Upofu wa Padri Kitima unahitaji neema ya Mungu

We kanywe maji na mafuta ya mwampo...kimekuuma sana kuhusu WAMASAI....kanywe mafruto ya safina jifukize na kijiko Cha udongo wa Tanganyika packers
 

Hao wote wanahusianaje na Padre Kitima? Kama Shekhe amelawiti watoto wa madrasa haina maana mufti ndio anahusika
Tuache kuchezea mambo yenye hatari kwa kuingiza viroja kama unavyoingiza. Hao wote waliofanya hao si wamepelekwa mbele ya sheria? Jinai inahusikaje na Padre Kitima?
 

Kuna watu kila hoja za utaifa zikiongelewa na maaskofu ambao nao ni watanzania, wanakimbilia kwenye imani za kidini.
Kama vile wao ni watakatifu sana. Na hata Ngorongoro, wamasai wana hoja. Ni suala la muda tu, tatizo dogo likiachwa na kudharaulika, litakuja kuwa kubwa na litawaamsha hata waliolala makaburini
 
Sijaelewa unataka kipi kielezewe kinyooke?
1. Charles Kitima afanye nini hapa ikiwa padri anayetuhumiwa kuua albino tayari amekamatwa na polisi?

2. Padri Bunda anaibia masista wa raia wa Kihispania kwenda kufungua baa na kamari- Wakatoliki hawana shida na Bar au kamari, kwao pombe au betting sio dhambi. Hao masista raia wa Hispania wameibwaje kufungua Bar? Ni wahadumu wa Bar ya padri? Hiyo Bar inaitwaje?

3. Huyo padri aliyelawiti hajakamatwa na polisi? Kama hajakamatwa upande wa waliolawitiwa wanasema Kanisa linamkingia huyo padri dhidi ya mkono wa sheria wa Jamuhuri?
 
Sheria ipi inakataza kuzungumzia shauri lililoko mahakamani
 
Una wajomba waarabu nini? Tunashukuru kwa Kanisa Katoliki kuwasemea Wamasai manake wanadhalilishwa na kufukuzwa kwenye maeneo yao ya asili. CCM ilaaniwe kwa udhalimu huu.
 

This kind of reasoning is regression. Ni kama kusema kwa vile x aliiba hukusema, y ameiba, naye usiseme. Au kama ulishindwa kumtibu mgonjwa p, kwa vile s ni mgonjwa naye usimtibu. Kwanza una uhakika gani kwamba hajakemea? Pili, tuseme kwamba hakukemea, unamaanisha maisha yake yote asikemee akiona mambo hayaendi au tuseme asikosoe jambo ambalo anaona halijafanyika vizuri? Kwa maneno mengine, Dr Kitima hana haki tena ya kukosoa au kutaka jambo lolote analoona halijafanyika vizuri lisifanywe vizuri/lisiboreshwe? Kwa nini? Sababu yake ni kwamba hujamsikia akikosoa Padri Elipidius Rwegoshora kutuhumiwa kushiriki kumuua mtoto mwenye albnism na tuhuma nyingine unazotoa. Sasa wewe unayemkosoa, tuonyeshe pia wapi ulimkosoa Fr Elipidius Rwegoshora, Padri wa Bunda kuwaibia masista, na Padri Stanslaus Sala wa Jimbo la Moshi kulawiti. Au wewe una haki ya kumkosoa Fr Kitima kama hujawakosoa hao wengine unaodai Fr Kitima hakuwakosoa? Nasubiri majibu ili kujiridhisha jinsi ulivyo 'consequent' na usiye na upofu kama Fr Kitima.
 
Inasikitisha sana. Huyu Padri Kitima amelifanya Kanisa la Roman Catholic Tanzania kuwa taasisi ya kisiasa ya chadema. Yeye na mtangulizi wake huko TEC, Padre Slaa hawana tofauti. Mwenzake Slaa alitimuliwa huko TEC, tunashauri TEC imutimue pia huyu Kitima akaungane na wenzake huko chadema kufanya siasa. Yeye na Tundu Lisu wanatoka sehemu moja (inawezekana wana undugu). Wote wawili ni wanasiasa na wanaharakati wazuri wa siasa za vurugu.
 
Huyu Kitima ni cousin brother na Tundu Lissu. Kila hoja ya Tundu Lissu huibeba na kuifanya ya TEC. Aamue moja kama Dr Slaa, arudishe collar na kanzu kwa Paroko kisha avae magwanda ya kakhi halafu aende kwenye majukwaa ya siasa
 
Mhurumie tu Padri Kitima ni mgonjwa mwingine kutoka Singida
 
Sijui dhambi zimepungua na watu wote wameshapata ufalme wa milele kiasi kwamba Mapdri wamekos kazi za kufanya kama huyu padri Kitima
 
Sijui dhambi zimepungua na watu wote wameshapata ufalme wa milele kiasi kwamba Mapdri wamekos kazi za kufanya kama huyu padri Kitima
Hivi mapdre huwa wanaungama Dhambi kwa nani?

Mfano paroko katenda dhambi na yuko.peke yake parokiani akitaja kuungama anaunga dhambi kwa nani? Wakati hamna padre pale ataungama kwa sister au?

Kitima anahitqji kuungama dhambi swala ni ataungama kwa nani?

Kama hana aje nimuungamishe ila malipizi atatakiwa asali rozali mara 500 kwa ku rudia rudia nonstop ili apate muda wa kusali zaidi kuliko kushinda kuongea na vyombo vya habari
 
Hao huchukia mtawala muislam
 
Unalazimisha unachoona wewe na yeye alone!
Hao wote uliowataja ni watuhumiwa sio wahalifu na wamefikishwa mahakamani ambako haki itatendeka shida yako nini. Baada ya kesi zao kumalizika kanisa nalo litakaa kuamua hatma zao. Wanaweza wasitiwe hatiani na mahakama za Tanzania lakini bado wakatiwa hatiani na mahakama ya kanisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ