zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Mkuu pengine ni mgeni kwenye siasa. Opposition nyingi sana duniani huwa zina malengo ya kuchukua dola lakini kwa gradual process sio spontaneous.Vyama vya upinzani hawana mpango wa kukamata dola wamepanga kumpa heka heka tuu magufuli
Mfano chama kikuu cha upinzani sauzi kinaitwa DA kilikua na lengo la kupunguza ushindi wa ANC walau ufike 50%. Na ichukue majimbo 100+. Na kiukweli malengo yapo realistic na walifanikiwa kiasi.
Je walikua wapumbavu? Mifano ipo mingi hta Kenya kule tuliona kuna vyama vilishiriki ili tu kuretain Majimbo na County walizomiliki na sio kuongeza. Case ya Wiper n.k
Ila Tanzania sijawahi ona chama kikisema kinagombea ili kishinde tu majimbo 100 na urais wafike 30%!!! Sasa ni lini hao wapinzani hawajawahi kuitaka dola?