Edward Sambai
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 2,823
- 3,831
Wamezoeshwa kuishi kwa uwongo kwa miaka 5 ila wanapaswa kujua kuwa majira yamebadilika sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhMkuu angalia hii:
CHADEMA wamesema hawatoshiriki katika uchaguzi mdogo wa Ubunge Jimbo la Muhambwe
Chama cha CHADEMA kimesema hakitashiriki uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Muhambwe lililopo wilayani Kibondo Mkoa wa Kigoma. Jimbo la Muhambwe liko wazi baada ya aliyekuwa mbunge Atashasta Nditiye kufariki dunia Februari 12, 2021 katika Hospitali ya Benjamin Mkapa mkoani Dodoma alikokuwa...www.jamiiforums.com
Soma title kisha ona contents nyani wale wale pori jipya.
Uongo gani?Wewe ndiyo ulipandisha uzi wa kutunga uongo
Na ukadanganya kuwa amesomea UdsmUongo gani?
Mimi sikuwa na muda wa kumxungumzia Tundu Lisu kwa sababu Maelezo yake ni hayo hayo kila siku.
Nilizungumzia nondo za mbobezi wa sheria Afrika PLO Lumumba!
Hahahaaaa...... hahahaaaa.... PLO Lumumba amewavuruga hadi mmesusa uchaguzi wa Muhambwe!Mkuu sisi tuliofuatilia mjadala ule wala hatujahangaika na huyo mzushi anayelipwa johnthebaptist , tumempuuza vibaya sana
Kwani kusoma Udsm ndio nini?Na ukadanganya kuwa amesomea udsm
Mmoja ameongea kwa hasira sana kila anapolitaja jina la hayati Magufuli!
VV zao ndiyo lugha ipi hiyo?Kwani kusoma udsm ndio nini?
Mbona hata Freeman alisoma pale.
James Mbatia alisoma pale.
Lakini kwenye vv zao hawasemi.
Nawazooom tu alafu nasema HiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiHiyo hasira mnaiona je?
Hii ya vichwa vya habari tokea ile mitaa ya kwenu kama hii:
CHADEMA wamesema hawatoshiriki katika uchaguzi mdogo wa Ubunge Jimbo la Muhambwe
Chama cha CHADEMA kimesema hakitashiriki uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Muhambwe lililopo wilayani Kibondo Mkoa wa Kigoma. Jimbo la Muhambwe liko wazi baada ya aliyekuwa mbunge Atashasta Nditiye kufariki dunia Februari 12, 2021 katika Hospitali ya Benjamin Mkapa mkoani Dodoma alikokuwa...www.jamiiforums.com
Danganyeni nao wa Chatto.
Lissu yuko wazi na bila jazba kuwa:
"Alipokea na atafikisha salamu za pole za msiba na rambirambi kwa watanzania kutoka kwa shaka."
"Inataka uwe jasiri haswa au kujitoa ufahamu kuziamini kauli za serikali ya awamu ya tano."
Nani hakusikia kuwa rais alikuwa kaongea na watu kwa simu kuwa alikuwa haumwi?
Hiiiiii bagosha!
Ukiangalia nini kinapelekea mpaka aongee kwa hasira mkuuMmoja ameongea kwa hasira sana kila anapolitaja jina la hayati Magufuli!
kuna tofauti kubwa kati ya proff.na mropokaji na mganga njaa wa Ubelgiji.
CCM mnapata shida sana mkisikia Jina Tundu Lissu!kuna tofauti kubwa kati ya proff.na mropokaji na mganga njaa wa Ubelgiji
Lisu ni mgonjwa wa akili hamna anayemfatilia.
Mbeligiji, akili zake sio zile tena za kabla ya kujeruhiwa kwake,
Kuna Yule wa awali kabla ya tukio lililotokea makao makuu pale, huyo alikuwa kichwa haswaa!!
Huyu wa leo wa Ubeligiji, ni empty, hamna kitu tena!!!
Mimi nilichogundua ni kuwa mkenya anauchungu sana na Tanzania na afrika kwa ujumla kuliko mnyiramba wa singida wa katikati ya tanzania. Plo lumumba anajua kuwa magufuli amejenga bwawa la umeme,sgr nk. Lakini mshenzi yule bado analia kwanini JPM amefanya maendeleo chato tuu. what ashame.