Walimchagua Pablo kwa vile aliwaambia amefundisha soka Real Madrid! Nyau hazijielewi!Yule wa horoya alikuwa amefika nusu fainali kama mbili na last time ndiye alikuwa aje wakachagua pablo instead
Nyau wampe timu Julio!Nimeona taarifa kwamba makocha 100 wametuma cv ,99 ni kutoka europe na south america, mmoja tu wa Afrika na hajakidhi vigezo
Hivi nyie viongozi wa simba mnadhani kwa nini walioko Afrika hawajatuma cv? wanajua shobo zenu kwa wazungu, mko radhi mumpe kazi mtu ambaye hajui soka la afika wala viwanja vya huku vilivyo vinafanana na majaruba ya mpunga nyie mnajiokotea tu
Si last time yule mzee aliyekuwa kocha wa Horoya ya guinea alituma cv mkamchukua pablo? mnataka atume tena mumdhalilishe? mpigieni simu
Siyo lazima makocha wazuri watume cv kama mnawajua wapigieni simu tu watakuja,
HATUTAKI TENA STORY ZA MAKOCHA WATAOKAOKUJA WAANZE KULALAMIKIA USAFIRI NA VIWANJA VIBOVU VYA CCM leteni waafrika waliozoea mazingira ya kiafrika
Mbeba ndumba yule was kolowizard wataondoka wote yy yupo tu.Kama Matolea ataendelea kuwepo Simba hao makocha watakuja fanya kazi bure
ni sahihi...ili ujenge mfumo wa kiufundi ktk soka hasa la klabu.inatakiwa uwe na mtu wa TD (technical director ) ktk timu huyu ndo bosi wa ufundi.anajua ana wachezaji gani.aje kocha gani.aongeze nani.ndie anayepokea ripoti ya kocha na kuifanyia kazi.
chakushangaza timu zetu tajiri za bongo hazina huyo mtu
Matola wakipiga Kolabo na Julio, Simba itatisha sana. Nadhani Simba wamchukue Jamhuri Kiwelu "Julio Tarantini Pereira"Mbeba ndumba yule was kolowizard wataondoka wote yy yupo tu.
Tungefanikiwa zaidi Kama tungepata Kocha Mwaafrika.Nimeona taarifa kwamba makocha 100 wametuma cv ,99 ni kutoka europe na south america, mmoja tu wa Afrika na hajakidhi vigezo
Hivi nyie viongozi wa simba mnadhani kwa nini walioko Afrika hawajatuma cv? wanajua shobo zenu kwa wazungu, mko radhi mumpe kazi mtu ambaye hajui soka la afika wala viwanja vya huku vilivyo vinafanana na majaruba ya mpunga nyie mnajiokotea tu
Si last time yule mzee aliyekuwa kocha wa Horoya ya guinea alituma cv mkamchukua pablo? mnataka atume tena mumdhalilishe? mpigieni simu
Siyo lazima makocha wazuri watume cv kama mnawajua wapigieni simu tu watakuja,
HATUTAKI TENA STORY ZA MAKOCHA WATAOKAOKUJA WAANZE KULALAMIKIA USAFIRI NA VIWANJA VIBOVU VYA CCM leteni waafrika waliozoea mazingira ya kiafrika
Tatizo Simba inaongozwa na mwanadada msomi, kila kitu anajua yeyeNimeona taarifa kwamba makocha 100 wametuma cv ,99 ni kutoka europe na south america, mmoja tu wa Afrika na hajakidhi vigezo
Hivi nyie viongozi wa simba mnadhani kwa nini walioko Afrika hawajatuma cv? wanajua shobo zenu kwa wazungu, mko radhi mumpe kazi mtu ambaye hajui soka la afika wala viwanja vya huku vilivyo vinafanana na majaruba ya mpunga nyie mnajiokotea tu
Si last time yule mzee aliyekuwa kocha wa Horoya ya guinea alituma cv mkamchukua pablo? mnataka atume tena mumdhalilishe? mpigieni simu
Siyo lazima makocha wazuri watume cv kama mnawajua wapigieni simu tu watakuja,
HATUTAKI TENA STORY ZA MAKOCHA WATAOKAOKUJA WAANZE KULALAMIKIA USAFIRI NA VIWANJA VIBOVU VYA CCM leteni waafrika waliozoea mazingira ya kiafrika
Hiuo inachangiwa kwa asilimia kubwa na viongozi wa hizi timu. Wapo tayari kumlipa mzungu million 40 ila mwafrika mwezao wanampa million 5🤣🤣🤣🤣Waafrika ni rahisi kuhongeka ndohof
Mkuu kishingo si wa kaliba ya chiniTatizo Simba hupenda makocha wa bei rahisi, japo ukimsikiliza Mo akiongea anatuaminisha sana pesa sio tatizo, ndio maana hukimbilia ulaya kuchukua makocha wasiojulikana wa bei rahisi na kuwaacha hawa wa Afrika wenye sifa za kutosha.
Viongozi wa Simba wanatuona tuna akili ndogo sana za kuwapapatikia wazungu.
Bahati mbaya hao wazungu wa bei rahisi wakishapata majina na mafanikio Simba SC hukimbilia timu nyingine kubwa zaidi, mfano yule kishingo aliyekimbilia Morocco. Simba sasa imegeuka timu ya kukuza viwango vya wachezaji na makocha.