Upofu wa Padri Kitima unahitaji neema ya Mungu

Bila shaka ww ndo kipofu
 
Spinning Propaganda ili "kufubaza makali" ya Mjadala wa Maasai wa Ngorongoro.
 
Na wewe upunguani ulio nao, hakika unasubiri tu hukumu dhidi ya shetani.
 
Padri Katima yuko sahihi nchi ni mbaya kuishi kwa sababu wenye dhamana ya kushughulikia hayo mambo uliyotaja wamelala wanasubiri Chadema wafanye mkutano ndipo waamke
 
Madaraka ya kumchagulia yeye cha kusemea wewe umeyatoa wapi?
 
Pamoja na tuhuma ulizoorodhesha hapo juu (zaweza kuwa kweli au siyo kweli), ni muhimu kujua kwamba, kosa moja halihalalishi jingine.
Tunatakiwa kupinga makosa kwa haki na kweli. Labda uthibitishe kwamba ametetea uovu huo.
Mpatie orodha na uthibitisho, ungana naye kupinga uovu.
 
Father Kitima ni campaign manager wa Lissu mwaka 2020 ni mwanasiasa na hayati JPM baada ya kumjua akamchinjia baharini.

Samia amekuja na uungwana wa kizenji anaruhusu demokrasia kadri iwezekanavyo ndio huyu Padre amerudi kwa kasi kuipinga serikali na mengi yanayofanyika. Ni mpinzani japo sio dhambi kwa mtu kwani anao uhuru wake wa kiraia.

Fitina yake ya kutaka DPW washindwe kuwekeza kwa kigezo cha bandari yetu tuendeshe wenyewe kilishindwa mbele ya serikali ya awamu ya sita. Binadamu wote wamepungukiwa kwa namna mmoja ama nyingine na huyu Father pia kapungukiwa.
 
Tuseme unavyosema ni kweli, kama alikuwa campaign manager wa Tundu Lissu mwaka 2020, kuwa campaign manager ndiko kunakotoa zuio la kukosoa issue yoyote nchini Tanzania au ni issue ya Ngorongoro tu?
 
Kwani hao walichukuliwa hatua au?
Kesi hazijaenda mahakamani?

Kwani Bado ni mapadre?

Ulitaka yeye afanye Nini?
 
Haikusadii kitu wewe ni MJINGA na MPUMBAVU, mambo hayo hayawezi kutumika kuharalisha MAMBO BYA KISHENZI yanayohusu jumuiya ya watu wengi, wakiwemo wazeee, watoto, akina mama kukiuka haki zao za msingi zikiwemo social basic needs ,na civil rights za kupiga kura, kuishi mahali Pao pa asili ambapo walikuwepo kabla hata Tanganyika kupata uhuru.

Hii ni ISSUE, burning issue.

Ila kwa sababu ya AKILI ZAKO ZA KUVUKIA BARABARA umeshindwa kuelewa hili.

Kuhusu hayo uliyoyataja juu ungewalaumu Polisi, Mahakama walifanyaje?? Wanasemaje.

Think big always, shame on you πŸ˜…πŸ˜…πŸ€£πŸ€£
 
Hayo yote unayoyasema yako kwenye vyombo vya usalama. Ila Wamasai wao ni kinyume. Vyombo vya ulinzi na Usalama ndiyo wanawaowanyanyasa.

By the way, na wewe huoni kama Wamasai wananyanyasika kwenye ardhi yao!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…