Upuuzi: Simba wanaenda kurudia kosa lilelile kwa makocha

Upuuzi: Simba wanaenda kurudia kosa lilelile kwa makocha

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Nimeona taarifa kwamba makocha 100 wametuma cv ,99 ni kutoka europe na south america, mmoja tu wa Afrika na hajakidhi vigezo

Hivi nyie viongozi wa simba mnadhani kwa nini walioko Afrika hawajatuma cv? wanajua shobo zenu kwa wazungu, mko radhi mumpe kazi mtu ambaye hajui soka la afika wala viwanja vya huku vilivyo vinafanana na majaruba ya mpunga nyie mnajiokotea tu

Si last time yule mzee aliyekuwa kocha wa Horoya ya guinea alituma cv mkamchukua pablo? mnataka atume tena mumdhalilishe? mpigieni simu

Siyo lazima makocha wazuri watume cv kama mnawajua wapigieni simu tu watakuja,
HATUTAKI TENA STORY ZA MAKOCHA WATAOKAOKUJA WAANZE KULALAMIKIA USAFIRI NA VIWANJA VIBOVU VYA CCM leteni waafrika waliozoea mazingira ya kiafrika
 
Leo ndio umeweka unazi pembeni na kuongea uhalisia na cha kushangaza Barbara anajisifu kabisa na kubana pua,"tumepokea maombi ya makocha 100 na asilimia kubwa kutoka Ulaya". Ngoja msimu mpya uanze ndio atajua kuwa hajui.
agh haya bana , ile statement ya barbra ya kujikosha sana inaonekana wanaenda tena kuleta mzungu ,kama mzungu awe ambaye kashazoea figisu na ujinga wa afrika kama uchebe vile siyo unaleta kocha la kizungu au kocha lililozoea south africa, na nchi za arabuni huko kusiko na viwanja dizaini ya manungu
 
Yule wa horoya alikuwa amefika nusu fainali kama mbili na last time ndiye alikuwa aje wakachagua pablo instead
Kaka hao ndio waafrica. Watu wabaguzi sijapata kuona duniani. Yaani bora mzungu anambagua mwafrica amabaye sio race yake ila mwafrica anambagua mwafrica mwenzie...so sad.

Juzi ivory coast wamempa timu mzungu kibabu wa miaka 68 wakamnyima kolo toure wakati jamaa ana leseninga juu kabisa ya uefa.

Tahira wa ulaya anaongiza africa kwa sababu ya ujinga wetu tuu. Kocha mzuri wa ulaya hawezi kuja africa bwana wewe. Yaani unapishana na wachezaji wazuri wa africa! Waganga njaa tuu hao
 
agh haya bana , ile statement ya barbra ya kujikosha sana inaonekana wanaenda tena kuleta mzungu ,kama mzungu awe ambaye kashazoea figisu na ujinga wa afrika kama uchebe vile siyo unaleta kocha la kizungu au kocha lililozoea south africa, na nchi za arabuni huko kusiko na viwanja dizaini ya manungu
Manungu bonge la pitch kaka...yaani kama upo wembley🤣🤣🤣🤣
 
Yule wa horoya alikuwa amefika nusu fainali kama mbili na last time ndiye alikuwa aje wakachagua pablo instead
Pengine wameshindwana kwenye maslahi. Kadri unavyochukua kocha mwenye mafanikio zaidi na ndivyo gharama ya kumuhudumia inavyozidi kuongezeka. Mwekezaji wa Simba akifika hatua ya kuchukua makocha wenye mafanikio makubwa ndivyo na mind yake itabadilika itakuwa ya kusajili wachezaji wenye mafanikio makubwa na kufikia hatua hata ya kugombania wachezaji na vilabu vikubwa na pia kuvunja mikataba ya wachezaji na kuwasajili.

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Pengine wameshindwana kwenye maslahi. Kadri unavyochukua kocha mwenye mafanikio zaidi na ndivyo gharama ya kumuhudumia inavyozidi kuongezeka. Mwekezaji wa Simba akifika hatua ya kuchukua makocha wenye mafanikio makubwa ndivyo na mind yake itabadilika itakuwa ya kusajili wachezaji wenye mafanikio makubwa na kufikia hatua hata ya kugombania wachezaji na vilabu vikubwa na pia kuvunja mikataba ya wachezaji na kuwasajili.

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
True....kitu kizuri lazima ugharamikie. Lazima wakubali kutoka kuwalipa makocha $15000 waenda kwa makocha wanaolipwa $40000 kwenda juu
 
Nimeona taarifa kwamba makocha 100 wametuma cv ,99 ni kutoka europe na south america, mmoja tu wa afrika na hajakidhi vigezo

Hivi nyie viongozi wa simba mnadhani kwa nini walioko afrika hawajatuma cv? wanajua shobo zenu kwa wazungu, mko radhi mumpe kazi mtu ambaye hajui soka la afika wala viwanja vya huku vilivyo vinafanana na majaruba ya mpunga nyie mnajiokotea tu

Si last time yule mzee aliyekuwa kocha wa Horoya ya guinea alituma cv mkamchukua pablo? mnataka atume tena mumdhalilishe? mpigieni simu

Siyo lazima makocha wazuri watume cv kama mnawajua wapigieni simu tu watakuja,
HATUTAKI TENA STORY ZA MAKOCHA WATAOKAOKUJA WAANZE KULALAMIKIA USAFIRI NA VIWANJA VIBOVU VYA CCM leteni waafrika waliozoea mazingira ya kiafrika
Mzee ukiingia kwenye interview ukashindwa, usianze kusingizia ukabila, ni vigezo tu vinampa mtu kazi
 
Hata matola alipaswa kuaminiwa ila tatizo ni unaguzi na kutokujikubali mpka tunaanza kuleta wahuni wanaojifanya ni makocha
 
Back
Top Bottom