National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
π π π we wako si ni Aaliyyah mbona sikusomiDogo hebu tafuta Chaka lakoπ€£π, naona una nichukulia simpoπ€£π
π π π nilipatwa na wenge nikashinda ndani tu nimelalaWe m.....nge ππ€£π€£π€£
π π π π paka sasa ni 11 ... nimchoka na kujichokea sifatagi tena mtu PM... nimekubaliana na hali... mtu unakuta una muomba hata muone tu hatakii...Huko piemuniii umepigwa cha mbavu na wangapi?π π π
Sema kuna vidume sijui ni Utoto au ni ujinga mtu anakuja pm anakuachia namba kisha anaandika nitafute Nuzulatiπ π ππ π π π paka sasa ni 11 ... nimchoka na kujichokea sifatagi tena mtu PM... nimekubaliana na hali... mtu unakuta una muomba hata muone tu hatakii...
π π π π wanajaribia bahati zao.. amini kuna wadada wakikuta namba wana ruka hewani...Sema kuna vidume sijui ni Utoto au ni ujinga mtu anakuja pm anakuachia namba kisha anaandika nitafute Nuzulatiπ π π
Unabaki unajiuliza ananichukuliaje huyu kimaπ€·πΌββοΈ
Hayo ni matumizi mabaya ya kupiga simu siwezi kamweπ¬π π π π wanajaribia bahati zao.. amini kuna wadada wakikuta namba wana ruka hewani...
wewe tenaaa... ulivyo ka korofii π π πHayo ni matumizi mabaya ya kupiga simu siwezi kamweπ¬
Sio ukorofii hata ungekuwa wewe lazima ungekausha labla umpate mwenye uhitaji wa hayo maloveeππwewe tenaaa... ulivyo ka korofii π π π
sina shaka kabisaaa na maamuzi yako..
π π π hujui JF ni gengee ma hunter ...Sio ukorofii hata ungekuwa wewe lazima ungekausha labla umpate mwenye uhitaji wa hayo maloveeππ
[emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28] katika PM zangu 11... zote majibu ni hasi... mitoso 11 mitongozo 11
mitongozo ya wazi wazi mitano matokeo hasi mitano...
moyo usivuje damu.. moyo kubali matokeo... moyo kubali kutoswaaa... moyo vumilia [emoji28][emoji28][emoji28]
π€£π€£π€£ππ π π katika PM zangu 11... zote majibu ni hasi... mitoso 11 mitongozo 11
mitongozo ya wazi wazi mitano matokeo hasi mitano...
moyo usivuje damu.. moyo kubali matokeo... moyo kubali kutoswaaa... moyo vumilia π π π
tumezoea π ππ€£π€£π€£π
Jikazeπ€£π€£π€£tumezoea π π
tumechokaaa sasa π πJikazeπ€£π€£π€£
Kweli ana haki ya kulia[emoji23][emoji23][emoji119]Lala ukue....
Lamba glucoseπ€£π€£π€£tumechokaaa sasa π π
π π π π mtuelewa hata mala moja mojaLamba glucoseπ€£π€£π€£
Usikate tamaaπ€£π€£π€£ππ π π π mtuelewa hata mala moja moja