Upoteaji wa majina ya asili ya Waafrika

Kipi tulichobuni tukitumie.Ni nature kitu dhaifu ni lzm kife dhidi ya kitu bora
 
Hayo majina ya asili yatatusaidia nini? au yataturejesha uchumi wa kati?

Niache kumpa mtoto wangu majina mazuri ya kiislamu rashid, abdul, said, hassan n.k, eti nimpe majina ya ajabu ajabu yasiyo na mbele wa nyuma 😁
 
nani alikwambia hayo majina ya kizungu sio ya watu waliokufa. Au bado uko kwenye mzingo wa kuwa wazungu wamebarikiwa kuliko ww mweusi[emoji23][emoji1787]
 
Baada ya wa marekani weusi kuacha majina ya asili na kuanza kutumia ya kizungu ilibidi [emoji723] card zao zianze kutaja na rangi ya mwenye hiyo [emoji723] kama huyo John McCain ni black au Caucasian
At least black american naweza kuwapa pass kwa hili sababu babu zao hawakubadili kwa kupenda majina bali kwa MIJELEDI. Ila sisi huku hata bunduki hawakushika. Walishika tu kitabu cha dini na kutuambia kuwa "nyie mmelaaniwa" then tukaamini tukarithishana ujinga kizazi mpk kizazi. Kwamba majina ya wazungu yamebarikiwa[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787] Na yetu eti ni full yamelaaniwa[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787]Hadi mapadri/wachungaji walikuwa wanagoma kubatiza mtoto akipewa jina la kiafrica. Mpk utaje la kizungu..... UTUMWA WA FIKRA.....poor us.
 
nani alikwambia wazungu na majna yao hawana Mizimu uitajayo? Mtu anaitwa DICKSON .....serious[emoji1787][emoji23]
 
We unajua wahenga wa kizungu walikuwaje. Unajua wao walikuwa wapagani waabudu washetani kuliko sisi.
 
Inawezekana jamaa yako ana magonjwa au matatizo ya kiafya ya kurithi yaliyojificha.
 
Kwa maeneo ya Pwani na Zenji ni shida..
Majina ya wenyeji yamepotea, ya Waarabu yanatamalaki🙄
 
Hiki kizazi cha nyoka hakitauelewa huu uzi kwa sasa. Ila siku zaja ambapo wajukuu, vitukuu na vilembwe vyetu vitaitafuta asili yao (utamaduni na mila) maana watajikuta majina yao ni kama ya wazungu lakini asili yao ni tofauti na wazungu.
Kula like
 
Kuna haja kama taifa kuliangalia hili swala kwa ssa mpaka mtu ataje mpaka jina la 3 ndipo utagundua ni mtu wa sehemu gani mfano mimi ...NOEL ANTHONY KIMWERY kupitia jina langu la 3 ndipo utagundua ...aaahh kumbe [emoji12]
Kimwery au Kimweri mbona mnaharibu majina nyie? Unakuta mtu anaitwa Mbala halafu anaweka double "l" (Mballa) ili iwaje sasa?
 
Vipi kuhusu South Africa?
 
Jamaa katoa excuse ya kipumbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…