Upuuzi: Simba wanaenda kurudia kosa lilelile kwa makocha

Upuuzi: Simba wanaenda kurudia kosa lilelile kwa makocha

Nimeona taarifa kwamba makocha 100 wametuma cv ,99 ni kutoka europe na south america, mmoja tu wa Afrika na hajakidhi vigezo

Hivi nyie viongozi wa simba mnadhani kwa nini walioko Afrika hawajatuma cv? wanajua shobo zenu kwa wazungu, mko radhi mumpe kazi mtu ambaye hajui soka la afika wala viwanja vya huku vilivyo vinafanana na majaruba ya mpunga nyie mnajiokotea tu

Si last time yule mzee aliyekuwa kocha wa Horoya ya guinea alituma cv mkamchukua pablo? mnataka atume tena mumdhalilishe? mpigieni simu

Siyo lazima makocha wazuri watume cv kama mnawajua wapigieni simu tu watakuja,
HATUTAKI TENA STORY ZA MAKOCHA WATAOKAOKUJA WAANZE KULALAMIKIA USAFIRI NA VIWANJA VIBOVU VYA CCM leteni waafrika waliozoea mazingira ya kiafrika
Nyau wampe timu Julio!
 
Simba wanakosea…. kusubiri Makocha Watume applications ni Kama hatujui tunacho kitaka.

Timu kubwa zinavunja mikataba ya makocha, Simba tunatakiwa tuangalie kocha gani tunamtaka halafu tunavunja mkataba wake na sio kusubiri applications.
 
ili ujenge mfumo wa kiufundi ktk soka hasa la klabu.inatakiwa uwe na mtu wa TD (technical director ) ktk timu huyu ndo bosi wa ufundi.anajua ana wachezaji gani.aje kocha gani.aongeze nani.ndie anayepokea ripoti ya kocha na kuifanyia kazi.

chakushangaza timu zetu tajiri za bongo hazina huyo mtu
ni sahihi...
na huyu TD ndiye mtu anasimamia falsafa ya soka ya klabu..
miaka nenda rudi timu inaeleweka ni aina gani ya football inacheza, ...mchezaji gani , kocha gani ataendana na style ya soka mnayoitaka. lakini ni mtu kwanza kuhusika ktk ushauri inapohitajika wa namna ya kuajiri mwalimu etc , kuliko hizi kamati.
 
Nimeona taarifa kwamba makocha 100 wametuma cv ,99 ni kutoka europe na south america, mmoja tu wa Afrika na hajakidhi vigezo

Hivi nyie viongozi wa simba mnadhani kwa nini walioko Afrika hawajatuma cv? wanajua shobo zenu kwa wazungu, mko radhi mumpe kazi mtu ambaye hajui soka la afika wala viwanja vya huku vilivyo vinafanana na majaruba ya mpunga nyie mnajiokotea tu

Si last time yule mzee aliyekuwa kocha wa Horoya ya guinea alituma cv mkamchukua pablo? mnataka atume tena mumdhalilishe? mpigieni simu

Siyo lazima makocha wazuri watume cv kama mnawajua wapigieni simu tu watakuja,
HATUTAKI TENA STORY ZA MAKOCHA WATAOKAOKUJA WAANZE KULALAMIKIA USAFIRI NA VIWANJA VIBOVU VYA CCM leteni waafrika waliozoea mazingira ya kiafrika
Tungefanikiwa zaidi Kama tungepata Kocha Mwaafrika.
Lakini, tuna viongozi weupe, ni vigumu kutuamini.
 
Tatizo Simba hupenda makocha wa bei rahisi, japo ukimsikiliza Mo akiongea anatuaminisha sana pesa sio tatizo, ndio maana hukimbilia ulaya kuchukua makocha wasiojulikana wa bei rahisi na kuwaacha hawa wa Afrika wenye sifa za kutosha.

Viongozi wa Simba wanatuona tuna akili ndogo sana za kuwapapatikia wazungu.

Bahati mbaya hao wazungu wa bei rahisi wakishapata majina na mafanikio Simba SC hukimbilia timu nyingine kubwa zaidi, mfano yule kishingo aliyekimbilia Morocco. Simba sasa imegeuka timu ya kukuza viwango vya wachezaji na makocha.
 
Nimeona taarifa kwamba makocha 100 wametuma cv ,99 ni kutoka europe na south america, mmoja tu wa Afrika na hajakidhi vigezo

Hivi nyie viongozi wa simba mnadhani kwa nini walioko Afrika hawajatuma cv? wanajua shobo zenu kwa wazungu, mko radhi mumpe kazi mtu ambaye hajui soka la afika wala viwanja vya huku vilivyo vinafanana na majaruba ya mpunga nyie mnajiokotea tu

Si last time yule mzee aliyekuwa kocha wa Horoya ya guinea alituma cv mkamchukua pablo? mnataka atume tena mumdhalilishe? mpigieni simu

Siyo lazima makocha wazuri watume cv kama mnawajua wapigieni simu tu watakuja,
HATUTAKI TENA STORY ZA MAKOCHA WATAOKAOKUJA WAANZE KULALAMIKIA USAFIRI NA VIWANJA VIBOVU VYA CCM leteni waafrika waliozoea mazingira ya kiafrika
Tatizo Simba inaongozwa na mwanadada msomi, kila kitu anajua yeye
 
Waafrika ni rahisi kuhongeka ndohof
Hiuo inachangiwa kwa asilimia kubwa na viongozi wa hizi timu. Wapo tayari kumlipa mzungu million 40 ila mwafrika mwezao wanampa million 5🤣🤣🤣🤣

Omeona title winning bonus ya kocha wa wydad? $200,000 kwa kushinda champions league unadhani huyo utamletea vijisnti vya kumuhonga? Tafuta quality coach mlioe vizuri masuala ya kuhongwa hutayasikia
 
Tatizo Simba hupenda makocha wa bei rahisi, japo ukimsikiliza Mo akiongea anatuaminisha sana pesa sio tatizo, ndio maana hukimbilia ulaya kuchukua makocha wasiojulikana wa bei rahisi na kuwaacha hawa wa Afrika wenye sifa za kutosha.

Viongozi wa Simba wanatuona tuna akili ndogo sana za kuwapapatikia wazungu.

Bahati mbaya hao wazungu wa bei rahisi wakishapata majina na mafanikio Simba SC hukimbilia timu nyingine kubwa zaidi, mfano yule kishingo aliyekimbilia Morocco. Simba sasa imegeuka timu ya kukuza viwango vya wachezaji na makocha.
Mkuu kishingo si wa kaliba ya chini
Alikuwa kwenye benchi la ufundi
Cameroon ilipo chukua afcon miaka ya karibuni
 
Back
Top Bottom