Kukatika ulimi kwenye utamu si mbaya[emoji23]
Mimi nilitoswa mpaka roho ya umauti ikanivaa..
Sahivi sitaki kuwa real tena.
Moyo sukuma damu siyo mapenzi
Unampenda demu jf kumbe naye ana mpenzi wake ,alafu mpenzi wake naye ana mpenzi wake ,na mpenzi wake ana mchepuko ambapo mchepuko wake ni mpenzi wangu..
Sijui mmenielewa lakini..
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Aloooh ssa unaniweka njia panda[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sawa sawa komaa kijana
Aisee una Moyo Sana[emoji4][emoji28][emoji28][emoji28] katika PM zangu 11... zote majibu ni hasi... mitoso 11 mitongozo 11
mitongozo ya wazi wazi mitano matokeo hasi mitano...
moyo usivuje damu.. moyo kubali matokeo... moyo kubali kutoswaaa... moyo vumilia [emoji28][emoji28][emoji28]
Yaani ni maumivu Mkuu π’π€ͺπ€ͺmshamba_hachekwi, Lenie njooni muone Babu alipigwa na nondoππ
Moyo unavia damuπ€£ππ, National Anthem, mshamba_hachekwi ongezeni vitanda coz wagonjwa ni wengiπ€£ππYaani ni maumivu Mkuu π’π€ͺπ€ͺ
Enjoy your time, sema Kinga ni Bora kuliko tibaπ€£ππSijawahi kumfata demu yeyote pm na sitafanya hivyo, hapa nilipo mida hii nimezungwa na pisi nakula vyombo na ntaenda kutafuna threesome Sina njaa na mademu humu
FaizaFoxyNikaona sio vibaya tukija na operation ponya Moyo, we tema cheche ili utoe sumu.
Dadadeki ntapiga bonge la shoo mengine abaki nayo madam HassanEnjoy your time, sema Kinga ni Bora kuliko tibaπ€£ππ
Doctor mshamba_hachekwi na National Anthem muitishe emergency call coz majanga ni mengiπ€£ππNuzulati pia alinipiga cha mbavu PM daah
Bantu Lady nae akanichakaza vibaya aloo aibuDoctor mshamba_hachekwi na National Anthem muitishe emergency call coz majanga ni mengiπ€£ππ
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ππ»ππ»ππ»ππ»ππ» pole sana Ambivert88Bantu Lady nae akanichakaza vibaya aloo aibu
Aloo nimemwaga sumu au nikuje tena kuimbisha wimboπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ππ»ππ»ππ»ππ»ππ» pole sana Ambivert88