwa kwenye maisha yako unafurahia na ukaita watu wanaopigania masilahi ya watanzania kuwa ni wasaliti.
 
Mushi anafanya nini wakati wapinzani wakizunguka nchi nzima? Huu ni usaliti zaidi ya kina Marando anaowaona kuwa ni wasaliti

Atazunguka nchi nzima ya Australia au Cambodia, au kokote aliko anakosoma?

Mimi naomba unijibu kama Zitto nae kaharibu na faux pas yake ya 'wasaliti ni wananchi...'
 
Wewe huwezi kuwa kwenye maisha yako unafurahia na ukaita watu wanaopigania masilahi ya watanzania kuwa ni wasaliti.
We naona unapiga domo tu hapa!
Hivi umesoma posting za Zitto?
Umesoma pale alipotoa mfano kutoka kwa Dr Mtei kuhusu safari ya treni kuelekea Kigoma?
Mbona unataka ku act klama vile mimi ni mpinzani wa Zitto?
Ama ni uchonganishi wako hapa?
 
Kuhani na JM1,

naona mnamwi-engage jamaa kwa "small arms fire," very interesting!!. Na swali dogo, hivi kwa kamusi ya kiswahili (ile webster kwikwikwi) neno saliti/msaliti/kusaliti lina maana gani??

nitakuwa nimenyuti mitaa hii nasikilizia jibu/majibu........

asante.
Hapana Mkuu!
Huyu jamaa anataka kunichonganisha na Zitto!
Kuimply kuwa eti nimemtukana Zitto!
 
Kuhani na JM1,

naona mnamwi-engage jamaa kwa "small arms fire," very interesting!!. Na swali dogo, hivi kwa kamusi ya kiswahili (ile webster kwikwikwi) neno saliti/msaliti/kusaliti lina maana gani??

nitakuwa nimenyuti mitaa hii nasikilizia jibu/majibu........

asante.

Neno lenyewe lililo tumiwa ni 'traitors.' Sisi tumetafsiri.
 
Traitors ni wale Watanzania ambao wamekaa tu na kusubiri wengine wahangaike kuleta mageuzi. Ni wale wanaokaa bila mchango wowote katika mabadiliko ya kisiasa nchini petu. Ni wale wanaokaa na kulaumu wenzao na kusubiri wakosee wawaseme. Ni wale ambao wanadhani siasa ni tamu na hivyo wanasiasa tunafaidi ilihali tunarisk maisha na hata kutojiendeleza. ......

Hiki ndicho Zitto amesema
 
Atazunguza nchi nzima ya Australia au Cambodia, au kokote aliko anakosoma?

Mimi naomba unijibu kama Zitto nae kaharibu na faux pas yake ya 'wasaliti ni wananchi...'

Zitto amesema yafuatayo...

Zitto said:
Traitors ni wale Watanzania ambao wamekaa tu na kusubiri wengine wahangaike kuleta mageuzi. Ni wale wanaokaa bila mchango wowote katika mabadiliko ya kisiasa nchini petu. Ni wale wanaokaa na kulaumu wenzao na kusubiri wakosee wawaseme. Ni wale ambao wanadhani siasa ni tamu na hivyo wanasiasa tunafaidi ilihali tunarisk maisha na hata kutojiendeleza. ......

Zitto ametoa qualified statement.
 
We naona unapiga domo tu hapa!
Hivi umesoma posting za Zitto?
Umesoma pale alipotoa mfano kutoka kwa Dr Mtei kuhusu safari ya treni kuelekea Kigoma?
Mbona unataka ku act klama vile mimi ni mpinzani wa Zitto?
Ama ni uchonganishi wako hapa?

Maneno yako ndio yanakufunga na wala sio mimi!
 
Hiki ndicho Zitto amesema
Hiyo ni definition yake yeye binafsi..Na yuko entitled to!
Kwangu mimi Traitors ni kina Marando,Laswai pamoja na Kaborou!
Sasa kumwambia Zitto kuwa hatutaki na yeye aingie kwnye grupu hilo ndio we unaita u traitor?
 
Hiyo ni definition yake yeye binafsi..Na yuko entitled to!
Kwangu mimi Traitors ni kina Marando,Laswai pamoja na Kaborou!
Sasa kumwambia Zitto kuwa hatutaki na yeye aingie kwnye grupu hilo ndio we unaita u traitor?

Kwa wewe hujapigania mambo ya watanzania kama kina Marando na unaonekana msaliti kuliko wao. Unasubiri wenzake walime kisha wewe uje kuvuna. Hata huna aibu?
 
Zitto amesema yafuatayo...



Zitto ametoa qualified statement.

Mbona hukuileta hii kama si UPAMBE?

Mzee Mtei husema mapambano ya kisiasa ni kama gari moshi liendalo Kigoma. Kuna abiria watashuka Pugu (chemponda etc) wengine morogoro (msabaha etc), wengine Kilosa (Lamwai etc), wengine Dodoma ( Tambwe Hiza etc), wengine Manyoni (Kabourou etc), wengine Kintinku (Akwilombe etc) na bado kuna wengine watashuka gari moshi linavyozidi kwenda. Ila kuna wengi watapandia Tabora, Urambo na Hata Luiche kuelekea kituoni Kigoma. Kuna wengine watajaribu kudandia tutakapokuwa tunatia breki Kigoma ili nao wawemo katika ushindi. Gari moshi hili linabadili madereva kila inapofaa.

 
Maneno yapi hayo yananifunga?

Kuita watanzania wanaopigana kila siku na ufisadi kule Tanzania kuwa ni wasaliti wakati wewe umekimbia na kujificha huku ukisubiria wenzako walime kisha ujitokeze kuvuna.
 
Zitto yeye amesema(while quoting Dr Mtei) Kuwa hao watu walishuka kwenye treni!
Hajasema kuwa ni Traitors!
Like i said hiyo ni definition yake yeye na maybe Mzee Mtei!
Yangu mimi ni kuwa hawa watu ni Traitors wa maendeleo ya Mtanzania!
 
Back
Top Bottom