Na kweli wanafiki wameonekana hata mwendazake hajamaliza 40 wameanza kuonesha makucha yao. Wanafiki wengi wamejaa ccmInaelekea kuna mkakati maalumu wa wapinzani wa CCM kutaka kuwagonganisha vichwa wanaCCM mara baada ya kuona Rais Samia aneingia madarakani kwa njia ya amani.
Ni muhimu kuwakumbusha wapinzani kuwa CCM is there to exist till the true development of Tanzania is achieved.
CCM na Serikali yake inaenenda kwakufuata ilani yake sio zaidi ya hapo.
wanafiki wote wanajulikana na Wazalendo wanatambulika.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
#Kaziinaendelea
Na wagongwe tu mpaka wapate mimbaInaelekea kuna mkakati maalumu wa wapinzani wa CCM kutaka kuwagonganisha vichwa wanaCCM mara baada ya kuona Rais Samia aneingia madarakani kwa njia ya amani.
Ni muhimu kuwakumbusha wapinzani kuwa CCM is there to exist till the true development of Tanzania is achieved.
CCM na Serikali yake inaenenda kwakufuata ilani yake sio zaidi ya hapo.
wanafiki wote wanajulikana na Wazalendo wanatambulika.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
#Kaziinaendelea
Ccm ilishajifia kitambo labda kama unaongelea CHAMA CHA MADENSA.Inaelekea kuna mkakati maalumu wa wapinzani wa CCM kutaka kuwagonganisha vichwa wanaCCM mara baada ya kuona Rais Samia aneingia madarakani kwa njia ya amani.
Ni muhimu kuwakumbusha wapinzani kuwa CCM is there to exist till the true development of Tanzania is achieved.
CCM na Serikali yake inaenenda kwakufuata ilani yake sio zaidi ya hapo.
wanafiki wote wanajulikana na Wazalendo wanatambulika.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
#Kaziinaendelea
Haswaa huyo jingalaoNa kweli wanafiki wameonekana hata mwendazake hajamaliza 40 wameanza kuonesha makucha yao. Wanafiki wengi wamejaa ccm
Wazalendo wekeni ule mkataba na Barick hadharani Mama anasema kuna shida mle. Mererani nako mnapigwa. Mmemaliza tofali na cement ya bure kujenga ukuta usiozuia wezi...hamtaweza kuhujumu na hamtaweza kuua wzalendo wote.mkimuua mmoja maelfu wanazaliwa
60 years now no development, inachukua miaka mingapi hayo maemdeleo yaje?Inaelekea kuna mkakati maalumu wa wapinzani wa CCM kutaka kuwagonganisha vichwa wanaCCM mara baada ya kuona Rais Samia aneingia madarakani kwa njia ya amani.
Ni muhimu kuwakumbusha wapinzani kuwa CCM is there to exist till the true development of Tanzania is achieved.
CCM na Serikali yake inaenenda kwakufuata ilani yake sio zaidi ya hapo.
wanafiki wote wanajulikana na Wazalendo wanatambulika.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
#Kaziinaendelea
Hakuna maendeleo kwa data zipi?
Jingalao,Inaelekea kuna mkakati maalumu wa wapinzani wa CCM kutaka kuwagonganisha vichwa wanaCCM mara baada ya kuona Rais Samia aneingia madarakani kwa njia ya amani.
Ni muhimu kuwakumbusha wapinzani kuwa CCM is there to exist till the true development of Tanzania is achieved.
CCM na Serikali yake inaenenda kwakufuata ilani yake sio zaidi ya hapo.
wanafiki wote wanajulikana na Wazalendo wanatambulika.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
#Kaziinaendelea
Chadema ndio imekufa kitambo kabisa mpaka kina mmawia wamebaki kushabikia CCM , kweli CCM kiboko yao.Ccm ilishajifia kitambo labda kama unaongelea CHAMA CHA MADENSA.
acha kutaharuki...unadhani mipango yenu mnaipangia gizani tusijue?punguza povuJingalao,
Wewe ni zaidi ya jinga wewe unamtindio wa ubongo maana hujaonesha ni jinsi gani wapinzani wanahujumu CCM, hujaonesha ni kina Nani hao. Halafu unaona umeanzisha bonge la thread.
Moderators thread Kama hizi zizuieni mpaka mtoa hoja aonesha tuhuma hasa ni ipi
Tanzania imeingia uchumi wa kati kabla ya mudaDk Mpango: Umasikini bado mkubwa Tanzania
Amesema hayo leo alipokuwa akitoa neno la shukrani baada ya kuapishwa kuwa Waziri wa Fedha na Mipangowww.mwananchi.co.tz
Tangu lini Chadema wakaitakia mema ccm hadi wajipe kazi ya kumsifia rais Samia?.Inaelekea kuna mkakati maalumu wa wapinzani wa CCM kutaka kuwagonganisha vichwa wanaCCM mara baada ya kuona Rais Samia aneingia madarakani kwa njia ya amani.
Ni muhimu kuwakumbusha wapinzani kuwa CCM is there to exist till the true development of Tanzania is achieved.
CCM na Serikali yake inaenenda kwakufuata ilani yake sio zaidi ya hapo.
wanafiki wote wanajulikana na Wazalendo wanatambulika.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
#Kaziinaendelea
Sema Basi jingalao anamtongoza mke wa jinga lao ili wagombane wakwe na shemeji zake.acha kutaharuki...unadhani mipango yenu mnaipangia gizani tusijue?punguza povu