Upungufu wa funds au fedha ndiyo chanzo kikubwa cha migogoro NHIF siyo shida ya kiungozi ndani ya mfuko

Upungufu wa funds au fedha ndiyo chanzo kikubwa cha migogoro NHIF siyo shida ya kiungozi ndani ya mfuko

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Upungufu wa fedha za kutosha NHIF ndiyo chanzo kikubwa cha migogoro NHIF , hiki ndicho husababisha

>>Baadhi ya huduma kutolipiwa na mfuko

>>Hospitali kukatwa au kutolipwa madai yao kwa wakati

>>Hospitali kulipwa na kukatwa fedha kwa sababu sisizo za msingi hivyo kufanya huduma inayotolewa isiridhishe

>>NHIF kuwa na bei ndogo sana ya gharama ya huduma zao hii inapelewa wamiliki wa vituo kwenda options cheap kukizi matakwa ya mfuko au kutotoa hizo huduma

Hizi sababu za kukopeshana ili kuboresha maisha ya watumishi ,ufisadi hata hizo pesa zikirudi Mfuko hauwezi kujisimamia na cha zikaisha

Serikali iangalie utaaratibu wa kuongezea mfuko fedha ili uweze kujiendesha au mfuko ufungue miradi kama benki na n.k itakayo wezesha fedha kuongezeka .

Karibu sana NHIF waziri jenista Mhagama
 
GJwwq84XQAAdrED.jpg_large.jpg
 
Upungufu wa fedha za kutosha NHIF ndiyo chanzo kikubwa cha migogoro NHIF , hiki ndicho husababisha









Hizi sababu za kukopeshana ili kuboresha maisha ya watumishi ,ufisadi hata hizo pesa zikirudi Mfuko hauwezi kujisimamia na cha zikaisha

Serikali iangalie utaaratibu wa kuongezea mfuko fedha ili uweze kujiendesha au mfuko ufungue miradi kama benki na n.k itakayo wezesha fedha kuongezeka .

Karibu sana NHIF waziri jenista Mhagama
Mimi nadhani NHIF imeelemewa na idadi ya watu .Ushauri : kama ni Jambo la kisera or sheria ambalo linafanya watumishi wa serikali kuwa lazima watumie mfuko wa NHIF nadhani lirekebishwe… in such a way baadhi za taasisi au Wizara au halmashauri etc zitumie mifuko mingine kama Strategies insurance etc etc
 
Upungufu wa fedha za kutosha NHIF ndiyo chanzo kikubwa cha migogoro NHIF , hiki ndicho husababisha









Hizi sababu za kukopeshana ili kuboresha maisha ya watumishi ,ufisadi hata hizo pesa zikirudi Mfuko hauwezi kujisimamia na cha zikaisha

Serikali iangalie utaaratibu wa kuongezea mfuko fedha ili uweze kujiendesha au mfuko ufungue miradi kama benki na n.k itakayo wezesha fedha kuongezeka .

Karibu sana NHIF waziri jenista Mhagama
images (33).jpeg
 
Tatizo wanajikopesha
 

Attachments

  • Screenshot_20240815-084301_Chrome.jpg
    Screenshot_20240815-084301_Chrome.jpg
    576.3 KB · Views: 3
Back
Top Bottom