Vocal Fremitus
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 1,287
- 6,648
umeukubali kishingo upande π πFulani, haaa siwezi kumtaja ila hadi leo ananiumaaaa. Mbaya sana alinitosa kibingwa bila kuelewa nawekwa "friends zone" maniner. Jinsi alivyo, dadeq...akikaa kwenye kiti utaangalia mara mbili kuna foronya au nini...haaaa ule mzigo noma...ila anyways, urafiki nimeukubaliπ€£π€£π€£π€£
Kuna nyakati inabidi kukubali matokeo mkuu.umeukubali kishingo upande π π
waswahili walisema mvumilivu hula mbivu.
Hongera πAmbao hatujawahi tongoza pisi PM tupo zetu na popcorn tunasoma experience zenu wajuba [emoji897][emoji23][emoji23]
hakuna namna jitume kwenye friends zone huenda ukamshawishi lengo likatimiaKuna nyakati inabidi kukubali matokeo mkuu.
angalia tu usiwapige vitofali ukawaua π π πHongera π
Hahah Hawa hawafi πangalia tu usiwapige vitofali ukawaua π π π
wasaidie ilainike iponde kisawa sawa ila usiue tu π πHahah Hawa hawafi π
Kwakweli Wana mioyo migumu sanaππ
ππwasaidie ilainike iponde kisawa sawa ila usiue tu π π
nakuyaa unipe πWatu wachoyo walah, kwa nini umnyime mtu kitu wewe ulipewa bure
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Kuna wakati urafiki una thamani sana mkuu!!hakuna namna jitume kwenye friends zone huenda ukamshawishi lengo likatimia
naelewa kwahiyo huna tena interest nae kuulinda urafiki?Kuna wakati urafiki una thamani sana mkuu!!
Aaliyyah una Soma hiππ€£π€£Watu wachoyo walah, kwa nini umnyime mtu kitu wewe ulipewa bure
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Urafiki ni muhimu ndugu.naelewa kwahiyo huna tena interest nae kuulinda urafiki?
π π π na wee mbona unaamka mapemaaa sanaa.. huna cha morning glory nini..Had sa 8 mnachat tu badala ya kulala National Anthem
Moyo una vuja dam hatariπͺπͺ, Mzee wa kupambania ana jua hili, πππ π ππ π€π€
poleni sana...