We kanywe maji na mafuta ya mwampo...kimekuuma sana kuhusu WAMASAI....kanywe mafruto ya safina jifukize na kijiko Cha udongo wa Tanganyika packersNa Mandojo kauwawa akiwa kaenda kusali kanisa Katoliki Dodoma, kauwawa na waumini na Padri.
Bila kusahau watoto wake aliowapata wakati akiwa Mkuu wa Chuo cha Saut. Kuna ma lecturer walilazimika kuacha kazi baada ya Father kutembea na wake zao waliokuwa wakifanya kazi hapo Saut
1. Padri Elipidius Rwegoshora wa Bukoba kashiriki kumuua Albino, Padri Charles Kitima hajamuona ila anaona Wamasai Ngorongoro.
2. Padri Bunda anaibia masista wa raia wa Kihispania kwenda kufungua baa na kamari, ila Padri Charles Kitima haoni kukemea anaona Wamasai Ngorongoro.
3. Padri Stanslaus Sala wa Jimbo la Moshi kalawiti hujamuona ila unaona nchi imekuwa mbaya kuishi.
Huu upofu wako mtumishi wa kanisa ni wa asili, wa ukubwani au wa kuamua au wa kulipiwa? ๐ค
Yani siku taifa likipata viongozi wa dini kama hawa watano tu nchi itarudi kwenye misingi maana moja ya wajibu wa viongozi wa dini ni kukemea, kuonya, na kukosoa inapobidi, maana huwezi kuwa unawaomba waliombee taifa tu wakati taifa linapogawanyika kwa masilahi ya watu wachache wakae kimya tu kisa watumishi wa Mungu, Mungu gani huyo? Na nyie vijana wa namna hii ni bora mkarudi zanzibar kwenu huko walikopitisha sheria ya kuua mila na desturi ya masai ya kutembea na silaa zao za jadi kama culture symbol yao, kuliko kutaka kutuletea machafuko Tanganyika yetu kwa misingi ya uwekezaji haramu usioheshimu uwepo wa rasilimali watu na asili yao, huu ni ukoloni mambo leo unaolenga kunyanyasa tamaduni zenye nguvu zilizobaki afrika na kuendekeza ubaguzi wa kikanda ๐ฎ๐
1. Charles Kitima afanye nini hapa ikiwa padri anayetuhumiwa kuua albino tayari amekamatwa na polisi?Sijaelewa unataka kipi kielezewe kinyooke?
Wanakoenda hakuna kanisa?Sadaka kanisa katoliki parokia ngorongoro zimepungua baada ya masai kuhamishwa
Lazima apige yowe
Ina maana hao waliobaki wakiondoka makanisa katoliki yanatakiwa kufungwa ngorongoro
Conflict of interest
Sheria ipi inakataza kuzungumzia shauri lililoko mahakamaniMoja su
Suala La Padri Sala lilishaisha na hakuwa na kosa hivyo umelikosea kanisa.
Kwa mujibu wa Sheria shauri lililopo mahakamani halipaswi kuzumziwa na yeyote. Hivyo suala La Padri wa Bukoba na Musoma hawapaswi kuzungumziwa. Mamlaka zao za nidhamu(askofu Mahalia) waliwasimamisha huduma ya upadri Hadi kesi zao ziishe.
Padri Kitima ni Mwanasheria kwa taaluma hivyo anayajua hayo yote.
Pia Fr. Kitima ni msemaji wa Baraza la maaskofu kwa ujumla wao hivyo sio mamlaka ya kusema majimbo.
Naona kama kimekuuma sana yeye kusema hivyo alivyosema. Ukiona hivyo wewe ni mnufaika wa maamuzi ya kuhamishwa wamasai.
Fikiria pale kwenu unapopaita nyumbani Leo mnafukuzwa bila fidia bila hata kujua hatma yenu Kisha anapewa mwarabu.
Una wajomba waarabu nini? Tunashukuru kwa Kanisa Katoliki kuwasemea Wamasai manake wanadhalilishwa na kufukuzwa kwenye maeneo yao ya asili. CCM ilaaniwe kwa udhalimu huu.1. Padri Elipidius Rwegoshora wa Bukoba kashiriki kumuua Albino, Padri Charles Kitima hajamuona ila anaona Wamasai Ngorongoro.
2. Padri Bunda anaibia masista wa raia wa Kihispania kwenda kufungua baa na kamari, ila Padri Charles Kitima haoni kukemea anaona Wamasai Ngorongoro.
3. Padri Stanslaus Sala wa Jimbo la Moshi kalawiti hujamuona ila unaona nchi imekuwa mbaya kuishi.
Huu upofu wako mtumishi wa kanisa ni wa asili, wa ukubwani au wa kuamua au wa kulipiwa? ๐ค
Issue kuanza ujenzi upya na ya ngorongoro watayafanyajeWanakoenda hakuna kanisa?
1. Padri Elipidius Rwegoshora wa Bukoba kashiriki kumuua Albino, Padri Charles Kitima hajamuona ila anaona Wamasai Ngorongoro.
2. Padri Bunda anaibia masista wa raia wa Kihispania kwenda kufungua baa na kamari, ila Padri Charles Kitima haoni kukemea anaona Wamasai Ngorongoro.
3. Padri Stanslaus Sala wa Jimbo la Moshi kalawiti hujamuona ila unaona nchi imekuwa mbaya kuishi.
Huu upofu wako mtumishi wa kanisa ni wa asili, wa ukubwani au wa kuamua au wa kulipiwa?
This kind of reasoning is regression. Ni kama kusema kwa vile x aliiba hukusema, y ameiba, naye usiseme. Au kama ulishindwa kumtibu mgonjwa p, kwa vile s ni mgonjwa naye usimtibu. Kwanza una uhakika gani kwamba hajakemea? Pili, tuseme kwamba hakukemea, unamaanisha maisha yake yote asikemee akiona mambo hayaendi au tuseme asikosoe jambo ambalo anaona halijafanyika vizuri? Kwa maneno mengine, Dr Kitima hana haki tena ya kukosoa au kutaka jambo lolote analoona halijafanyika vizuri lisifanywe vizuri/lisiboreshwe? Kwa nini? Sababu yake ni kwamba hujamsikia akikosoa Padri Elipidius Rwegoshora kutuhumiwa kushiriki kumuua mtoto mwenye albnism na tuhuma nyingine unazotoa. Sasa wewe unayemkosoa, tuonyeshe pia wapi ulimkosoa Fr Elipidius Rwegoshora, Padri wa Bunda kuwaibia masista, na Padri Stanslaus Sala wa Jimbo la Moshi kulawiti. Au wewe una haki ya kumkosoa Fr Kitima kama hujawakosoa hao wengine unaodai Fr Kitima hakuwakosoa? Nasubiri majibu ili kujiridhisha jinsi ulivyo 'consequent' na usiye na upofu kama Fr Kitima.1. Padri Elipidius Rwegoshora wa Bukoba kashiriki kumuua Albino, Padri Charles Kitima hajamuona ila anaona Wamasai Ngorongoro.
2. Padri Bunda anaibia masista wa raia wa Kihispania kwenda kufungua baa na kamari, ila Padri Charles Kitima haoni kukemea anaona Wamasai Ngorongoro.
3. Padri Stanslaus Sala wa Jimbo la Moshi kalawiti hujamuona ila unaona nchi imekuwa mbaya kuishi.
Huu upofu wako mtumishi wa kanisa ni wa asili, wa ukubwani au wa kuamua au wa kulipiwa? ๐ค
Inasikitisha sana. Huyu Padri Kitima amelifanya Kanisa la Roman Catholic Tanzania kuwa taasisi ya kisiasa ya chadema. Yeye na mtangulizi wake huko TEC, Padre Slaa hawana tofauti. Mwenzake Slaa alitimuliwa huko TEC, tunashauri TEC imutimue pia huyu Kitima akaungane na wenzake huko chadema kufanya siasa. Yeye na Tundu Lisu wanatoka sehemu moja (inawezekana wana undugu). Wote wawili ni wanasiasa na wanaharakati wazuri wa siasa za vurugu.1. Padri Elipidius Rwegoshora wa Bukoba kashiriki kumuua Albino, Padri Charles Kitima hajamuona ila anaona Wamasai Ngorongoro.
2. Padri Bunda anaibia masista wa raia wa Kihispania kwenda kufungua baa na kamari, ila Padri Charles Kitima haoni kukemea anaona Wamasai Ngorongoro.
3. Padri Stanslaus Sala wa Jimbo la Moshi kalawiti hujamuona ila unaona nchi imekuwa mbaya kuishi.
Huu upofu wako mtumishi wa kanisa ni wa asili, wa ukubwani au wa kuamua au wa kulipiwa? ๐ค
Huyu Kitima ni cousin brother na Tundu Lissu. Kila hoja ya Tundu Lissu huibeba na kuifanya ya TEC. Aamue moja kama Dr Slaa, arudishe collar na kanzu kwa Paroko kisha avae magwanda ya kakhi halafu aende kwenye majukwaa ya siasaJibu hoja zake kwanza. Hayo mambo mengine Kanisa katoliki lina namna ya kuyasolve ndani ya majimbo yao.
Huyu ni katibu wa baraza maaskofu anawakilisha maaskofu Taifa.
Hayo ya mapadre individual ni ya maaskofu wa majimbo husika na wanajua jinsi ya kuyasolve.
Kanisa ni moja takatifu katoliki na mitumee
Mhurumie tu Padri Kitima ni mgonjwa mwingine kutoka Singida1. Padri Elipidius Rwegoshora wa Bukoba kashiriki kumuua Albino, Padri Charles Kitima hajamuona ila anaona Wamasai Ngorongoro.
2. Padri Bunda anaibia masista wa raia wa Kihispania kwenda kufungua baa na kamari, ila Padri Charles Kitima haoni kukemea anaona Wamasai Ngorongoro.
3. Padri Stanslaus Sala wa Jimbo la Moshi kalawiti hujamuona ila unaona nchi imekuwa mbaya kuishi.
Huu upofu wako mtumishi wa kanisa ni wa asili, wa ukubwani au wa kuamua au wa kulipiwa? ๐ค
Sijui dhambi zimepungua na watu wote wameshapata ufalme wa milele kiasi kwamba Mapdri wamekos kazi za kufanya kama huyu padri KitimaYani siku taifa likipata viongozi wa dini kama hawa watano tu nchi itarudi kwenye misingi maana moja ya wajibu wa viongozi wa dini ni kukemea, kuonya, na kukosoa inapobidi, maana huwezi kuwa unawaomba waliombee taifa tu wakati taifa linapogawanyika kwa masilahi ya watu wachache wakae kimya tu kisa watumishi wa Mungu, Mungu gani huyo? Na nyie vijana wa namna hii ni bora mkarudi zanzibar kwenu huko walikopitisha sheria ya kuua mila na desturi ya masai ya kutembea na silaa zao za jadi kama culture symbol yao, kuliko kutaka kutuletea machafuko Tanganyika yetu kwa misingi ya uwekezaji haramu usioheshimu uwepo wa rasilimali watu na asili yao, huu ni ukoloni mambo leo unaolenga kunyanyasa tamaduni zenye nguvu zilizobaki afrika na kuendekeza ubaguzi wa kikanda ๐ฎ๐
Hivi mapdre huwa wanaungama Dhambi kwa nani?Sijui dhambi zimepungua na watu wote wameshapata ufalme wa milele kiasi kwamba Mapdri wamekos kazi za kufanya kama huyu padri Kitima
Una ufahamu wa Sheria kweli? Kama hapana nakusamehe ila najua unafahamu. Ukitaka nitakupa vifunguSheria ipi inakataza kuzungumzia shauri lililoko mahakamani
kwanini unaleta udini kwenye mambo ya msingi?Waislamu ngorongoro masai wapo ila sababu huwa wauslamu hawakusany9 sadaka misikitini ndio maana hujaskia Mufti akiongea .Katoliki waathirika wa sadaka nfio wanaongea
Hao huchukia mtawala muislam1. Padri Elipidius Rwegoshora wa Bukoba kashiriki kumuua Albino, Padri Charles Kitima hajamuona ila anaona Wamasai Ngorongoro.
2. Padri Bunda anaibia masista wa raia wa Kihispania kwenda kufungua baa na kamari, ila Padri Charles Kitima haoni kukemea anaona Wamasai Ngorongoro.
3. Padri Stanslaus Sala wa Jimbo la Moshi kalawiti hujamuona ila unaona nchi imekuwa mbaya kuishi.
Huu upofu wako mtumishi wa kanisa ni wa asili, wa ukubwani au wa kuamua au wa kulipiwa? ๐ค
Unalazimisha unachoona wewe na yeye alone!1. Padri Elipidius Rwegoshora wa Bukoba kashiriki kumuua Albino, Padri Charles Kitima hajamuona ila anaona Wamasai Ngorongoro.
2. Padri Bunda anaibia masista wa raia wa Kihispania kwenda kufungua baa na kamari, ila Padri Charles Kitima haoni kukemea anaona Wamasai Ngorongoro.
3. Padri Stanslaus Sala wa Jimbo la Moshi kalawiti hujamuona ila unaona nchi imekuwa mbaya kuishi.
Huu upofu wako mtumishi wa kanisa ni wa asili, wa ukubwani au wa kuamua au wa kulipiwa? ๐ค