Upotoshwaji wa mazungumzo ya PLO Lumumba, Lissu - VoA

Upotoshwaji wa mazungumzo ya PLO Lumumba, Lissu - VoA

Sasa ndio huyo aliyeongea kwa hasira ndio kashushuliwa na PLO Lumumba kwa urongo wake bwashee!

IMG_20210402_071850_632.jpg
 
Mbeligiji, akili zake sio zile tena za kabla ya kujeruhiwa kwake,

Kuna Yule wa awali kabla ya tukio lililotokea makao makuu pale, huyo alikuwa kichwa haswaa!!

Huyu wa leo wa Ubeligiji, ni empty, hamna kitu tena!!!
Kwani alijeruhiwa na nani?
 
Kwani alijeruhiwa na nani?
Najua basi!!

Wengi Wana ashumu eti labda huyu, labda Yule, labda Kazi zake za uanasharia, basi ili mradi mtu Anasema lake, lakini mwenye uhakika Kwa asilimia Mia hajajitokeza hadharani
 
Wamezoeshwa kuishi kwa uwongo kwa miaka 5 ila wanapaswa kujua kuwa majira yamebadilika sasa
Mkuu Edward Sambai ,Tanzania imekuwa ya uongo uongo awamu ya baba wa uongo.
Kiongozi mkubwa kabisa anasema uongo akiwa kwenye nyumba ya ibada. Wafuasi nao ndio hawapo nyuma kwa uongo.
Nawasihi viongozi wa dini wajitahidi kulikemea hili la uongo kwani Mungu alivyo mwema katuondolea mzizi (baba wa uongo),sasa kazi kwao kuondoa haya yaliyobaki.
 
Baba wa uongo ni shetani.
Taifa la uongo uongo ni taifa la kishetani.
Viongozi wa dini chukueni hatua.
Wazazi chukueni hatua.
 
Hahahaaaa...... huyo haliwezi yai la PLO Lumumba labda angekuwa mtafsiri ni Nyani Ngabu!

Haifahamiki rejea yako ni ipi.

1. Shaka aliongea na Lissu kwanza kabla ya kuongea na Prof Lumumba.

2. Kwa mazungumzo ya Shaka na Lissu hakukuwa na reference ya Prof PLO Lumumba popote.

3. Reference ya Lissu kwa Lumumba ililetwa na Lumumba katika kutetea hoja kuwa marehemu aachwe kupumzika kwa amani.

Wajameni hata kama marehemu alikuwa mwuaji?

Hasira za Lissu ambazo hata wakulungwa wenzio hawakuziona ulizipata kwa Lumumba profesa au Lumumba mtaa?

IMG_20210402_071850_632.jpg
 
Lissu ni mgonjwa wa akili hamna anayemfatilia.
Wewe na wenzio wa Lumumba mnamfuatilia sana, ila anawakera kwa kutema waziwazi madhaifu ya marehemu mnayoogopa kuyasikia hata kwenye NJOZI.
 
Haifahamiki rejea yako ni ipi.

1. Shaka aliongea na Lissu kwanza kabla ya kuongea na Prof Lumumba.

2. Kwa mazungumzo ya Shaka na Lissu hakukuwa na reference ya Prof PLO Lumumba popote.

3. Reference ya Lissu kwa Lumumba ililetwa na Lumumba katika kutetea hoja kuwa marehemu aachwe kupumzika kwa amani.

Wajameni hata kama marehemu alikuwa mwuaji?

Hasira za Lissu ambazo hata wakulungwa wenzio hawakuziona ulizipata kwa Lumumba profesa au Lumumba mtaa?

View attachment 1741066
PLO Lumumba alisema amemsikiliza vizuri Tundu Lisu ambaye ameongea kwa hasira kila anapomzungumzia hayati Magufuli.

Prof Lumumba akasema anamuheshimu Tundu Lisu kwani wako kwenye tasnia moja ya sheria na hata alipopigwa risasi alimpa pole ila anamshauri apunguze hasira kwani anaweza kupoteza ushawishi na heshima aliyonayo kwa wafuasi wake.

Binafsi Tundu Lisu sikumsikiliza kabisa, maana angeweza kuniharibia utaratibu wangu wa Juma Takatifu!
 
Mabibi na mabwana kuna upotoshwaji wa wazi wa kilichotokea straight talk Africa jana.

Labda kwa sababu ya siku 21 za maombolezo ya msiba mkubwa tuliomo, Star TV hawakuyaonyesha kabisa mazungumzo hayo.

Kilichotokea katika mazungumzo haya ya nia njema kama yalivyokuwa, Lissu aliongea kwanza na bwana Shaka Ssali:




Baada ya kumalizana na Lissu, Shaka aliongea baadaye na Prof. Lumumba bila ya Lissu kuwapo:




Kumhusisha Lumumba na Lissu au vice versa ni upotoshaji wa wazi wenye kukosa mashiko.

Ni wazi kuwa Shaka alihoji na kujibiwa kila alichohitaji majibu akiheshimu kikamilifu mitizamo ya kila mmoja.

Hapakuwa marumbano yoyote katika mazungumzo hayo.

Kwamba nani kamfunda nani? Wajameni wapi kulikuwa na kufundana?

Hiiiiii!
Brazaj: unamjua lissuuuuuu au unamsikia tu? Angemtukana mtangazaji, angekutukana wewe, angemtukana magufulu pamoja na umarehemu wake, chombo hicho kingefungikiwa (kila nchi ina cyber crimes rules,au faini kali za defamation). Mtangazaji alifanya utafiti wake before hand, na labda alimuuliza Professor pia, au alijua tu kwamba tundulissu ni fyatu. Ulisikiliza interview ya tundulissu peke yake alivyodai kuwa Magufuli kafia India?
 
PLO Lumumba alisema amemsikiliza vizuri Tundu Lisu ambaye ameongea kwa hasira kila anapomzungumzia hayati Magufuli.

Prof Lumumba akasema anamuheshimu Tundu Lisu kwani wako kwenye tasnia moja ya sheria na hata alipopigwa risasi alimpa pole ila anamshauri apunguze hasira kwani anaweza kupoteza ushawishi na heshima aliyonayo kwa wafuasi wake.

Binafsi Tundu Lisu sikumsikiliza kabisa, maana angeweza kuniharibia utaratibu wangu wa Juma Takatifu!
Lissu is a loser....
he has nothing now....
siasa zake zilipata backup kubwa ya Magu...
now he is crying like a little baby
 
Brazaj: unamjua lissuuuuuu au unamsikia tu? Angemtukana mtangazaji, angekutukana wewe, angemtukana magufulu pamoja na umarehemu wake, chombo hicho kingefungikiwa (kila nchi ina cyber crimes rules,au faini kali za defamation). Mtangazaji alifanya utafiti wake before hand, na labda alimuuliza Professor pia, au alijua tu kwamba tundulissu ni fyatu. Ulisikiliza interview ya tundulissu peke yake alivyodai kuwa Magufuli kafia India?

Ange, ange, ange, ....

Hizi ndiyo zetu za uswahilini - typical!

Wewe unajua Magufuli alifia wapi?

Hukusikia kuwa yeye huwa ana work plan yake ambayo haihojiwi na kuwa si lazima yeye kuonekana akizurura magomeni au kariakoo?

Hukusikia kuwa marehemu alikuwa busy na mafaili akichapa kazi?

Kwani walioongea naye kwa simu wametokea hata kusema kumradhi tu?

Kwamba wewe unadhani unamjua nani? Hukuwahi kuwasikia waliosema usiusemee moyo?
 
Back
Top Bottom