Kitambi chakufutia tachi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 1,063
- 2,566
Mtu akiwa mpumbavu na ukamuambia kuwa yeye ni mpumbavu hapo haujamtusi bali umemuambia ukweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye teuzi wengi alikuwa hawajui ngoja tuone awamu ya pili. Wengi wamemuangusha sanaaUpumbavu zaidi ni pale unapoteua watu wapumbavu huku ukijua nkuwa ni wapumbavu ili kukusaidia kuteleleza majukumu yako.
... maamuzi ya ununuzi wa korosho kwa mfano, weledi ulitumika? Kwa context hiyo hiyo aliyeyafanya anastahili kuitwa mpumbavu pia?Hapana common sense. Wengi wana madegree mengi ila hovyo tu
Hapana hapa kulikuwa na nia nzuri ya kumlinda mkulima asipunjwe bei... maamuzi ya ununuzi wa korosho kwa mfano, weledi ulitumika? Kwa context hiyo hiyo aliyeyafanya anastahili kuitwa mpumbavu pia?
... "nia nzuri' ilitakiwa iongozwe na weledi wa hali ya juu na wa kisomi (madegree kama unavyodai kwenye thread yako). Kama hivyo havikutumika, then mhusika anastahili kuitwa mpumbavu? Hata waliotengeneza daraja lililozolewa hawakuwa na nia mbaya kwamba mwisho wa siku lizolewe.Hapana hapa kulikuwa na nia nzuri ya kumlinda mkulima asipunjwe bei
Kabla ya kuanza kumhukumu mtu ni lazima kwanza mtu uwe unajihakikishia je huyu mtu amefanya kosa kweli? Na kama amefanya kosa kweli ndio unapaswa kutoa hukumu yako.
Akiwa hajafurahiswhwa na utendaji wa Wahandisi wasomi na tena viongozi wa vitengo muhimu Rais JPM alitumia neno upumbavu kuonyesha kuwa hawa watumishi ambao ni wasomi hawakuwa na awareness na hawakutumia weledi wao ili kutatua tatizo ambalo kwa kutumia good sense and good judgement lingeweza kutatuliwa kwa muda mfupi.
Kumeibuka mijadala sehemu mbalimbali kuwa kwa kutumia neno upumbavu eti aliwatukana na kuwadhalilisha.Je neno upambavu ni tusi? Maana ni kukosa kufikiria vyema na kuwa na maamuzi mabaya.
Hawa wasomi walishindwa vipi kutumia taaluma yao na kuona ile sehemu fupi yenye gema ambalo lingeweza kutengeneza diversion fupi na ya kudumu. Lack of good sense which leads to mistake(Foolishness) ni tusi?
Kwa maoni yangu Rais hajawatukana ila amewakumbusha kutumia akili katika kutatua matatizo. Na hili ni tatizo kubwa maana watendaji wengi wa serikali hawatumii akili ili kutatua kero za wananchi.
kwa hio unakiri kua walichofanyiwa ni udhalilishaji au sio!Sasa si umefanya upumbavu,utajisikiaje?
Kama amri zipi ambazo zipo kinyume na katiba na sheria? Ambazo zitawafanya wateule wawe wapumbavu? Au ulitaka uwe mshauri wake? Lakini katiba inasema atafanya kazi bila kuingiliwa na mtu.Na hata kutoa amri bila kufuata taratibu zilizopo nao ni upumbavu. Mkubwa akiamua kuwa atakacho yeye ndio sheria matokeo yake wadogo hawataweza kutumia weledi kwenye kazi zao hadi aje mkubwa kuwaelekeza.
Mkubwa katika mazingira haya ndie mpumbavu nambari wahed.
Upumbavu ni tusi?Kuwa Na madegree hakumaanishi wwe ni perfect na unajua kila kitu, matusi ni utokana na ubovu wa malezi wa muhusika. MTU aliyeelmika na kustaarabika huwa Na staha Kwa wote katu hawezi dhalilisha watu kisha ameshikilia unga wao.Maisha ni mzunguko anaowatukana Leo kesho ndio mabosi zake je nao wafanye Yale yaliyomkuta Manji? Kusoma sio kujua kila kitu ilipaswa awaelekeze nimeona hapa ni sahihi nao Kwa sababu hii wanaafikiana na sio akiona wanyonge wamemzunguka ndio mzuka wa matusi unapanda hata yeye binafsi inamshushia heshima Kwa jamii hata Kwa watoto tunaogopa kutazama TV watoto wa sasa wadadisi wanadadisi.
Hapana,wao wenyewe walikiri ni wapumbavu. Kulikuwa na sehemu fupi hawakutumia akiri kuitumia kutengeneza diversion.kwa hio unakiri kua walichofanyiwa ni udhalilishaji au sio!
mimi sina ushahidi mwingine zaidi ya ule unaoonyesha dhahiri shahiri kuwa blunder imefanywa na aliye pale juu.Kuna watu wa chini yake walifanya upumbavu...ushahidi unao
Yeye mwenyewe ajakamilika na si kwamba anajua kila kitu angekuwa perfect vingi asingepaswa kuvifanyaHa
Habari za kujikomba zinatoka wapi? Na madudu gani?
Hata wewe ni mpumbavu hutumii sense kufanya good judgement.mimi sina ushahidi mwingine zaidi ya ule unaoonyesha dhahiri shahiri kuwa blunder imefanywa na aliye pale juu.
assuming anyway kuwa upo sahihi kwa narrative yako.... then ni sahihi pia kusema hata hao ambao yeye anawaita wapumbavu nao pia wana watu walio chini yao waliofanya huo upumbavu.
Pale wanatetea ugali wako matusi ayachomi mwiliHa
Hapana,wao wenyewe walikiri ni wapumbavu. Kulikuwa na sehemu fupi hawakutumia akiri kuitumia kutengeneza diversion.
Vipi watu wengine wakimkumbusha pia kwa kutumia neno hilohilo mfano kwenye maamuzi yake kuhusu korosho msimu uliopita.
Mtu unaweza kueleweka vizuri tu pasipokutumia maneno ya kukera kama hayo.
Ukimtukana MTU unajithibitisha ulivo mpumbavu unasameheka sababu ujui ulitendaloHata wewe ni mpumbavu hutumii sense kufanya good judgement.
JPM ni mpumbavu kabisa anawaita ikulu viongozi wa upinzani wachumia tumbo eti ili wakiue CDM anadhani sisi wananchi ni wapumbavu kama yeye hatujui nini tunataka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama amri zipi ambazo zipo kinyume na katiba na sheria? Ambazo zitawafanya wateule wawe wapumbavu? Au ulitaka uwe mshauri wake? Lakini katiba inasema atafanya kazi bila kuingiliwa na mtu.