Uchaguzi 2020 Upotoshaji wa makusudi dhidi ya Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Upotoshaji wa makusudi dhidi ya Tundu Lissu

Hakuna Kama LISSU Uchaguzi huu.
Lissu ana sifa zote za kuwa Rais wa JMT. NIYEYE ✌🏽✌🏽✌🏽

Mtupoli limekua Lori la mkaa tripu shamba tripu gereji.
Na hivi halijui kidhungu ndio kabisa kabisa halifai.
 
Kashawishi ukoo wako wote, wilaya yako hata mkoa wote wampigie kura Lissu Ila nakuhakikishia Lissu hawezi kuwa Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.. NEVER. Sio 2020 bali kamwe. Ni rahisi Steve Nyerere kuwa Waziri mkuu kuliko Tundu Lissu kuwa Raisi wa Tanzania. Bado siku 21 tu, Stay tuned.
Ndo nini hiki ulichoandika!?
Hii Huwezi kuelewa kwa vile umejaza "MBOJI"🤣🤣🤣 pale mahali juu ya shingo papapohusisha kufikiri,kutafusri mambo.

Pole mkuu "MBOJI" si mchezoooo 🤣🤣🤣🤣
 
Tukiwa tumebakiwa na wiki tatu tu Watanzania tupige kura kuchagua Rais, wabunge na madiwani.

Licha ya kuwa na wagombea 15 wa kiti cha Rais lakini mpaka sasa wenye nguvu ya ushawishi ni kutoka vyama viwili vya CCM na CHADEMA.

Lakini kumekuwepo na kutumia nguvu kubwa sana kujaribu kupotosha kauli ya mgombea wa CHADEMA kwenye kampeni zake.

Wapinzani wake mara nyingi wamekuwa wakipotosha kwamba anasema kwenye uchaguzi huu lazima yeye atangazwe mshindi na kwamba asipotangazwa basi ataingiza watu barabarani.

Wenye kueneza upotoshaji huu kwangu mimi nawafananisha na maadui wa taifa hili kwasababu wanajaribu kumjengea chuki ya makusudi Mh.Lissu ili aonekane yeye yupo kwa ajili ya kuleta vurugu.

Lakini haishangazi maana watu hao hao ndio wanasema Lissu ametumwa na Mabeberu, mara akishinda atauza nchi.

Hawa ni wapotoshaji ambao kwa kiasi kikubwa wametawaliwa na ubinafsi, unafiki, na uchu wa kutawala ambao lengo lake si kwa maslahi mapana ya nchi na wananchi wote bali wao na familia zao.

Lissu mara zote ameweka wazi msimamo wake kwamba pamoja na tume kutokuwa huru lakini anachotaka ni uchaguzi wa haki na huru. Kwa maana kwamba kusiwepo na mizengwe na figisu figisu kama ilivyozoeleka kwenye chaguzi zote. Amesema akishindwa kwa haki hatakuwa na shida na yeyote na atakuwa wa kwanza kukubali matokeo, kinyume chake anesema hakitaeleweka.

Sasa unajiuliza hawa wapotoshaji wanaogopa nini kuendesha uchaguzi wa huru haki na uwazi? Kama wanaamini wanakubalika sana kwa watanzania kwa namna wanavyoongoza nchi sasa hofu yao inatokana na nini?

Ukijaribu kuitafakari kauli yao kwamba Lissu ametumwa na Mabeberu na kwamba akishinda urais atauza nchi, yaani utagundua kuwa ni kauli ya kipuuzi iliyokosa maana kabisa.

Maana Lissu ni mtanzania kama walivyo wao, tofauti yao ni kwamba wakati Lissu amepambana kwa miaka 17 kutetea raslimali za nchi hii, hao wapotoshaji walikuwepo na hawajawahi kukemea au kusema lolote juu ya ujambazi unaofanyika kwenye raslimali asili zetu kwa baraka za ccm. Zaidi sana wakamuona Lissu kama anakwamisha maendeleo wakamfungulia kesi ili wafunge.

Lissu kwa miaka yote ameonekana kuwa adui mkubwa wa serikali ya CCM kwasababu ya msimamo wake wa kutetea raslimali za nchi hii. Mpaka sasa raslimali zetu zinaendelea kuwafaidisha hao wanaoitwa mabeberu kama walivyokabidhiwa na serikali ya ccm kupitia sera waliyoibatiza jina la wawekezaji..

Wapotoshaji hao hapo huwezi kuwasikia wakisema lolote.

Watanzania tuamke usingizini, hawa wenzetu wanachokipigania ni maslahi yao na ya familia zao. Wanaona ujio wa Lissu ni tishio kwao na kwamba akishinda hivyo madhambi yao yatawekwa wazi ndio maana wanapigana kufa na kupona kumzuia asishinde ili kulinda madhambi yao.

Mtazania shtuka.
Umejitahidi sana kumsafisha TL kutumia uongo. Ukweli ni kwamba JPJM ndiyo mtetezi wa wanyonge pamoja na rasilimali zetu KWA VITENDO. TL tayari kishasema wakipewa madaraka ataweka madini yetu dhamana KWA HAO MAKABURU. Ndiyo maana Amsterdam, Trippi, nk wanafanya kazi kutishia taifa huru kwa uchu wa madini yetu. AMKA MJOMBA MAKABURU HAWAKUPENDI, WANAPENDA MALI ZAKO.
 
Wakili wa Lisu anatisha watu na taasisi zetu,

Lisu naye anaapa kuwa asipotangazwa na NEC patachimbika, yaani labda sijui iweje ila lazima atangazwe mshindi.

Kuna clip nyingi Sana akisema hivyo, hakuna haja ya kuandika uzi huu kutudanganya.
 
Tukiwa tumebakiwa na wiki tatu tu Watanzania tupige kura kuchagua Rais, wabunge na madiwani.

Licha ya kuwa na wagombea 15 wa kiti cha Rais lakini mpaka sasa wenye nguvu ya ushawishi ni kutoka vyama viwili vya CCM na CHADEMA.

Lakini kumekuwepo na kutumia nguvu kubwa sana kujaribu kupotosha kauli ya mgombea wa CHADEMA kwenye kampeni zake.

Wapinzani wake mara nyingi wamekuwa wakipotosha kwamba anasema kwenye uchaguzi huu lazima yeye atangazwe mshindi na kwamba asipotangazwa basi ataingiza watu barabarani.

Wenye kueneza upotoshaji huu kwangu mimi nawafananisha na maadui wa taifa hili kwasababu wanajaribu kumjengea chuki ya makusudi Mh.Lissu ili aonekane yeye yupo kwa ajili ya kuleta vurugu.

Lakini haishangazi maana watu hao hao ndio wanasema Lissu ametumwa na Mabeberu, mara akishinda atauza nchi.

Hawa ni wapotoshaji ambao kwa kiasi kikubwa wametawaliwa na ubinafsi, unafiki, na uchu wa kutawala ambao lengo lake si kwa maslahi mapana ya nchi na wananchi wote bali wao na familia zao.

Lissu mara zote ameweka wazi msimamo wake kwamba pamoja na tume kutokuwa huru lakini anachotaka ni uchaguzi wa haki na huru. Kwa maana kwamba kusiwepo na mizengwe na figisu figisu kama ilivyozoeleka kwenye chaguzi zote. Amesema akishindwa kwa haki hatakuwa na shida na yeyote na atakuwa wa kwanza kukubali matokeo, kinyume chake anesema hakitaeleweka.

Sasa unajiuliza hawa wapotoshaji wanaogopa nini kuendesha uchaguzi wa huru haki na uwazi? Kama wanaamini wanakubalika sana kwa watanzania kwa namna wanavyoongoza nchi sasa hofu yao inatokana na nini?

Ukijaribu kuitafakari kauli yao kwamba Lissu ametumwa na Mabeberu na kwamba akishinda urais atauza nchi, yaani utagundua kuwa ni kauli ya kipuuzi iliyokosa maana kabisa.

Maana Lissu ni mtanzania kama walivyo wao, tofauti yao ni kwamba wakati Lissu amepambana kwa miaka 17 kutetea raslimali za nchi hii, hao wapotoshaji walikuwepo na hawajawahi kukemea au kusema lolote juu ya ujambazi unaofanyika kwenye raslimali asili zetu kwa baraka za ccm. Zaidi sana wakamuona Lissu kama anakwamisha maendeleo wakamfungulia kesi ili wafunge.

Lissu kwa miaka yote ameonekana kuwa adui mkubwa wa serikali ya CCM kwasababu ya msimamo wake wa kutetea raslimali za nchi hii. Mpaka sasa raslimali zetu zinaendelea kuwafaidisha hao wanaoitwa mabeberu kama walivyokabidhiwa na serikali ya ccm kupitia sera waliyoibatiza jina la wawekezaji..

Wapotoshaji hao hapo huwezi kuwasikia wakisema lolote.

Watanzania tuamke usingizini, hawa wenzetu wanachokipigania ni maslahi yao na ya familia zao. Wanaona ujio wa Lissu ni tishio kwao na kwamba akishinda hivyo madhambi yao yatawekwa wazi ndio maana wanapigana kufa na kupona kumzuia asishinde ili kulinda madhambi yao.

Mtazania shtuka.
Naona una masikio yanayosikia yasiyosikika kwa wengine. Kwa ujumla Lissu wako anajisemea lolote, popote! Leo hili kesho lile na hana kumbukumbu ya jana. Unahangika bure kufafanua wakati wote tunasikia anachosema. Wapiga kura ktk umri wa miaka 18 na zaidi hatuwezi kushindwa kusikia anachosema kwa usahihi. Tuachie tu, tunasubili 28 oktoba.
 
Inawezekana kusoma tusijue, lakini hata kuangalia picha hatujui? Mtu anafoka vile hajawa rais, akiwa rais itakuwaje? Nakumbuka alivyowaka katika ishu ya Zitto, hata viongozi wakuu wa Chadema wenyewe hawataki awe Rais na ndio maana wamekuacha. Anabaki kusema amekuwa adui wa kila mtu.
 
Yaani Mods waogope nyuzi za CHADEMA hata zilizo live huko ndio kulinda image kwa namna gani, hata taarifa ya Lissu kusali Azania Front nayo ukiiondoa unalinda image ya JF? Hii kwangu ni mpya sana!
Sasa Lisu kusali azania front nayo unataka iwe taarifa ya kujaza saver za jf kwa muda wots huo?

Hizo peaneni kwenye magroup yenu huko whatsap
 
yan mim nataka tu unieleze huuyu mzee wa Miga kweli atalinda yetu? na je angeweza kuvimbia wazee wa Makinikia.???
mnyonge mnyongen haki yake mpen.wewe niambie je Makinikia sakata lake angevimba au angelegea???
ukijibu tu narudi ufipa
 
Kwenye huu uchaguzi ccm na wote wanaowaunga mkono wakiwemo hata viongozi wa dini hawaongelei kabisa haki.

Wao wanasisitiza tu amani na kuwa watu waepuke vurugu na fujo lakini mazingira yanaweza kupelekea kuchochea hiyo hali kutokea hawazungumzii kabisa hali inayoonyesha ni kwa kiasi gani watu walivyo wanafiki.
 
Lisu ni kibaraka wa wazungu yaani ni wakala wao katumwa kuja kuleta vita, hafai na hatokuja kufaa kabisa. Akina Kambona walikuwepo wakashindwa sembuse huyu mwenye upungufu wa akili? Tena hajulikani na watanzania
 
Hatutaki mtu mwenye wazo la kuingiza watoto wa watu barabarani wavunjike miguu.

Pumbavu kabisa wewe, amesema uchaguzi uwe huru kusiwe na mizengwe sasa kinashindika nini kuwa na uchaguzi huru akatangazwa mshindi wa halali. Ati hatutaki mtu wa kuingiza watu barabarani, kwahiyo mnataka kuiba kura halafu muambiwe tunamuachia Mungu.
 
Mimi kwangu mtu yoyote mwenye uwezo wa kuitoa ccm madarakani niko tayari kumpa support, hata wewe pamoja na akili yako hiyo kama naona unaweza kuitoa ccm naweza kukupa support.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Umejitahidi sana kumsafisha TL kutumia uongo. Ukweli ni kwamba JPJM ndiyo mtetezi wa wanyonge pamoja na rasilimali zetu KWA VITENDO. TL tayari kishasema wakipewa madaraka ataweka madini yetu dhamana KWA HAO MAKABURU. Ndiyo maana Amsterdam, Trippi, nk wanafanya kazi kutishia taifa huru kwa uchu wa madini yetu. AMKA MJOMBA MAKABURU HAWAKUPENDI, WANAPENDA MALI ZAKO.
Hakuna adui mkubwa Tz kama Jiwe, amka mkuu

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom