Eliya Dawa
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 270
- 164
Yan mkuu sijakuwa na haja ya kupitia maandiko yako mpaka mwiaho ila hauko sahihi
Maana ikiwa alie sign mkataba alikuwa anasign kwa akili yake sahihi itakuwaje uje leo ukatae huu ninujinga mkubwa haya.
Nilisoma juz kuwa Wahind wana kesi na sisi baada ya kubadili sheria ambayo imewapa hasara kwa kuwa mikataba iliosigniwa ilikuwa haijakidhi vigezo vyote ilitakiwa mzee akae na wahusika waneghoshieti na sio kuwaita wezi na mabeberu.
Kwaiyo Lissu yuko sahibi kwa maanasheria za mikataba mnazijua ukivunja mkataba unamlipa fidia muhusika haya saiv si tunalia na hakuna kitu kimebadilika zaidi huyo jiwe kujisifia kwenye amna upumbavu mkubwa tu[emoji706][emoji706][emoji706]
Maana ikiwa alie sign mkataba alikuwa anasign kwa akili yake sahihi itakuwaje uje leo ukatae huu ninujinga mkubwa haya.
Nilisoma juz kuwa Wahind wana kesi na sisi baada ya kubadili sheria ambayo imewapa hasara kwa kuwa mikataba iliosigniwa ilikuwa haijakidhi vigezo vyote ilitakiwa mzee akae na wahusika waneghoshieti na sio kuwaita wezi na mabeberu.
Kwaiyo Lissu yuko sahibi kwa maanasheria za mikataba mnazijua ukivunja mkataba unamlipa fidia muhusika haya saiv si tunalia na hakuna kitu kimebadilika zaidi huyo jiwe kujisifia kwenye amna upumbavu mkubwa tu[emoji706][emoji706][emoji706]