Upinzani watangaza mapambano 2008

Si nimemwambia namba ya Zitto iliwekwa wazi hapa na yeye anabisha?
Sasa mi nilitaka kumwambia kuwa sijikombi na i will never do that! Ningetaka kufanya hivyo ningeweza!

yaani wewe uniambie tu halafu nikubali kwa vile umesema? mimi sijabisha nimeulizwa iliwekwa wapi na kama unayo kwanini usimuulize yeye mwenyewe?

Sasa kuniita kichaa kunafanya vipi hoja zako kuwa na nguvu?
 
We will find out!
Ili mradi nisifungiwe hapa!
Ofcourse i have never disrespected nobody!

Mko wangapi kwa ajili ya kazi hiyo maana umesema kuwa 'we " ina maana mko wengi au ni wewe pekee mwenye jukumu la kufind out?
 
Mkjj,kausemi kako kalisema wakikosa hoja wanaleta vioja..............

Na ile thread ya Kikwete kuwaambia viongozi wake wasijali kuitwa mafisadi nayo ilkuwa ni kioja?
Na ile ya Kikwete akataa Balali asiltwe pia unaiita kioja?

Walks like a duck..
 
Mko wangapi kwa ajili ya kazi hiyo maana umesema kuwa 'we " ina maana mko wengi au ni wewe pekee mwenye jukumu la kufind out?

You will find out..Kama kweli Kikwete akifanya mambo safi kama kina Zitto wanavyotaka tuamni then kwanini nisbadili mawazo?
 
Wakati sisi tuna mpa presha Zitto yeye anachotakiwa ni kumvutia Muungwana waya na kumweleza concern zetu kuwa anaweza kumgeuka Zito na hivyo ku facilitate kifo chake kisiasa!
Sina nia mbaya hapa ni lazima tuelewane!
 
Na ile thread ya Kikwete kuwaambia viongozi wake wasijali kuitwa mafisadi nayo ilkuwa ni kioja?
Na ile ya Kikwete akataa Balali asiltwe pia unaiita kioja?

Walks like a duck..

Hizi zote zilikuwa ni reported speech ,sasa sikuelewi unataka kusema nini hapa.
 
Je Zitto Ana Msimamo Gani Kuhusu Ukamatwaji Wa Mafisadi?
 
Wakati sisi tuna mpa presha Zitto yeye anachotakiwa ni kumvutia Muungwana waya na kumweleza concern zetu kuwa anaweza kumgeuka Zito na hivyo ku facilitate kifo chake kisiasa!
Sina nia mbaya hapa ni lazima tuelewane!


Lazime tuelewane? wewe na nani mna mpe presha Zitto? na kwanini Zitto. Ukitaka JK afanye kitu kwa sababu ya pressure.. wape wabunge wa CCM.
 
Zitto ametaka lini muamini kuwa Kikwete atafanya mambo safi?

Si anasema tutoe muda tu kila siku kwa swaiba wake kuhusiana na ripoti ya kamati ya madini?
Na wewe si umeshaweka hilo wazi?
Sasa hapa nani anamchanganya nani?
 
Hapa ngoja kwanza nikanywe Karubisi kangu kidogo then i will come back kwani Dr. Slaa kasinda kakesi bwana wewe, ntakutana na mugisha pamoja na Ruttakolezibwa bwana hapo sleepway... karibuni
 
Si anasema tutoe muda tu kila siku kwa swaiba wake kuhusiana na ripoti ya kamati ya madini?
Na wewe si umeshaweka hilo wazi?
Sasa hapa nani anamchanganya nani?

Alisema lini haya? Huu uswahiba wa Kikwete na Zitto umeanza lini???!!??!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…