Upotoshwaji wa mazungumzo ya PLO Lumumba, Lissu - VoA

Upotoshwaji wa mazungumzo ya PLO Lumumba, Lissu - VoA

Mkuu angalia hii:


Soma title kisha ona contents nyani wale wale pori jipya.
Duh
 
Mmoja ameongea kwa hasira sana kila anapolitaja jina la hayati Magufuli!

Hiyo hasira mnaiona je?

Hii ya vichwa vya habari tokea ile mitaa ya kwenu kama hii:


Danganyeni hao wa Chatto.

Lissu yuko wazi na bila jazba kuwa:

"Alipokea na atafikisha salamu za pole za msiba na rambirambi kwa watanzania kutoka kwa shaka."

"Inataka uwe jasiri haswa au kujitoa ufahamu kuziamini kauli za serikali ya awamu ya tano."

Nani hakusikia kuwa rais alikuwa kaongea na watu kwa simu kuwa alikuwa haumwi?

Hiiiiii bagosha!
 
Hiyo hasira mnaiona je?

Hii ya vichwa vya habari tokea ile mitaa ya kwenu kama hii:


Danganyeni nao wa Chatto.

Lissu yuko wazi na bila jazba kuwa:

"Alipokea na atafikisha salamu za pole za msiba na rambirambi kwa watanzania kutoka kwa shaka."

"Inataka uwe jasiri haswa au kujitoa ufahamu kuziamini kauli za serikali ya awamu ya tano."

Nani hakusikia kuwa rais alikuwa kaongea na watu kwa simu kuwa alikuwa haumwi?

Hiiiiii bagosha!
Nawazooom tu alafu nasema Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Mbeligiji, akili zake sio zile tena za kabla ya kujeruhiwa kwake,

Kuna Yule wa awali kabla ya tukio lililotokea makao makuu pale, huyo alikuwa kichwa haswaa!!

Huyu wa leo wa Ubeligiji, ni empty, hamna kitu tena!!!

Huyu bwana kawashika kubaya kweri kweri.

Hiiiiii!
 
Mimi nilichogundua ni kuwa mkenya ana uchungu sana na Tanzania na Afrika kwa ujumla kuliko Mnyiramba wa Singida wa katikati ya Tanzania. Plo Lumumba anajua kuwa Magufuli amejenga bwawa la umeme, SGR nk. Lakini mshenzi yule bado analia kwanini JPM amefanya maendeleo Chato tuu. What ashame.
 
Mimi nilichogundua ni kuwa mkenya anauchungu sana na Tanzania na afrika kwa ujumla kuliko mnyiramba wa singida wa katikati ya tanzania. Plo lumumba anajua kuwa magufuli amejenga bwawa la umeme,sgr nk. Lakini mshenzi yule bado analia kwanini JPM amefanya maendeleo chato tuu. what ashame.

Umesikia umeambiwa?
 
Back
Top Bottom