EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
- Thread starter
- #101
[emoji852][emoji853]Duh ujumbe unachoma huu,tuchukue tahadhari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji852][emoji853]Duh ujumbe unachoma huu,tuchukue tahadhari
Daah mafua yamenilaza kitandani, homa moja ya hatari kila kiungo kinauma.... Ila nasikilizia. Nimepiga senge lite mbili nikaona nataka kufa.....
Ilazo Dom sio??? Nakuja mkuu next.weekNiko Ilazo magereza, na kuja panda izo Mkuu...
Karibishaneni aisee[emoji1306][emoji1756][emoji1756]karibu sana mkuu.bado bado nipo mkuu
Najiandaa kuelekea The Hub Arusha baada ya mechi hii ya Belgium kuishaDuh, mi siku ilitaka kuanza vibaya nimeamkia hospitals ila Dr. Kanipa dawa kaniambia naweza kuanza hata jumatatu nimezihifadhi sehemu nipo kwenye kaglosari mtaaani napiga Kilimanjaro ndogo bariiidi.
Nipe chimbo ulilopo hata kama Kanisani sawa ila tujulishe ulipo kama pamekucha saaana kama kuna [emoji1891][emoji2585][emoji1352][emoji1350] tuambie,
Tualike aisee leo nipo mobile saaana yaana haka ka VITZ[emoji594] geji unasimea juu ya nusu tanki[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Nipe update za kila tukio hapo ulipo hata kama maombi[emoji1317][emoji1317][emoji1317] poa tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Twende kazi mabaharia na Queens
Uzi tayariView attachment 1816282
Updates nimevamia sherehe ya watu hata siwaji.hapa JC HALL Africana
View attachment 1816593
Mkoa gani DadaqTanzanite Park ila nataka nielekee kiwanja cha home Joy Eslava
basi tutasomana mkuu.Ilazo Dom sio??? Nakuja mkuu next.week
Mkoa gani Dadaq
hakika sisi ni nduguKaribishaneni aisee[emoji1306][emoji1756][emoji1756]
Niko Ilazo magereza, na kuja panda izo Mkuu...
Usihofu kiwanja changu enzi hizo ni master pub sijui kama bado ipobasi tutasomana mkuu.
Tupe matokeo[emoji855][emoji855][emoji855]Najiandaa kuelekea The Hub Arusha baada ya mechi hii ya Belgium kuisha
Mitaa gani mkuuDar Es Salaam
master pub sijawahi ingia mkuu nitakujulisha kama bado inaishiUsihofu kiwanja changu enzi hizo ni master pub sijui kama bado ipo
2-0Tupe matokeo[emoji855][emoji855][emoji855]
Safi sana tena akunyooshee si unajidai mjanja eeh😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu dada mbabe balaa[emoji1322][emoji1322][emoji1322]
Enzi hizo nlikuwa naishi Dodoma INN So hapoilikuwa seblenmaster pub sijawahi ingia mkuu nitakujulisha kama bado inaishi
Mitaa gani mkuu
Senge lite? Ni kinywaji kipya mkuu?Isije ikawa CORONA; maana haiendani na senge lite!