kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
-
- #41
Mnapenda kusikia maneno matamu na kufuata upuuzi unao waza wewe mimi sifagilii mbuzi makende wala nidhamu ya woga!Unajichosha kuongea na Mtu asiyejitambua. Sitaki Usimba na Uyanga maana sijawahi kuwa. Lakini tafuta maandiko yake ya kisiasa ndo utajua anaowalaumu hawana elimu na yeye Yuko kundi Hilo Hilo. Huyu ni mburula na kichwani ni mweupe peee!
Wacha wadeke kuna mbeleko na manunuzi fc kimataifa raundi ya kwanza chalii!Madeko fc
Haji manara alimaliza wenye akili ni wawili tu!SUPU ZA VIBUDU HAZIJAWAI KUMUACHA MTU TIMAMU KICHWANI.
MASHABIKI WA UANGA AKILI ZAO WOTE SAWA,HAIJALISHI AWE AMESOMA AU MUUZA NGUO KARUME AU WAZIRI WOTE HAMNAZO 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆
Ndo shida ya kuandika huku unalia 😭Ukiachana na hayo mawazo yako mgando utagundua yanga ni wapuuzi na utoto ushirikina!
Utoto umefanywa na kola na mtandao waoYanga ni washamba kundi kubwa halina elimu (makomandoo, wanachama na mashabiki wao. Ushirikina Mzee mpili, Magoma na wazee wote Yanga)
Ushhamba (Ali Kamwe, Manara, Hersi na Privaldinho), utoto na upuuzi mwingi Arafat, Hersi na wengine wengine wanaosapoti ujinga)
Leo kwa aibu wanang'ang'ania kupeleka timu uwanjani hakuna marefa wa uongozi wa mpira ila kwa kuwa walio nyuma yao akili zilikwenda na supu mapungazeze yatakuwa yanafurahia kama timu mwenyeji kwani watu wangefanya mazoezi tatizo lingekuwa nini nanyi mnasajili kwa pesa nyingi bado mpo na imani za kishirikina walikuja basi mbili ni zao sisi tuliobarikiwa kuangalia mechi nje za nchi timu zinaingia viwanjani kufanya mazoezi na basi mbili siku moja kabla ya game...
Hapa yanga wanafanya utoto sijui kwanza mambo haya yalianza lini simba na Yanga zina miaka mingi kwenye historia ya soka lakini safari hii Yanga inaongozwa na viongozi wapuuzi kuliko kupata kutokea
Kuwa kolo siyoSasa ndio nini!
Huyu anawakilisha vyema yangaKuwa kolo siyo
Wacha wadeke kuna mbeleko na manunuzi fc kimataifa raundi ya kwanza chalii!
Mbn nilisikia hamchezi tena au wewe sio mwenzao?Wakati mnaambiwa timu mbovu mkawa mna vimba, ona sasa mnavyo aibika kwa kutafuta visingizio visivyo na kichwa wala miguu.
Tff wamewabeba kwenye marefa sasa wanawabeba kwenye kanuni.
Mtaruka ruka mwishoe mtacheza na Yanga na apo mtapokea kipigo cha Lukaya.
Acheni kutishia watu na Fifa mmewahi kushinda kesi gani huko Fifa na mna wanasheria vilaza tuNgoja kesi iende Fifa ndo tutajua haki ilipo
Maisha yapo kasi waongo wawe na kumbukumbu!Mbeleko fc ni 5imba a.k.a mwakarobo
Maisha yapo kasi waongo wawe na kumbukumbu!
Naunga mkono hojaWakati mnaambiwa timu mbovu mkawa mna vimba, ona sasa mnavyo aibika kwa kutafuta visingizio visivyo na kichwa wala miguu.
Tff wamewabeba kwenye marefa sasa wanawabeba kwenye kanuni.
Mtaruka ruka mwishoe mtacheza na Yanga na apo mtapokea kipigo cha Lukaya.
Wenda wazimu wamekwenda bunju!Zilisharudi hizo ndo maana mnaogopa rekodi mpya kuandikwa
KENGE WEE!MBWA KACHOKAYanga ni washamba kundi kubwa halina elimu (makomandoo, wanachama na mashabiki wao. Ushirikina Mzee mpili, Magoma na wazee wote Yanga)
Ushhamba (Ali Kamwe, Manara, Hersi na Privaldinho), utoto na upuuzi mwingi Arafat, Hersi na wengine wengine wanaosapoti ujinga)
Leo kwa aibu wanang'ang'ania kupeleka timu uwanjani hakuna marefa wa uongozi wa mpira ila kwa kuwa walio nyuma yao akili zilikwenda na supu mapungazeze yatakuwa yanafurahia kama timu mwenyeji kwani watu wangefanya mazoezi tatizo lingekuwa nini nanyi mnasajili kwa pesa nyingi bado mpo na imani za kishirikina walikuja basi mbili ni zao sisi tuliobarikiwa kuangalia mechi nje za nchi timu zinaingia viwanjani kufanya mazoezi na basi mbili siku moja kabla ya game...
Hapa yanga wanafanya utoto sijui kwanza mambo haya yalianza lini simba na Yanga zina miaka mingi kwenye historia ya soka lakini safari hii Yanga inaongozwa na viongozi wapuuzi kuliko kupata kutokea
Kenge ni wale walionyimwa dabi jana na leo wakaenda bunju Mo Arena!KENGE WEE!MBWA KACHOKA