Upotoshwaji wa mazungumzo ya PLO Lumumba, Lissu - VoA

Upotoshwaji wa mazungumzo ya PLO Lumumba, Lissu - VoA

Nachozungumza ni uhalisia tofauti na kejeli zako unazozitoa hapa.

Wapo ambao wanataka asirudi kabisa kwani wanasema ni mtu wa vurugu na atavuruga amani iliyopo kwa sasa,

Hayo ni maoni ya wanachi mkuu, wale wasiopenda siasa za kijinga kama zake ambao ni wengi sana na ambao hawakumchagua 2020.

Hayo ni maoni yako. Ustaarabu ni kuheshimu maoni ya watu wengine hata kama hukubaliani nao.

Huyu bwana akiongea media yote inayo mhofia bwana yule akiwa hai au akiwa mfu hutafuta sababu za kutoonyesha anasema nini.

Huyu bwana ana wafuasi wengi sana wenye machungu naye ya dhati kama mtanzania na kama mwuungwana aliyetaka kuuwawa bila sababu na watu ambao wakifa leo kutafanyika sherehe.

Huyu bwana ni mshirika wa wengi katika kupambana na udhalimu yakiwamo: ukiukaji wa haki za binadamu, kudai katiba mpya, kudai utawala wa sheria na katiba, kudai haki ya watu kuishi ikiwamo kudai mapambano ya dhati dhidi ya Corona, nk.

Ni vizuri ukatambua huyu bwana ana wafuasi wengi sana na hata uchaguzi 2020 aliibiwa.
 
Tuendelee kusherekea vifurushi vipya. Mi5 Tena [emoji123]
 
Mtakuwa na machungu sana kuwa upotoshaji mliokuwa mmejipanga nao kuhusiana na mazungumzo haya umeporomoka mithili ya gunia tupu.

Ama kweri gunia tupu halisimami!

Hiiiiii!
Hivi ulisikiliza mahojiano au ulisimuliwa?kweli hata wajinga nao wanazeeka
 
Hivi ulisikiliza mahojiano au ulisimuliwa?kweli hata wajinga nao wanazeeka

Pana links 2 zina video attached. Bado unauliza utopolo huu unaouliza?

Hamuwezi kuelimika mamburula nyie hata kama mtakaa kutambika!

Ni wazi kuwa uliyesimuliwa ni wewe. Na ni kweri kuwa mjinga wewe sasa hivi umezeeka kweri kweri!

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Pana links 2 zina video attached. Bado unauliza utopolo huu unaouliza?

Hamuwezi kuelimika mamburula nyie hata kama mtakaa kutambika!

Ni wazi kuwa uliyesimuliwa ni wewe. Na ni kweri kuwa mjinga wewe sasa hivi umezeeka kweri kweri!

Au nasema uongo ndugu zangu?
Kweeeriiiiiiii
 
Mkuu umeandika vyema sana kuliko hawa anaowaita Lissu majasiri au wenye kujitoa ufahamu wanaotaka kutuaminisha visivyo kuwapo akina johnthebaptist.

La msingi sana kuona mazungumzo yale yalikuwa na utulivu na umakini mkubwa. Sasa hawa ndugu zetu walioishiwa hoja na kuona kulikuwa na hasira wanayaona hayo wapi, kutokea Lumumba?

Au ni ushabiki ushabiki kwa sababu huyu jamaa naye jina lake ni Lumumba?

Mengine uliyoandika wewe ni ufafanuzi wa mawazo yako tu, ambayo ninayaheshimu ila na wewe heshima ya mawazo ya wenzio. Ndiyo ustaarabu huo.

Nionacho katika mazungumzo hayo kama Lumumba analipata nafasi ya kusikia alichoongea Lissu atakuwa kajifunza kuwa:

Tanzania kama ilivyo kwa binadamu wengine tunahitaji demokrasia, kuheshimiwa kwa haki za binadamu, kuheshimiwa kwa sheria na katiba.

Zaidi sana atakuwa katambua kuwa tupo tunaoamini kuwa tunawajibika kimataifa bila ya kusahau wajibu wetu kuhusiana na ugonjwa wa Corona.

Lumumba atakuwa kajifunza si watanzania wote wenye kukumbatia ushirikina dhidi ya sayansi.

Lumumba atakuwa kajifunza kuwa Tanzania ni ya watanzania wenyewe!

Au nasema uongo ndugu zangu?

Naheshimu mawazo yako na nakubaliana na ulichofafanua.
 
Back
Top Bottom