Vocal Fremitus
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 1,287
- 6,648
Ambao hatujawahi tongoza pisi PM tupo zetu na popcorn tunasoma experience zenu wajuba [emoji897][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeukubali kishingo upande 😅😂Fulani, haaa siwezi kumtaja ila hadi leo ananiumaaaa. Mbaya sana alinitosa kibingwa bila kuelewa nawekwa "friends zone" maniner. Jinsi alivyo, dadeq...akikaa kwenye kiti utaangalia mara mbili kuna foronya au nini...haaaa ule mzigo noma...ila anyways, urafiki nimeukubali🤣🤣🤣🤣
Kuna nyakati inabidi kukubali matokeo mkuu.umeukubali kishingo upande 😅😂
waswahili walisema mvumilivu hula mbivu.
Hongera 😀Ambao hatujawahi tongoza pisi PM tupo zetu na popcorn tunasoma experience zenu wajuba [emoji897][emoji23][emoji23]
hakuna namna jitume kwenye friends zone huenda ukamshawishi lengo likatimiaKuna nyakati inabidi kukubali matokeo mkuu.
angalia tu usiwapige vitofali ukawaua 😂 😂 😂Hongera 😀
Hahah Hawa hawafi 😀angalia tu usiwapige vitofali ukawaua 😂 😂 😂
wasaidie ilainike iponde kisawa sawa ila usiue tu 😂 😂Hahah Hawa hawafi 😀
Kwakweli Wana mioyo migumu sana😂😂
😀😀wasaidie ilainike iponde kisawa sawa ila usiue tu 😂 😂
nakuyaa unipe 😉Watu wachoyo walah, kwa nini umnyime mtu kitu wewe ulipewa bure
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Kuna wakati urafiki una thamani sana mkuu!!hakuna namna jitume kwenye friends zone huenda ukamshawishi lengo likatimia
naelewa kwahiyo huna tena interest nae kuulinda urafiki?Kuna wakati urafiki una thamani sana mkuu!!
Aaliyyah una Soma hi😂🤣🤣Watu wachoyo walah, kwa nini umnyime mtu kitu wewe ulipewa bure
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Urafiki ni muhimu ndugu.naelewa kwahiyo huna tena interest nae kuulinda urafiki?
😅😅😅 na wee mbona unaamka mapemaaa sanaa.. huna cha morning glory nini..Had sa 8 mnachat tu badala ya kulala National Anthem
Moyo una vuja dam hatari😪😪, Mzee wa kupambania ana jua hili, 😂😂😅😅 😂😂 🤐🤐
poleni sana...