Upo mkakati wa wapinzani kutaka kuwagonganisha wanaccm!

Upo mkakati wa wapinzani kutaka kuwagonganisha wanaccm!

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Inaelekea kuna mkakati maalumu wa wapinzani wa CCM kutaka kuwagonganisha vichwa wanaCCM mara baada ya kuona Rais Samia aneingia madarakani kwa njia ya amani.
Ni muhimu kuwakumbusha wapinzani kuwa CCM is there to exist till the true development of Tanzania is achieved.
CCM na Serikali yake inaenenda kwakufuata ilani yake sio zaidi ya hapo.

wanafiki wote wanajulikana na Wazalendo wanatambulika.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

#Kaziinaendelea
 
Inaelekea kuna mkakati maalumu wa wapinzani wa CCM kutaka kuwagonganisha vichwa wanaCCM mara baada ya kuona Rais Samia aneingia madarakani kwa njia ya amani.
Ni muhimu kuwakumbusha wapinzani kuwa CCM is there to exist till the true development of Tanzania is achieved.
CCM na Serikali yake inaenenda kwakufuata ilani yake sio zaidi ya hapo.

wanafiki wote wanajulikana na Wazalendo wanatambulika.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

#Kaziinaendelea
Na kweli wanafiki wameonekana hata mwendazake hajamaliza 40 wameanza kuonesha makucha yao. Wanafiki wengi wamejaa ccm
 
Inaelekea kuna mkakati maalumu wa wapinzani wa CCM kutaka kuwagonganisha vichwa wanaCCM mara baada ya kuona Rais Samia aneingia madarakani kwa njia ya amani.
Ni muhimu kuwakumbusha wapinzani kuwa CCM is there to exist till the true development of Tanzania is achieved.
CCM na Serikali yake inaenenda kwakufuata ilani yake sio zaidi ya hapo.

wanafiki wote wanajulikana na Wazalendo wanatambulika.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

#Kaziinaendelea
Na wagongwe tu mpaka wapate mimba
 
Inaelekea kuna mkakati maalumu wa wapinzani wa CCM kutaka kuwagonganisha vichwa wanaCCM mara baada ya kuona Rais Samia aneingia madarakani kwa njia ya amani.
Ni muhimu kuwakumbusha wapinzani kuwa CCM is there to exist till the true development of Tanzania is achieved.
CCM na Serikali yake inaenenda kwakufuata ilani yake sio zaidi ya hapo.

wanafiki wote wanajulikana na Wazalendo wanatambulika.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

#Kaziinaendelea
Ccm ilishajifia kitambo labda kama unaongelea CHAMA CHA MADENSA.
 
Inaelekea kuna mkakati maalumu wa wapinzani wa CCM kutaka kuwagonganisha vichwa wanaCCM mara baada ya kuona Rais Samia aneingia madarakani kwa njia ya amani.
Ni muhimu kuwakumbusha wapinzani kuwa CCM is there to exist till the true development of Tanzania is achieved.
CCM na Serikali yake inaenenda kwakufuata ilani yake sio zaidi ya hapo.

wanafiki wote wanajulikana na Wazalendo wanatambulika.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

#Kaziinaendelea
60 years now no development, inachukua miaka mingapi hayo maemdeleo yaje?
 
Inaelekea kuna mkakati maalumu wa wapinzani wa CCM kutaka kuwagonganisha vichwa wanaCCM mara baada ya kuona Rais Samia aneingia madarakani kwa njia ya amani.
Ni muhimu kuwakumbusha wapinzani kuwa CCM is there to exist till the true development of Tanzania is achieved.
CCM na Serikali yake inaenenda kwakufuata ilani yake sio zaidi ya hapo.

wanafiki wote wanajulikana na Wazalendo wanatambulika.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

#Kaziinaendelea
Jingalao,

Wewe ni zaidi ya jinga wewe unamtindio wa ubongo maana hujaonesha ni jinsi gani wapinzani wanahujumu CCM, hujaonesha ni kina Nani hao. Halafu unaona umeanzisha bonge la thread.

Moderators thread Kama hizi zizuieni mpaka mtoa hoja aonesha tuhuma hasa ni ipi
 
Jingalao,

Wewe ni zaidi ya jinga wewe unamtindio wa ubongo maana hujaonesha ni jinsi gani wapinzani wanahujumu CCM, hujaonesha ni kina Nani hao. Halafu unaona umeanzisha bonge la thread.

Moderators thread Kama hizi zizuieni mpaka mtoa hoja aonesha tuhuma hasa ni ipi
acha kutaharuki...unadhani mipango yenu mnaipangia gizani tusijue?punguza povu
 
Inaelekea kuna mkakati maalumu wa wapinzani wa CCM kutaka kuwagonganisha vichwa wanaCCM mara baada ya kuona Rais Samia aneingia madarakani kwa njia ya amani.
Ni muhimu kuwakumbusha wapinzani kuwa CCM is there to exist till the true development of Tanzania is achieved.
CCM na Serikali yake inaenenda kwakufuata ilani yake sio zaidi ya hapo.

wanafiki wote wanajulikana na Wazalendo wanatambulika.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

#Kaziinaendelea
Tangu lini Chadema wakaitakia mema ccm hadi wajipe kazi ya kumsifia rais Samia?.

Kazi ya kumsifia rais Samia ni ya MATAGA siyo ya chadema
 
acha kutaharuki...unadhani mipango yenu mnaipangia gizani tusijue?punguza povu
Sema Basi jingalao anamtongoza mke wa jinga lao ili wagombane wakwe na shemeji zake.

Sema Hilo tu huwezi utaendelea kuwa na kichwa kikubwa Kama Cha kondoo kisicho na lolote
 
Back
Top Bottom