Upuuzi wa William Malechela Le Mutuz


Le bonge la nyau,naona unatoa mistari konde.
 
Wazazi upo, vijana upo....hatari hatari we babu kibokooo...
Na yule mwenzio Bulembo yupo UVCCM?

- Ona mnavyozidi kutoka kwenye mstari wenu wa matusi vipi mmekwama nini niwasaidie hoja? hahahahahahahahahah mimi ndio Le Mutuz Big Show The King Of All Bongo Social Media Network usikurupuke kama unataka kucheza this game na mimi hjuwa sihitaji kusaidiwa na yoyote I can play this anytime hata nikiwa nimelala you mburulazzzzz now go home and jifunzeni tena this game hahahahahahahahah

Le Mutuz
 
- Ok lets say ilikuwa Mbalamwezi so unasema mwenye Mbalamwezi ni mjinga na mpumbavu au unasema inamilikiwa na Teeneger? unaona jinsi ulivyo huna akili hata ya kuweza kufikiri kidogo tu I mean empty head U know hahahahahahahah

Le Mutuz

hukujisikia out of place ukiwa na vitoto vinavyozungumzia single mpya ya taylor swift au sababu akili zako zinalingana nao ukaona ni sawa? ilkuwa ni party ya teenagers..Jesus, for God sake...kha
 
- Sijawahi kuwa na degree 3 ila nina Degree 3, na besides kama ni ustaarabu sijwahi kupiga mangumi wanawake ni watu wa chini kwa akili na elimu ndio wanaweza kupiga mangumi wanawake tena mwanaume mtumzima, U know hahahahahahahah

Le Mutuz

Unataka kupoteza lengo.

The fact is, hunijui.Nishakupa nafasi unitaje jina hapa ukashindwa. Habari za kupiga mangumi wanawake umezitunga tu.

Wewe ne degree zako tatu bado hujajua kwamba neno katikati ya sentensi halianzi kwa herufi kubwa.

Na hujajua pia kwamba ni "Windhoek Lager" si "Windhoek Larger".

Rudi chekechea, degree zako tatu wamekulia hela tu.
 

Tunavyozidi? tuko wangapi? Halafu Mburula ni wewe ambaye mpaka leo hujijui ni kijana au mzee.....Pole sana.....
Ila kadi ya vijana urudishe...hata ukinuna ndo nshakwambia....

Halafu unasema tukajifunze game? game gani ya kupiga puchu au? kwa hiyo hata ukiwa umelala unacheza game ya puchu.....makubwaaaaaa
 
hukujisikia out of place ukiwa na vitoto vinavyozungumzia single mpya ya taylor swift au sababu akili zako zinalingana nao ukaona ni sawa? ilkuwa ni party ya teenagers..Jesus, for God sake...kha

- I know tungeanza na mmiliki wa Club unamuweka wapi na this kind of business ambayo wewe unaamini inatakiwa kuwa ya watoto wadogo kama wewe u know hahahahahahahha

Le Mutuz
 
- I know tungeanza na mmiliki wa Club unamuweka wapi na this kind of business ambayo wewe unaamini inatakiwa kuwa ya watoto wadogo kama wewe u know hahahahahahahha

Le Mutuz

either unajitoa fahamu au ufahamu wako ni mdogo..kwani leo ukiambiwa sehemu kuna toto party utaenda just kwa sababu ya mmilki wa club? poor reasoning? hivi ukoje wewe????
 

- Sina degree 3 nina Degree 3, ila siwapigi wanawake halafu nikirudi bongo sikimbilii hotel kisa kwetu Kimara hakuna choo, ningekuwa mimi ningewajengea choo cha kisasa wazazi wangu kusudi nikija niwe nafikia home badala ya kujiongezea madeni ya credit card kukaa Protea, hahahahahahahahahahaha

Le Mutuz
 

- Kamanda mkuu wa UVCCM Taifa ni Mzee Kingunge Mwiru ndio maana ninakwambia kwamba uwezo wako wa kufikiri infact wote nyie ni mdogo sana ndio maana hamuniwezi jeshi la mtu mmoja nawatesa kama vichaa maana akili hamna wote loe mburulazzz hahahahahahahaha

Le Mutuz
 

"Windhoek Larger" hahaaaaa.

Nina Degree 3, hahaaaaaaa.

Rudi chekechea Lodi Lofa.
 
either unajitoa fahamu au ufahamu wako ni mdogo..kwani leo ukiambiwa sehemu kuna toto party utaenda just kwa sababu ya mmilki wa club? poor reasoning? hivi ukoje wewe????

- Kama unayoyasema ni sawa ni makosa kwa mtumzima kumili Mbalamwezi Beach Club ndio ninakushangaa kama kweli una akili sawa sawa au ndio yale yale, kama ninakusoma sawa sawa mmiliki wa Toys R us anatakiwa ---- mtoto mdogo maana mtumzima hawezi kumiliki kampuni ya matoi ya watoto, hahahahahahahaha hata kujibishana na wewe ninajishusha sana lakini kwa leo lazima niwape elimu ndio maana nawapa mawe tu U know!!

Le Mutuz
 


jiheshimu mtu mzima first time ulijiteteta eti 65 percent ya voters ni under 18 thats why ulikuwa una mingle nao leo unajifanya kuchezesha maneno..le jingazz
 
jiheshimu mtu mzima first time ulijiteteta eti 65 percent ya voters ni under 18 thats why ulikuwa una mingle nao leo unajifanya kuchezesha maneno..le jingazz

- hahahahahahah tizama ulikotokea na unakoelekea wala hamna comparison, I mean nimekuuliza swali kama unaamini Mbalamwezi Club ni ya watoto nakuuliza Mmmiliki wake naye anatakiwa kuwa mtoto kama wewe au what? hahahahahahahah

Le Mutuz
 
Hiii kazi mnayo,wazee wazima misutano km kule kwetu mbagala....
 

Sasa hii ni comment au makala? Mtu mjinga na asiye na elinu hawezi kamwe akakupotezea muda wako kuandika makala yote hii, that's means sindano zinakuingia vilivyo na Dr Murray nipo hapa leo lazima nitakuover dose tu.

Watu wako busy na kazi zao nani anahitaji uongozi kwenye chama ambacho mtu yeyote mwenye laptop na modem naye ni bloger, wenzako kina Maggid Mjengwa hawana muda wa kipuuzi wapo field kwenye project ambazo ziko funded na donors wewe kalagabaho CEO wa blog.

Sasa turudi nyuma maana hata hukumbuki hii thread inahusu nini hivi kati ya mimi Matola na wewe rafiki wa Jakaya Kikwete ni nani Jinga na pumbavu kabisa linalofuatilia maisha ya Mwanaume mwenzake?

Usipanic!
 
Hiii kazi mnayo,wazee wazima misutano km kule kwetu mbagala....

- It always workes for me kwa sababu wananchi wengi hawanijui vizuri wanasikia maneno mengi ya kijinga kama haya ndio maana ninapenda sana this kind of the game kwa sababu inanipa a platform ya kusikika na kuweka ukweli ulipo kila mwenye akili akisoma hii thread anaishia kuelewa kwamba wale watukana matusi maarufu humu wamekamatwa pabaya maana wamezoea kutukana wasioweza kuja kujibu, I am here siwaogopi na matusi yao ya kizamani nawapa za uso na hoja na facts tupu U know and I love it!!

Le Mutuz
 

- Mwanaume mzima una mke na watoto unafuatilia mwanaume mwngine kama mimi na kuja kutunga umbeya na majungu huku JF eti unajiita Mwanaume au? hahahahahahahahahahaha kwani by the way wewe ni Mwanaume kweli maana sijawahi kuona Mwanaume anaweza kufanya mambo kama haya ya kitchen party au? hahahahahahaha

Le Mutuz
 

Haya mkuu,sie wengine ngoja tutazame,msiuane tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…