Upuuzi: Simba wanaenda kurudia kosa lilelile kwa makocha

Upuuzi: Simba wanaenda kurudia kosa lilelile kwa makocha

Nimeona taarifa kwamba makocha 100 wametuma cv ,99 ni kutoka europe na south america, mmoja tu wa afrika na hajakidhi vigezo

Hivi nyie viongozi wa simba mnadhani kwa nini walioko afrika hawajatuma cv? wanajua shobo zenu kwa wazungu, mko radhi mumpe kazi mtu ambaye hajui soka la afika wala viwanja vya huku vilivyo vinafanana na majaruba ya mpunga nyie mnajiokotea tu

Si last time yule mzee aliyekuwa kocha wa Horoya ya guinea alituma cv mkamchukua pablo? mnataka atume tena mumdhalilishe? mpigieni simu

Siyo lazima makocha wazuri watume cv kama mnawajua wapigieni simu tu watakuja,
HATUTAKI TENA STORY ZA MAKOCHA WATAOKAOKUJA WAANZE KULALAMIKIA USAFIRI NA VIWANJA VIBOVU VYA CCM leteni waafrika waliozoea mazingira ya kiafrika
Tuliza mzuka wakwetu,huyo mmoja ambaye hajatuma CV ni Profesa Nabi, nafikiri utaelewa kwa nini hakutuma CV yake
 
Mleta mada ana hasira hadi "Afrika "anaita "Afika"😂
Utadhani baba mkali (mbogo) halafu mwenye kigugumizi ametoka kazini, kazini kwenyewe mambo yawe magumu halafu kuna mtu kamchanganya huko, afike nyumbani atengewe wali halafu wife amletee pigo za kipuuzi akiwa bado anakula wali wake...vile anafoka😂😂😂😂

Huambulii Hata neno 1, unachoona ni wali tu unafurumia mdomoni 😂😂😂😂😂😂
 
Mleta mada ana hasira hadi "Afrika "anaita "Afika"😂
Utadhani baba mkali (mbogo) halafu mwenye kigugumizi ametoka kazini, kazini kwenyewe mambo yawe magumu halafu kuna mtu kamchanganya huko, afike nyumbani atengewe wali halafu wife amletee pigo za kipuuzi akiwa bado anakula wali wake...vile anafoka😂😂😂😂

Huambulii Hata neno 1, unachoona ni wali tu unafurumia mdomoni 😂😂😂😂😂😂
kwa hiyo comment yako yooote ime base kwenye TYPO moja iliyokosewa neno R?
 
Nimeona taarifa kwamba makocha 100 wametuma cv ,99 ni kutoka europe na south america, mmoja tu wa Afrika na hajakidhi vigezo

Hivi nyie viongozi wa simba mnadhani kwa nini walioko Afrika hawajatuma cv? wanajua shobo zenu kwa wazungu, mko radhi mumpe kazi mtu ambaye hajui soka la afika wala viwanja vya huku vilivyo vinafanana na majaruba ya mpunga nyie mnajiokotea tu

Si last time yule mzee aliyekuwa kocha wa Horoya ya guinea alituma cv mkamchukua pablo? mnataka atume tena mumdhalilishe? mpigieni simu

Siyo lazima makocha wazuri watume cv kama mnawajua wapigieni simu tu watakuja,
HATUTAKI TENA STORY ZA MAKOCHA WATAOKAOKUJA WAANZE KULALAMIKIA USAFIRI NA VIWANJA VIBOVU VYA CCM leteni waafrika waliozoea mazingira ya kiafrika
Wewe utakuwa umetumwa na Mwina Kaduguda, Hamis Kigwangala, au Kassim Dewji kuvuruga mchakato wa kupata kocha bora kabisa kutoka Yuropu!

Na kwa taarifa yako mashabiki wa simba safari hii tunamtaka kocha aliyewahi kufundisha Bayern Munich ya Ujerumani, ili aje atupe ubingwa wa Afrika! Hizo mambo zako za kocha kutoka Afrika peleka Azam huko! Usitupangie.
 
hatujafikia uwezo wa kuajiri hao. Na hao wa ulaya ni cheap cz nao watafuta majina.uzoefu
Well done ni kweli hao ni cheap maana bado wanataka jaza cv zao. Sasa kama wanajaza cv kwa nini msiwape waafrica tuu wajaze cv zao....hapo mie naona tunakosea.

Yaani tunawapa hela na experience alafu sie tunaishi kununua majonzi tuu
 
Well done ni kweli hao ni cheap maana bado wanataka jaza cv zao. Sasa kama wanajaza cv kwa nini msiwape waafrica tuu wajaze cv zao....hapo mie naona tunakosea.

Yaani tunawapa hela na experience alafu sie tunaishi kununua majonzi tuu
hahahahaha. Makocha waki afrika labda wa kutoka kaskazini mwa afrika.westen .central bd.sourth kdg lkn nao bei
 
simba iwe na kocha atajayejenga mfumo....
hivi mambo ya kufikiri semi final , final....
itafikia kocha kila mwaka.
pawe na umakini wa kuteua kocha ...ifanyike screening ya kutosha. Wazoefu wa scouting watumike. CV pekee isiwe kigezo pekee...Simba ijenge mfumo wa kiufundi, quarter ,semis ,final zitakuja ...
Liverpool, man city , Chelsea, zinakwama ktk quarters na semis lakini Gurdiola, Klopl, Tuchel wananza tena ..wanarudi wanarudi. ku - lose ktk.msimu haimaanishi kocha hawezi kufanya come back next season. Naamini kuna makocha wangeendelea kubaki simba ...tunaongeza tu na kupunguza wachezaji , timu ingekuwa tayari ina combinations ya kiushindani
 
hahahaha,kwhy tunakubaliana na mleta mada kwamba makocha wapo.wapewe mkwanja mkataba mrefu.halafu modern soccer kocha haombi kazi wala kutuma cv, ni klabu ndo inaamua tunataka kocha gani kwa lengo gani.

Huezi sikia eti makocha watuma cv man city.au al ahly.

Al ahly walipotaka soka la kiafrika wakamvuta pitso.wachanganye radha soka lao la asili na la pitso.ubingwa mara 2. Wakimtupa wanaleta mjerumani
Say no more. 👍
 
Hata wangetuma CV za makocha 5000 kinachomata n performance ya uwanjani viongoz wa simba acheni propaganda hatuhitaji CV uchwara tunahitaji kocha wa kiafrika anaelijua soka letu
 
simba iwe na kocha atajayejenga mfumo....
hivi mambo ya kufikiri semi final , final....
itafikia kocha kila mwaka.
pawe na umakini wa kuteua kocha ...ifanyike screening ya kutosha. Wazoefu wa scouting watumike. CV pekee isiwe kigezo pekee...Simba ijenge mfumo wa kiufundi, quarter ,semis ,final zitakuja ...
Liverpool, man city , Chelsea, zinakwama ktk quarters na semis lakini Gurdiola, Klopl, Tuchel wananza tena ..wanarudi wanarudi. ku - lose ktk.msimu haimaanishi kocha hawezi kufanya come back next season. Naamini kuna makocha wangeendelea kubaki simba ...tunaongeza tu na kupunguza wachezaji , timu ingekuwa tayari ina combinations ya kiushindani
ili ujenge mfumo wa kiufundi ktk soka hasa la klabu.inatakiwa uwe na mtu wa TD (technical director ) ktk timu huyu ndo bosi wa ufundi.anajua ana wachezaji gani.aje kocha gani.aongeze nani.ndie anayepokea ripoti ya kocha na kuifanyia kazi.

chakushangaza timu zetu tajiri za bongo hazina huyo mtu
 
Back
Top Bottom