Uponye moyo. Hivi ni nani aliwahi kukukataa humu JF?

Uponye moyo. Hivi ni nani aliwahi kukukataa humu JF?

Mimi nilitoswa mpaka roho ya umauti ikanivaa..

Sahivi sitaki kuwa real tena.

Moyo sukuma damu siyo mapenzi

Unampenda demu jf kumbe naye ana mpenzi wake ,alafu mpenzi wake naye ana mpenzi wake ,na mpenzi wake ana mchepuko ambapo mchepuko wake ni mpenzi wangu..



Sijui mmenielewa lakini..

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Mimi nilitoswa mpaka roho ya umauti ikanivaa..

Sahivi sitaki kuwa real tena.

Moyo sukuma damu siyo mapenzi

Unampenda demu jf kumbe naye ana mpenzi wake ,alafu mpenzi wake naye ana mpenzi wake ,na mpenzi wake ana mchepuko ambapo mchepuko wake ni mpenzi wangu..



Sijui mmenielewa lakini..

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app

Duh!! Na wote wa jf au nje ya jf?!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sijawahi kumfata demu yeyote pm na sitafanya hivyo, hapa nilipo mida hii nimezungwa na pisi nakula vyombo na ntaenda kutafuna threesome Sina njaa na mademu humu
 
Back
Top Bottom