Uponye moyo. Hivi ni nani aliwahi kukukataa humu JF?

Uponye moyo. Hivi ni nani aliwahi kukukataa humu JF?

Raisi wa kataa ndoa Liverpool VPN haujawai kataliwa😂🤣🤣
Boss mi sijawahi kutongoza kwasababu najua kabisa SIWEZI KUKUBALIWA.
Mimi tayari nishajipa ID mbovuu jukwaa zima "Mkataa ndoa", sasa unadhani demu gani atanikubali?

Hata sina muda huo maana najua jibu litakuwa ni kibuti tu.
Kwani ushasahau kipindi hicho mtaani "Kuna yule kijana mtaani kwenu ole wake kijana mwengine awe rafiki yake, basi mzazi at mind kinomaa kwasababu jamaa kashahesabika ni muhuni wa mtaa mzima""
Basi ndio Mimi "Nishahesabika ni muhuni wa JF yoteee"

Cc:
To yeye aione kwenye jarada.

#YNWA
 
Boss mi sijawahi kutongoza kwasababu najua kabisa SIWEZI KUKUBALIWA.
Mimi tayari nishajipa ID mbovuu jukwaa zima "Mkataa ndoa", sasa unadhani demu gani atanikubali?

Hata sina muda huo maana najua jibu litakuwa ni kibuti tu.
Kwani ushasahau kipindi hicho mtaani "Kuna yule kijana mtaani kwenu ole wake kijana mwengine awe rafiki yake, basi mzazi at mind kinomaa kwasababu jamaa kashahesabika ni muhuni wa mtaa mzima""
Basi ndio Mimi "Nishahesabika ni muhuni wa JF yoteee"

Cc:
To yeye aione kwenye jarada.

#YNWA
Kikubwa tupambanie ndoto na Malengo yetu, kwa ajili ya familia tulizo toka na yetu🙏💪
 
Dogo hupatikani anga zetu🤣😂😂
Nimerudi sasa mwanawane jana kuna manzi alinichanganya sana 😅

Screenshot_20230723-144245_Messages.jpg
 
Back
Top Bottom