Upungufu wa Saruji: Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) aagiza uchunguzi wa kijinai kufanyika

Upungufu wa Saruji: Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) aagiza uchunguzi wa kijinai kufanyika

Hoja ya Msingi ni ukosefu & upungufu & Kuongezeka kwa bei ya saruji Nchini na umuhimu wa kufanya uchunguzi wakina ili kubaini tatizo

Suala la Itifaki kwenye uandishi au utoaji maelekezo sio hoja ya Msingi

Hongera Serikali kwa kuchukua hatua stahiki kwa Maslahi ya Umma.
 
Mnamo miaka ya mwishoni ya 1970 na mwanzoni mwa 1980 nasikia ilitokea shortage ya cement ilibidi Mwalimu Nyerere mwenyewe atume wachunguzi CIDs maeneo ya viwandani wakaenda kuishi kabisa kama watu wa kawaida kwenye kotaz za saruji na kufanyia kazi pale kituo cha polisi lakini wakiwa katika muonekano wa askari kanzu.

Yani ilibidi mwalimu aingilie kati na taarifa ilipelekwa kwake moja kwa moja kupitia kwa DCI
Huko ni kuongoza nchi kipumbavu sijawahi kuona. Hatujajifunza matokeo ya ujinga kama huu kweli?
 
Hoja ya Msingi ni ukosefu & upungufu & Kuongezeka kwa bei ya saruji Nchini na umuhimu wa kufanya uchunguzi wakina ili kubaini tatizo

Suala la Itifaki kwenye uandishi au utoaji maelekezo sio hoja ya Msingi

Hongera Serikali kwa kuchukua hatua stahiki kwa Maslahi ya Umma.
Nchi inaongozwa na washamba waliozoea kuswaga ng'ombe na wanadhani kila kitu ni kutumia bakora kama wanavyoswaga wanyama!
 
Hakuna mfanyabiashara au mzalishaji awezeae kufanya hujuma ya kuficha bidhaa na aache pesa. Haya ni mawazo ya wajamaa washindwapo mambo ukimbizia lawama kwa wengine. Ni sawa na kuwalaumu wakoloni dhidi ya kushindwa kwetu kujiletea maendeleo
 
Hakuna mfanyabiashara au mzalishaji awezeae kufanya hujuma ya kuficha bidhaa na aache pesa. Haya ni mawazo ya wajamaa washindwapo mambo ukimbizia lawama kwa wengine. Ni sawa na kuwalaumu wakoloni dhidi ya kushindwa kwetu kujiletea maendeleo
Umri wako na elimu yako tafadhari? Je unaishi Tanzania au upo Alaska? Huwajuhi wafanyabiashara wa Tanzania wewe...nimekuuliza umri maana angalau kwa wale wenzangu na mimi tunakumbuka Opresheni Wahujumu na Walanguzi ya Hayati Sokoine....hujuma kwa wafanyabiashara wa Tanzania ni kama uji na mgonjwa!
 
Umri wako na elimu yako tafadhari? Je unaishi Tanzania au upo Alaska? Huwajuhi wafanyabiashara wa Tanzania wewe...nimekuuliza umri maana angalau kwa wale wenzangu na mimi tunakumbuka Opresheni Wahujumu na Walanguzi ya Hayati Sokoine....hujuma kwa wafanyabiashara wa Tanzania ni kama uji na mgonjwa!
Wafanyabiashara wa Sasa sio wale wa zamani.
Serikali Ina nguvu ni aibu kukimbizana na wafanyabiashara.Ichukulie Kama uzalishaji ndio ndogo itoke kibali cha kuagiza nje
 
Sijajua itifaki kama itakuwa imezingatiwa au la lakini juu ya yote wanachotaka kukufanya kuhusu huo uchunguzi wako sahihi kabisa wacha ufanyike maana vifaa vya ujenzi bei zimepaa sana kuliko maelezo!

Sasa baada ya uchunguzi taarifa ikishatolewa inajulikana kama ni uhujumu uchumi au la ulanguzi, magendo, n.k

kama kuna mengineyo yenye sababu za msingi itajulikana na hatua stahiki kuchukuliwa.
Mkuu unadhani ili la uchunguzi wa kijinai, kwenye Mambo ya biashara,ambapo mlishaji sokoni anategemea malighafi za kuzalisha hicho amezipata kwa gharama gani itasaidia Sana,? Vipo vitu wenda vikawa vidogo na haviitaji tumia nguvu ,why serikali isiitishe kikao na wazalishaji wote wa cement, wenda unaweza kuta kutokana na corona baadhi ya malighafi toka nje zimepanda ,labda na tozo za malighafi hizo hapa nchini zikawa sio rafiki so ukikaa nao zipo changamoto zinawezatatuliwa kwa araka
Ila hii chunguza ,chunguza, utashanga kwa hasira mtu anapewa kesi ya uhujum uchumi na ikitoka hapo jua ataondoka zake na kuacha biashara hiyo hapa tz,
Haya Mambo tuwe makini Sana,tutaumia Sana ,tutakimbiwa na wafanyabiashara wengi tusipokua makini
 
Wafanyabiashara wa Sasa sio wale wa zamani.
Serikali Ina nguvu ni aibu kukimbizana na wafanyabiashara.Ichukulie Kama uzalishaji ndio ndogo itoke kibali cha kuagiza nje
Mkuu unakumbuka uchakachuaji wa mafuta...hadi mafuta ya taa yakapandishwa bei karibia na petroli, majuzi tu hapa! Jana nimenunua kifaa cha milion 1 nimepewa risiti ya sh laki moja naambiwa nikitaka risiti halali malipo yataongezeka!
 
Ni maamuzi sahihi ingawa yamechelewa. Tunayo tume ya ushindani hizi ni miongoni mwa kazi zake lakini wapo kimya kabisa si ajabu wakaibuka baada ya hili tamko.
Cag angeweza kufanya hii kazi vizuri kuliko polisi na pccb kwa sababu ana wataalamu wenye ujuzi sawa na hao waliotumia mbinu za kutengeneza ili bei ipande lakini kuwakomesha serikali ingeruhusu saruji toka nje kama wakati ule saruji ilipotoka Pakistan wenyewe walipunguza bei.
 
Mkuu unakumbuka uchakachuaji wa mafuta...hadi mafuta ya taa yakapandishwa bei karibia na petroli, majuzi tu hapa! Jana nimenunua kifaa cha milion 1 nimepewa risiti ya sh laki moja naambiwa nikitaka risiti halali malipo yataongezeka!
Chukua risiti halali kwa usalama wako hicho kifaa kama ni kibovu kitakula kwako
 
The Director of Public Prosecutions (DPP), Mr Biswalo Mganga, has ordered a criminal investigation into the reported shortage of cement and other construction materials in the country.

Mr Mganga directed the Director of Criminal Investigations (DCI) and the Director General of the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) to launch the probe into the cement production and distribution value chain.

The DPP gave the agencies 30 days within which to complete the investigation and report back with findings to enable his office to take appropriate action.

“Over the last one month I have noted a jump in the price of cement and other construction materials across different regions in the country. Circumstances around this matter point to an act of criminality in the entire production, transportation and marketing value chain, leading to higher prices, shortages or lack of these products in certain areas,” said Mr Mganga.

He said those found engaging in the malpractice will be charged and could face between 20 and 30 years in jail and confiscation of their products by the State.

The DPP said it was against the law and an act of economic sabotage for the dealers who will be found to have sabotaged or influenced any wheeler-dealings. He reminded that it was against The Economic and Organised Crime Control Act for traders to hoard products, sell them illegally and above normal price, manipulate or distort the market for a profiteering motive, including creating what he said was an artificial shortage of mass consumer products.

Mr Biswalo’s intervention was the latest in attempts by the government to tackle the jump in cement prices and reported shortage of the product and related construction materials. The Fair Competition Commission confirmed a week ago that it was also investigating the same issue for any possible collusion.

Prime Minister Kassim Majaliwa also directed regional commissioners across the country to look into the problem and report back reasons why there has been a sudden jump in the price of cement. The newly sworn in premier said there had not been any justification for the hike in the prices.

The regional commissioners have in the last week been holding talks with cement producers and stockists in their areas while some have ordered market crackdowns to check the traders. However, there has been no immediate reflection in the availability of the product or a reduction of the cost as yet.

Reports suggest demand for industrial cement was unusually high as government implements mega construction projects across the country. Some factories have agreed to increase production to check the price increases by unscrupulous traders taking advantage.

The ministry of Trade and Industry was reported this week blaming the recent high cement prices on non-production by four main cement manufacturers in the country that had gone into maintenance.

There was a hue and cry from the public when a 50kg bag of cement retailing at Sh15,000 jumped by up to 30 percent. According to the National Bureau of Statistics data for October, 2020, the price for the same quantity had of cement had risen to Sh22,000 in parts of the country.

Permanent Secretary Riziki Shemdoe told The EastAfrican that “some cement manufacturers had stopped production for a short term programme, which then paved the way for thorough maintenance of machines, and this lead to stopping production for a while.”

This affected supply, which dropped to 150,000 tonnes for October, compared with 450,000 tonnes supplied to the market in the past two previous months. The four main cement manufacturers are Twiga Cement in Dar es Salaam, Tanga Cement, Mbeya Cement and Dangote Cement in Mtwara Region.

Twiga, the leading cement manufacturer with a capacity of 700,000 tonnes annually, is sagging under the demand, including by importers from neighbouring Rwanda and Burundi, which largely depend on Tanzanian cement.
The main reason to cement price hikes is a temporary problem of under production to demand. The cement production facilities are under normal annual maintenance. There is no need for legal intervention. It is a wastage of time. Heri DPP ashughulikie kesi za watu wanaoozea mahabusu bila kufikishwa mahakamani kuliko kupambana na nguvu ya soko la saruji. The market is self-regulating under the law of supply and demand.
 
Ndiyo maana wanafanya Uchunguzi ili kujua uzalishaji na Soko vinaendana!? ua Nani anamuelemea mwenzake! Report itasema hayo yote!!
Nahisi tatizo lipo katika uzalishaji.Viwanda vimepunguza uzalishaji sababu vinajiendeshe kwa hasara.Huenda mali ghafi zimepanda bei
 
Haya mambo ya kutumia vitisho na nguzu badala ya akili ndio yataharibu zaidi mambo. jibu ni control " Demand and supply"
 
Ni malpractice ipi wanayoitegemea kuivumbua kwenye investigation yao?

Anzieni viwandani huko cement inapozalishwa. Principle moja ya biashara ni kubalance supply na demand. Otherwise ni kutafutana uchawi tu
 
Back
Top Bottom