Upuuzi, ushamba, kuamini watu wasio na elimu, utoto na imani za kishirikina zimeigharimu Yanga

Upuuzi, ushamba, kuamini watu wasio na elimu, utoto na imani za kishirikina zimeigharimu Yanga

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Yanga ni washamba kundi kubwa halina elimu (makomandoo, wanachama na mashabiki wao. Ushirikina Mzee mpili, Magoma na wazee wote Yanga)

Ushhamba (Ali Kamwe, Manara, Hersi na Privaldinho), utoto na upuuzi mwingi Arafat, Hersi na wengine wengine wanaosapoti ujinga)

Leo kwa aibu wanang'ang'ania kupeleka timu uwanjani hakuna marefa wa uongozi wa mpira ila kwa kuwa walio nyuma yao akili zilikwenda na supu mapungazeze yatakuwa yanafurahia kama timu mwenyeji kwani watu wangefanya mazoezi tatizo lingekuwa nini nanyi mnasajili kwa pesa nyingi bado mpo na imani za kishirikina walikuja basi mbili ni zao sisi tuliobarikiwa kuangalia mechi nje za nchi timu zinaingia viwanjani kufanya mazoezi na basi mbili siku moja kabla ya game...

Hapa yanga wanafanya utoto sijui kwanza mambo haya yalianza lini simba na Yanga zina miaka mingi kwenye historia ya soka lakini safari hii Yanga inaongozwa na viongozi wapuuzi kuliko kupata kutokea
 
Mleta mada umeandika hisia na chuki zako tu dhidi ya hao watu kuliko uhalisia, jaribu kuonyesha ukomavu wa kuchambua chochote unapoandika JF.
Uwanja wa Benjamini Mkapa sio mali ya Yanga au Simba, na ligi inasimamiwa na TFF. Lawama zozote ziende kwa TFF na wale wenye dhamana ya huo uwanja kuliko mtu au taasisi nyingine yoyote.
 
Wakati mnaambiwa timu mbovu mkawa mna vimba, ona sasa mnavyo aibika kwa kutafuta visingizio visivyo na kichwa wala miguu.

Tff wamewabeba kwenye marefa sasa wanawabeba kwenye kanuni.

Mtaruka ruka mwishoe mtacheza na Yanga na apo mtapokea kipigo cha Lukaya.
 
Yanga ni washamba kundi kubwa halina elimu(makomandoo,wanachama na mashabiki wao.....ushirikina mzee mpili,magoma na wazee wote yanga...ushamba (Aliy kamwe,manara,Hersi na privaldinho)...utoto na upuuzi mwingi Arafat,Hersi,kamwe,mwigulu na wapuuzi wengine wanaosapoti ujinga)
Leo kwa aibu wanang'ang'ania kupeleka timu uwanjani hakuna marefa wa uongozi wa mpira ila kwa kuwa walio nyuma yao akili zilikwenda na supu mapungazeze yatakuwa yanafurahia kama timu mwenyeji.....kwani watu wangefanya mazoezi tatizo lingekuwa nini nanyi mnasajili kwa pesa nyingi bado mpo na imanu za kishirikina walikuja basi mbili ni zao sisi tuliobarikiwa kuangalia mechi nje za nchi timu zinaingia viwanjani kufanya mazoezi na basi mbili siku moja kabla ya game...hapa yanga wanafanya utoto sijui kwanza mambo haya yalianza lini simba na yanga zina miaka mingi kwenye historia ya soka lakini safari hii yanga inaongozwa na viongozi wapuuzi kuliko kupata kutokea nakumbuka kikwete alisema kwanini msajili kwa pesa nyingi ili hali bado mna nunua mechi na kulipa waganga...kifupi yanga ina washamba wapuuzi na wasio na elimu...
Huna unachojua kwenye mpira punga wewe! Umeropoka kushambulia watu bila kuchambua! Mechi hii TFF walitakiwa wawe ngangari, Simba ndiye mwenye makosa, wewe uNendaje kufanya mazoezi kwenye uwanja wa mwenyeji bila taarifa? Barua ya bodi ya ligi imejieleza lakini nikashindwa kuelewa kwa nini bodi hawakusimamia kanuni?
 
Yanga ni washamba kundi kubwa halina elimu(makomandoo,wanachama na mashabiki wao.....ushirikina mzee mpili,magoma na wazee wote yanga...ushamba (Aliy kamwe,manara,Hersi na privaldinho)...utoto na upuuzi mwingi Arafat,Hersi,kamwe,mwigulu na wapuuzi wengine wanaosapoti ujinga)
Leo kwa aibu wanang'ang'ania kupeleka timu uwanjani hakuna marefa wa uongozi wa mpira ila kwa kuwa walio nyuma yao akili zilikwenda na supu mapungazeze yatakuwa yanafurahia kama timu mwenyeji.....kwani watu wangefanya mazoezi tatizo lingekuwa nini nanyi mnasajili kwa pesa nyingi bado mpo na imanu za kishirikina walikuja basi mbili ni zao sisi tuliobarikiwa kuangalia mechi nje za nchi timu zinaingia viwanjani kufanya mazoezi na basi mbili siku moja kabla ya game...hapa yanga wanafanya utoto sijui kwanza mambo haya yalianza lini simba na yanga zina miaka mingi kwenye historia ya soka lakini safari hii yanga inaongozwa na viongozi wapuuzi kuliko kupata kutokea nakumbuka kikwete alisema kwanini msajili kwa pesa nyingi ili hali bado mna nunua mechi na kulipa waganga...kifupi yanga ina washamba wapuuzi na wasio na elimu...
IMG-20250308-WA0034.jpg


Kuchanganyikiwa sio lazima uwe hospitali za vichaa, maneno, maandiko, maongezi .......

Huo muda uliopoteza kuandika huu upumbavu si ungefanya mambo mengine!
 
Aiiiiiiiiiiiiiiiight, disagreeing with someone does not reflect their intellectual inferiority, so let's emphasize intellectual humility
 
Mleta mada umeandika hisia na chuki zako tu dhidi ya hao watu kuliko uhalisia, jaribu kuonyesha ukomavu wa kuchambua chochote unapoandika JF.
Uwanja wa Benjamini Mkapa sio mali ya Yanga au Simba, na ligi inasimamiwa na TFF. Lawama zozote ziende kwa TFF na wale wenye dhamana ya huo uwanja kuliko mtu au taasisi nyingine yoyote.
KWANINI wazuie MAGARI mbona hili linakwepwa.
 
Mleta mada umeandika hisia na chuki zako tu dhidi ya hao watu kuliko uhalisia, jaribu kuonyesha ukomavu wa kuchambua chochote unapoandika JF.
Uwanja wa Benjamini Mkapa sio mali ya Yanga au Simba, na ligi inasimamiwa na TFF. Lawama zozote ziende kwa TFF na wale wenye dhamana ya huo uwanja kuliko mtu au taasisi nyingine yoyote.
Waliozuia simba kufanya mazoezi ni wapuuzi kutoka yanga na maagizo yametoka kwa viongozi wa yanga yale mazezeta hayaendi sehemu bila kutumwa!
 
Huna unachojua kwenye mpira punga wewe! Umeropoka kushambulia watu bila kuchambua! Mechi hii TFF walitakiwa wawe ngangari, Simba ndiye mwenye makosa, wewe uNendaje kufanya mazoezi kwenye uwanja wa mwenyeji bila taarifa? Barua ya bodi ya ligi imejieleza lakini nikashindwa kuelewa kwa nini bodi hawakusimamia kanuni?
Punga jingine limejitokeza kati ya yale yanayopewa supu!
 
KWANINI wazuie MAGARI mbona hili linakwepwa.
Yanga wanahusikaje kuzuia nyie msifanye mazoezi?? Yqnga ni nani ktk uwanja? Ni mlinzi? Ni meneja wa uwanja?? Ni mtunza funguo?? Unapproved vipi watu uliowakuta barabarani kuwa ni wa yanga?? Kwa kuwaangalia machoni??? Kuna kiongozi yoyote wa yanga ulimuona?? Je vipi kama ni mkakati wenu kutaka kukimbia mechi kuandaa watu waonekane ni wa yanga?? Kwann msiite polisi wawakamate hao walets fujo??
 
Yanga wanahusikaje kuzuia nyie msifanye mazoezi?? Yqnga ni nani ktk uwanja? Ni mlinzi? Ni meneja wa uwanja?? Ni mtunza funguo?? Unapproved vipi watu uliowakuta barabarani kuwa ni wa yanga?? Kwa kuwaangalia machoni??? Kuna kiongozi yoyote wa yanga ulimuona?? Je vipi kama ni mkakati wenu kutaka kukimbia mechi kuandaa watu waonekane ni wa yanga?? Kwann msiite polisi wawakamate hao walets fujo??
Na ndio maana maswali kama haya huwa yanga wanashindwa kesi zao fifa na kulipa pesa nyingi za riba kwa wachezaji waliowavunjia mikataba akili za mashabiki na viongozi zinashahabiana!
 
Yanga ni washamba kundi kubwa halina elimu (makomandoo, wanachama na mashabiki wao. Ushirikina Mzee mpili, Magoma na wazee wote Yanga)

Ushhamba (Ali Kamwe, Manara, Hersi na Privaldinho), utoto na upuuzi mwingi Arafat, Hersi na wengine wengine wanaosapoti ujinga)

Leo kwa aibu wanang'ang'ania kupeleka timu uwanjani hakuna marefa wa uongozi wa mpira ila kwa kuwa walio nyuma yao akili zilikwenda na supu mapungazeze yatakuwa yanafurahia kama timu mwenyeji kwani watu wangefanya mazoezi tatizo lingekuwa nini nanyi mnasajili kwa pesa nyingi bado mpo na imani za kishirikina walikuja basi mbili ni zao sisi tuliobarikiwa kuangalia mechi nje za nchi timu zinaingia viwanjani kufanya mazoezi na basi mbili siku moja kabla ya game...

Hapa yanga wanafanya utoto sijui kwanza mambo haya yalianza lini simba na Yanga zina miaka mingi kwenye historia ya soka lakini safari hii Yanga inaongozwa na viongozi wapuuzi kuliko kupata kutokea
Screenshot_20250308-120214_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom