Upuuzi, ushamba, kuamini watu wasio na elimu, utoto na imani za kishirikina zimeigharimu Yanga

Upuuzi, ushamba, kuamini watu wasio na elimu, utoto na imani za kishirikina zimeigharimu Yanga

Unajichosha kuongea na Mtu asiyejitambua. Sitaki Usimba na Uyanga maana sijawahi kuwa. Lakini tafuta maandiko yake ya kisiasa ndo utajua anaowalaumu hawana elimu na yeye Yuko kundi Hilo Hilo. Huyu ni mburula na kichwani ni mweupe peee!
Mnapenda kusikia maneno matamu na kufuata upuuzi unao waza wewe mimi sifagilii mbuzi makende wala nidhamu ya woga!
 
SUPU ZA VIBUDU HAZIJAWAI KUMUACHA MTU TIMAMU KICHWANI.
MASHABIKI WA UANGA AKILI ZAO WOTE SAWA,HAIJALISHI AWE AMESOMA AU MUUZA NGUO KARUME AU WAZIRI WOTE HAMNAZO 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆
 
SUPU ZA VIBUDU HAZIJAWAI KUMUACHA MTU TIMAMU KICHWANI.
MASHABIKI WA UANGA AKILI ZAO WOTE SAWA,HAIJALISHI AWE AMESOMA AU MUUZA NGUO KARUME AU WAZIRI WOTE HAMNAZO 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆
Haji manara alimaliza wenye akili ni wawili tu!
 
Yanga ni washamba kundi kubwa halina elimu (makomandoo, wanachama na mashabiki wao. Ushirikina Mzee mpili, Magoma na wazee wote Yanga)

Ushhamba (Ali Kamwe, Manara, Hersi na Privaldinho), utoto na upuuzi mwingi Arafat, Hersi na wengine wengine wanaosapoti ujinga)

Leo kwa aibu wanang'ang'ania kupeleka timu uwanjani hakuna marefa wa uongozi wa mpira ila kwa kuwa walio nyuma yao akili zilikwenda na supu mapungazeze yatakuwa yanafurahia kama timu mwenyeji kwani watu wangefanya mazoezi tatizo lingekuwa nini nanyi mnasajili kwa pesa nyingi bado mpo na imani za kishirikina walikuja basi mbili ni zao sisi tuliobarikiwa kuangalia mechi nje za nchi timu zinaingia viwanjani kufanya mazoezi na basi mbili siku moja kabla ya game...

Hapa yanga wanafanya utoto sijui kwanza mambo haya yalianza lini simba na Yanga zina miaka mingi kwenye historia ya soka lakini safari hii Yanga inaongozwa na viongozi wapuuzi kuliko kupata kutokea
Utoto umefanywa na kola na mtandao wao
 
Simba kumejaa mambumbumbu!!
Kanuni inasema wafanye mazoezi kabla ya siku ya mechi! Wao wameenda kufanya mazoezi siku ya mechi!
Sasa wajinga ni nani hapo?!
 
Wakati mnaambiwa timu mbovu mkawa mna vimba, ona sasa mnavyo aibika kwa kutafuta visingizio visivyo na kichwa wala miguu.

Tff wamewabeba kwenye marefa sasa wanawabeba kwenye kanuni.

Mtaruka ruka mwishoe mtacheza na Yanga na apo mtapokea kipigo cha Lukaya.
Mbn nilisikia hamchezi tena au wewe sio mwenzao?
 

Attachments

  • Screenshot_20250223_112040_Chrome.jpg
    Screenshot_20250223_112040_Chrome.jpg
    364.3 KB · Views: 1
Wakati mnaambiwa timu mbovu mkawa mna vimba, ona sasa mnavyo aibika kwa kutafuta visingizio visivyo na kichwa wala miguu.

Tff wamewabeba kwenye marefa sasa wanawabeba kwenye kanuni.

Mtaruka ruka mwishoe mtacheza na Yanga na apo mtapokea kipigo cha Lukaya.
Naunga mkono hoja
 
Yanga ni washamba kundi kubwa halina elimu (makomandoo, wanachama na mashabiki wao. Ushirikina Mzee mpili, Magoma na wazee wote Yanga)

Ushhamba (Ali Kamwe, Manara, Hersi na Privaldinho), utoto na upuuzi mwingi Arafat, Hersi na wengine wengine wanaosapoti ujinga)

Leo kwa aibu wanang'ang'ania kupeleka timu uwanjani hakuna marefa wa uongozi wa mpira ila kwa kuwa walio nyuma yao akili zilikwenda na supu mapungazeze yatakuwa yanafurahia kama timu mwenyeji kwani watu wangefanya mazoezi tatizo lingekuwa nini nanyi mnasajili kwa pesa nyingi bado mpo na imani za kishirikina walikuja basi mbili ni zao sisi tuliobarikiwa kuangalia mechi nje za nchi timu zinaingia viwanjani kufanya mazoezi na basi mbili siku moja kabla ya game...

Hapa yanga wanafanya utoto sijui kwanza mambo haya yalianza lini simba na Yanga zina miaka mingi kwenye historia ya soka lakini safari hii Yanga inaongozwa na viongozi wapuuzi kuliko kupata kutokea
KENGE WEE!MBWA KACHOKA
 
Back
Top Bottom