Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #101
Usikute Moyo wake una vuja damu😂😅😅😅 na wee mbona unaamka mapemaaa sanaa.. huna cha morning glory nini..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikute Moyo wake una vuja damu😂😅😅😅 na wee mbona unaamka mapemaaa sanaa.. huna cha morning glory nini..
😭😭😭😭😭😭😭😭Poleeee😀😀
😅😅😅😅😅 asemeee tu aliemtupa.. moyo uponyekeeeeUsikute Moyo wake una vuja damu😂
Poleni sana aisee...Moyo una vuja dam hatari😪😪, Mzee wa kupambania ana jua hili, 😂😂
Yaani huu Moyo😪😪😪😅😅😅😅😅 asemeee tu aliemtupa.. moyo uponyekeeee
ni kama unaenda vitani tu.. unaweza ukarudi mzima, mauti au n.k..Na kwa nini umtongoze mtu ambaye hauna uhakika wa jinsi yake?Huo nao ni uzuzu sana.Umeipenda avatar yake?
Kwani ni kosa letu🙄, au ni ukatili wa hao wakataaji😂🙏Poleni sana aisee...
Angalieni mnakosea wapi...
Ume juaje🙄, au na wewe ni team Moyo vuja dam😂🤣Na kwa nini umtongoze mtu ambaye hauna uhakika wa jinsi yake?Huo nao ni uzuzu sana.Umeipenda avatar yake?
moyooo we moyooo sukuma damuuuu tu... achana na vingine... utaniuaaaaa 😅😅😅Yaani huu Moyo😪😪😪
watu wana pasuliwaaa sanaaa tena bila ganzi 😅😅😅Ume juaje🙄, au na wewe ni team Moyo vuja dam😂🤣
Dah moyooo una collapusiiiing😂moyooo we moyooo suku damuuuu tu... achana na vingine... utaniuaaaaa 😅😅😅
Operation ya kibandidu 😂🤣, no ganzi no whattiiii😂🤣watu wana pasuliwaaa sanaaa tena bila ganzi 😅😅😅
Mwanajeshi mjanja na mwenye akili njema hutumia bunduki kama kinga tu dhidi ya usalama wake.Ila,akili ni kipimo Cha kweli.ni kama unaenda vitani tu.. unaweza ukarudi mzima, mauti au n.k..
moyooo umezidiwaaa mapigooo... moyooo umepoteza mwelekeooo... 😅😅😅... na nata unapo elekea unavinjwaaa tenaaDah moyooo una collapusiiiing😂
Fresh tuDah leo nimegundua kukataliwa inauma sana😐, iwe hadharani au hata huko pm😪.
Nikaona sio vibaya tukija na operation ponya Moyo, we tema cheche ili utoe sumu.
View attachment 2696572
Maishaaa haya hayataki u serioussss shwaaaa shwaaaa shwaaaaa....Mwanajeshi mjanja na mwenye akili njema hutumia bunduki kama kinga tu dhidi ya usalama wake.Ila,akili ni kipimo Cha kweli.