Upuuzi wa William Malechela Le Mutuz

Aisee naona una hamu ya ligi kwelikweli,mimi pia natamani ila sidhani kama Le Mutuz atakubali....

Watch the show huyu Kilaza mwenye degree 3 kutoka vyuo vya uchochoroni namgaragaza in the first round na Ccm wenzake wajue unafki wake na how this old boy ni double face.

Stay tune naretreave mabandiko ya Field Marshal Es ili akileta puwa yake tu namaliza show.

JF si sehemu ya kuleta mbwembe yeye mbwembwe afanye na wajinga wenzake wa party za kipuuzi kwa watoto wasiojitambuwa.
 
U know am dying for this chance natamani sana kupiga picha na le mutuz
Hahahaha
Uknw lazima upige picha na Mimi maana Mimi ndio Celebrity mkubwa bongo....super gardem wanaona wivu mabebiz wakarez super lemtindiz mkipiga picha namimi hahahahaha I like
 

Attachments

  • 1415818087585.jpg
    46.6 KB · Views: 376

hàhahahahahàhàhahà
 

Hili gazeti Dar Leo au Alasiri?
 
Hahha we nae uking'ang'aniaga kituu

Kwa mtu ambaye hajui tofauti ya "lager" na "larger" halafu hana hata ustaarabu wa kukubali kwamba kakosea, kung'ang'ania ni sawa tu.

Kuna watu wanajifunzia hapahapa na nisipong'ang'ania mpaka usahihi ukajulikana wanaweza kufikiri kwamba kuandika "Windhoek Larger" in that context ni sawa tu.
 

Ha ha ha mpe break mzee Wa NY aliyekimbia child support halafu anajiita tajiri....

Mtafutie pafyumu Kali na dawa ya aqua fresh original maana wenzie wanamlalamikia kuwa ananuka Sana kikwapa na mdomo....

Nafikiri hapo alitaka maanisha lager sema msomi huyu hakujua spelling zake zikoje....
 


Mkuu huyo kunguru Wa Zanzibar usihangaike nae kumwekea vinyesi alivyowanyea kina JK kwani wanamjua fika ndio maana kwenye duara la madaraka wametupwa kando...

Minyoo iliyomvimbisha tumbo itakua imempanda hadi kwenye ubongo ndo mana ana akili za minyoo....
 
Le mtumboz le kikwaps le kubwaz jingaz upo shkamoo babu y una force maujiko kwa nguvu mpaka unaonekana kituko mtaani le mtumbozzzzz unajiaibisha na undungunyu wako
 
Le mtumboz le kikwaps le kubwaz jingaz upo shkamoo babu y una force maujiko kwa nguvu mpaka unaonekana kituko mtaani le mtumbozzzzz unajiaibisha na undungunyu wako

Hahahahhaha uknw unavyo nitukana ndivyo ninavyo zidi kupata madealiz ...uknw supergardem mazafantaz nikiwa billionea mtaanza kusema nauza unga hahahaha uknw nimepata deal na Smart..another day another dollar hahahahhaha I love it
 

- HAHAHAHAHhahahahahahahah Juzi Rais mara baada tu ya kumaliza operation yake alinipigia tukaongea so jifij
kirie tena kama maneno yako yana anything to akili yako ndogo sana, kama niliwahi kumtukana Rais at anytime Usalama wa Taifa watakuwa wanajua unaamini wanaweza kuniruhusu hata kumsogelea Rais? Are serious au umelewa?




- Mkuu huna akili sawa sawa Rais niliyekuwa ninamtukana leo amenialika nyumbani kwake kwenye Dinner picha hii hapa Dinner kama hii anayekualika ni yeye mwenyewe, sasa niambie uwezo wako wa kufikiri na kuandika mjinga wewe, wacha kurukia watu msiowajua jifunze kwanza kuingia hapa kwa jina lako ndio ujifunze maana ya usataarabu maana huna!!

Le Big Show
 

- degreee? hahaha nina Degree 3 mkuu haha sio degree

Le Mutuz
 

- Sijawahi kuwa na degree 3 ila nina Degree 3, na besides kama ni ustaarabu sijwahi kupiga mangumi wanawake ni watu wa chini kwa akili na elimu ndio wanaweza kupiga mangumi wanawake tena mwanaume mtumzima, U know hahahahahahahah

Le Mutuz
 

Hahahaha uknw Mimi ni mtu Maarufu sana Tanzania hivyo sijali kukosea maneno kabisa kwanza Nina degree tatu uknw.... supergadem mburulaz wananionea wivu hasa ninapo piga picha na super lemtindiz ....hahahaha I like it
 

Attachments

  • 1415883725820.jpg
    44.6 KB · Views: 261
  • 1415883752958.jpg
    63.1 KB · Views: 259





[h=3][/h]
 




[h=3][/h]


Mkuu ulisema huta niquote tena imekuaje Leo?

kwa akili yako ndogo unadhani kupiga picha na MTU au kuchekewa ndo kupendwa?

Unafki Wa waafrika ndivyo ulivyo MTU anakuchekea ndani anakung'ong'a....
 
Mkuu ulisema huta niquote tena imekuaje Leo?

kwa akili yako ndogo unadhani kupiga picha na MTU au kuchekewa ndo kupendwa?

Unafki Wa waafrika ndivyo ulivyo MTU anakuchekea ndani anakung'ong'a....

- nilitaka tu kukusaidia wewe na wajinga wenzako kwamba hamna uelewa wa mnachozungumza, mtu anaweza kukualika Ikulu halafu akakungonga ni mawazo ya mtoto mdogo sana asiye na akili ndio anaweza kusema ujinga kama huo, sasa weka zako za wewe anayekukubali ili tukate mzizi wa fitina, naona mnalia sana na cheo cheo mkuu hivi unajua nafasi yan gu ndani ya CCM Taifa au unapiga piga kelele tu kama mjinga? nyie nyamazeni fanyeni kazi zenu mimi hamuniwezi kwa sababu nina maamikili mengi sana kuliko uwezo wenu wa kufikiri,

- Leo peke yake nimesaini mikataba 2 wa kwanza na Smart East African Telecom Inc. na wapili Windhoek Lager, sababu kazi zangu za Mitandao sasa wewe utajilinganisha na mimi on what? nyamaza sasa subiri TArehe 22/11/2014 Escape 1 Beach Club the event of the Century, tuliza boli eti kwani wewe umeshawahi kufanya nini cha kuheshimika hapa mjini au mikoani? chezeya The King of All Bongo Social Media Network, hahahahahaha na baada ya this sitakujibu tena U know!!

Le Big Show
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…