Upotoshwaji wa mazungumzo ya PLO Lumumba, Lissu - VoA

Upotoshwaji wa mazungumzo ya PLO Lumumba, Lissu - VoA

Ushauri mwanana kabisa!
Mimi nilsikiliza mahojiano ya wote wawili Prof. Lumumba na Lissu wakihojiwa na Chaka Ssali; kila mmoja wao alijibu maswali waliyoulizwa kwa ufanisi kama walivyoweza na wote walikuwa watulivu na makini.Tundu ana jambo muhimu la kujifunza toka kwa Prof. Lumumba kama anataka kuondoka kwenye kuwa activist na kuwa mwanasiasa wa kuheshimika na watanzania na sio watu wa nje ya Tanzania.

Tanzania kama nchi ina mila na desturi ambazo wanasiasa lazima kuziheshimu kwani watu wanaowaongoza wanazihesimu mila na desturi hizo. Magufuli ametangulia Mbele ya haki hivyo sio vizuri kutumia lugha ya matusi dhidi yake sio ustaarabu. Marehemu alikuwa na wafuasi wengi sana kama ilivyodhihilika wakati wa msiba wake na hao hao ndio wapiga kura ambao Tundu Lissu atajaribu kuwatongoza kuwa waje kuwa wafuasi wa chama anachokiongoza!! Lakini anapomtukana na kutumia lugha isiyo ya kistaarabu dhidi ya hayati kipenzi chao anazidi kuweka uzio ambao utamzuia kuwashawishi hawa kuwa yeye Tundu Lissu ni kiongozi bora kuliko hayati mpendwa wao na hivyo kuwakosa wafuasi hao. Mwanasiasa mzoefu asingefanya hivyo. Hilo ni somo moja ambalo Prof. Lumumba alimsihi Tundu Lissu ajifunze!!!
 
Uongo gani?

Mimi sikuwa na muda wa kumzungumzia Tundu Lisu kwa sababu Maelezo yake ni hayo hayo kila siku.

Nilizungumzia nondo za mbobezi wa sheria Afrika PLO Lumumba!
Hakuna cha ubobezi pale, ni kawaida, sema utumia usanii wake wa maneno mengi yasiyo na sababu kuchanganya na kupotosha wasio na ufahamu wa mambo ya msingi. Mbona nchi yake haitumii ubobezi wake kivile? Nini amefanya nchini kwake?
 
Lissu ni mgonjwa wa akili hamna anayemfatilia.
Utakuwa wewe mwenyewe mgonjwa wa akili. Sababu wewe ni miongoni mwa wanaomfuatilia lakini unasema hakuna anayemfuatilia.
 
Tundu Lissu aliposema body guard wa Magufuli nae ni marehemu hapo ndipo alipo discrédit sources zake za information!!
Ndo utajua bwana yule zjmo au hamnazo. Mwendo wa kuropoka halafu eti aje awe rais wa Tanzania.
 
Mabibi na mabwana kuna upotoshwaji wa wazi wa kilichotokea straight talk Africa jana.

Labda kwa sababu ya siku 21 za maombolezo ya msiba mkubwa tuliomo, Star TV hawakuyaonyesha kabisa mazungumzo hayo.

Kilichotokea katika mazungumzo haya ya nia njema kama yalivyokuwa, Lissu aliongea kwanza na bwana Shaka Ssali:




Baada ya kumalizana na Lissu, Shaka aliongea baadaye na Prof. Lumumba bila ya Lissu kuwapo:




Kumhusisha Lumumba na Lissu au vice versa ni upotoshaji wa wazi wenye kukosa mashiko.

Ni wazi kuwa Shaka alihoji na kujibiwa kila alichohitaji majibu akiheshimu kikamilifu mitizamo ya kila mmoja.

Hapakuwa marumbano yoyote katika mazungumzo hayo.

Kwamba nani kamfunda nani? Wajameni wapi kulikuwa na kufundana?

Hiiiiii!
Masisiyemu yamechanganyikiwa Mtakatifu hatunae
 
Mungu mbariki PLO Lumumba.
Kwakweli hiki ni kichwa.
Utawala wa marehemu, uliingiwa na shetani. Hakuna kiongozi mwenye Roho wa Mungu ambaye anaweza kuua, kuteka na kuwapoteza watu aliotakiwa kuwalinda.

Kwa miaka 5 nchi yetu ilipitia kipindi cha giza. Lakini lililo muhimu ni kuwa hekima ya Mungu siyo ya mwanadamu. Hatuwezi kujua kwa nini Mungu aliruhusu watu wake wateseke, waumizwe, wauawe chini ya utawala wa kidhalimu, na kisha kuuondoa kwa namna ambayo hatukuifikiria. Mungu aendelee kuitwa Mungu, ukuu wake haupimiki, na maamuzi yake hayahojiwi wala kutabirika.

Tunaendelea kuomba, Mungu aijalie nchi kuwa na uongozi mzuri, wala usiwepo wakati tutakapoingizwa kwenye giza kama ilivyotokea.
 
Mimi nilsikiliza mahojiano ya wote wawili Prof. Lumumba na Lissu wakihojiwa na Chaka Ssali; kila mmoja wao alijibu maswali waliyoulizwa kwa ufanisi kama walivyoweza na wote walikuwa watulivu na makini.Tundu ana jambo muhimu la kujifunza toka kwa Prof. Lumumba kama anataka kuondoka kwenye kuwa activist na kuwa mwanasiasa wa kuheshimika na watanzania na sio watu wa nje ya Tanzania.

Tanzania kama nchi ina mila na desturi ambazo wanasiasa lazima kuziheshimu kwani watu wanaowaongoza wanazihesimu mila na desturi hizo. Magufuli ametangulia Mbele ya haki hivyo sio vizuri kutumia lugha ya matusi dhidi yake sio ustaarabu. Marehemu alikuwa na wafuasi wengi sana kama ilivyodhihilika wakati wa msiba wake na hao hao ndio wapiga kura ambao Tundu Lissu atajaribu kuwatongoza kuwa waje kuwa wafuasi wa chama anachokiongoza!! Lakini anapomtukana na kutumia lugha isiyo ya kistaarabu dhidi ya hayati kipenzi chao anazidi kuweka uzio ambao utamzuia kuwashawishi hawa kuwa yeye Tundu Lissu ni kiongozi bora kuliko hayati mpendwa wao na hivyo kuwakosa wafuasi hao. Mwanasiasa mzoefu asingefanya hivyo. Hilo ni somo moja ambalo Prof. Lumumba alimsihi Tundu Lissu ajifunze!!!

Mkuu umeandika vyema sana kuliko hawa anaowaita Lissu majasiri au wenye kujitoa ufahamu wanaotaka kutuaminisha visivyo kuwapo. Hawa akina johnthebaptist na wenzao.

La msingi sana kuona mazungumzo yale yalikuwa na utulivu na umakini mkubwa. Sasa hawa ndugu zetu walioishiwa hoja na kuona kulikuwa na hasira wanayaona hayo wapi, kutokea Lumumba?

Au ni ushabiki ushabiki kwa sababu huyu jamaa naye jina lake ni Lumumba?

Mengine uliyoandika wewe ni ufafanuzi wa mawazo yako tu, ambayo ninayaheshimu ila na wewe heshimu mawazo ya wenzio. Ndiyo ustaarabu huo.

Nionacho katika mazungumzo hayo kama Lumumba alipata nafasi ya kusikia alichoongea Lissu, basi atakuwa kajifunza kuwa:

Tanzania kama ilivyo kwa binadamu wengine tunahitaji demokrasia, kuheshimiwa kwa haki za binadamu, kuheshimiwa kwa sheria na katiba.

Zaidi sana atakuwa katambua kuwa tupo tunaoamini kuwa tunawajibika pia kimataifa bila ya kusahau wajibu wetu kuhusiana na ugonjwa wa Corona.

Lumumba atakuwa kajifunza si watanzania wote wenye kukumbatia ushirikina dhidi ya sayansi.

Lumumba atakuwa kajifunza kuwa Tanzania ni ya watanzania wenyewe!

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Mmoja ameongea kwa hasira sana kila anapolitaja jina la hayati Magufuli!

Huu utopolo mnauokota wapi?

IMG_20210402_071850_632.jpg
 
Mbeligiji, akili zake sio zile tena za kabla ya kujeruhiwa kwake,

Kuna Yule wa awali kabla ya tukio lililotokea makao makuu pale, huyo alikuwa kichwa haswaa!!

Huyu wa leo wa Ubeligiji, ni empty, hamna kitu tena!!!
Yaani ni kama Mandela alivyokuwa anamuongelea Kaburu Pieter Botha, au mzee Jaramog Odinga na Moi hapo Kenya?
 
Back
Top Bottom