Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
- Thread starter
-
- #241
Kiranga na Le baharia wanajuana!
Hamna kitu wewe humjui huyu boya hata wewe ukibishana naye atakubambika ukoo wa Ngwilulupi Ex mke wake, hata mimi ameshawahi kusema ni kaka wa Ex mke wake.
Huyu jamaa kichwani ni boya kabisa, nataka ruhusa ya Max nimwage mambo hadharani hapa.
Au kama unatumia pc search ID ya Field Marshal angalia started thread za hiyo ID utashangaa sana kuona hapa kuna mtu anajiita rafiki wa Kikwete!!
Haya mkuu,sie wengine ngoja tutazame,msiuane tu!
- hahahahahahah tizama ulikotokea na unakoelekea wala hamna comparison, I mean nimekuuliza swali kama unaamini Mbalamwezi Club ni ya watoto nakuuliza Mmmiliki wake naye anatakiwa kuwa mtoto kama wewe au what? hahahahahahahah
Le Mutuz
Kiranga na Le baharia wanajuana!
we ni zaidi ya mjinga
- Mwanaume mzima una mke na watoto unafuatilia mwanaume mwngine kama mimi na kuja kutunga umbeya na majungu huku JF eti unajiita Mwanaume au? hahahahahahahahahahaha kwani by the way wewe ni Mwanaume kweli maana sijawahi kuona Mwanaume anaweza kufanya mambo kama haya ya kitchen party au? hahahahahahaha
Le Mutuz
- Matola wewe ni Mwanamke au Mwanaume na kama ni Mwanaume ni kabila gani ambalo ulienda jandoni wakakufundisha hizi tabia za kufuatilia wanaume usowajua na kuanza kuwaandika kwenye JF kwa majina ya bandia, nakuuliza MAtola wewe kweli ni mwanaume au ndio yale yale maana hii thread ni ya Kitchen Party sio ya wanaume kama hapa au? hahahahahahaha
Le Mutuz
- Wewe kaa pembeni hapa ninajaribu kuelewa kama Matola ni Mwanaume au Mwanamke maana hakuna Mwanaume anayeweza kuandika majungu na umbeya like this never! hahahahahahaha
Le Mutuz
Hamna kitu wewe humjui huyu boya hata wewe ukibishana naye atakubambika ukoo wa Ngwilulupi Ex mke wake, hata mimi ameshawahi kusema ni kaka wa Ex mke wake.
Huyu jamaa kichwani ni boya kabisa, nataka ruhusa ya Max nimwage mambo hadharani hapa.
Au kama unatumia pc search ID ya Field Marshal angalia started thread za hiyo ID utashangaa sana kuona hapa kuna mtu anajiita rafiki wa Kikwete!!
Shoga tukae pembeni tuangalie ligi,tamu kwelikweli.....hahahaaaa
mbona inasemekana field marshall ni neema ngwilulupi??
mbona inasemekana field marshall ni neema ngwilulupi??
- hahahahahahahahahahhahaah Kaka Mwerevu U know
Le Mutuz
Unkw nifah i see you! Uknw Mimi naendelea kuingiza hela wanapo nitukana hahahaha I like it
- hahaha mwerevu kuja kubishana na mjinga unajitambua kweli au? hahahahahahahahah
Le Mutuz
Msitafute pa kutokea hapa, kila mtu anajuwa watu wa sauti za umeme ni nani na kumkoma nyani giradi yake.
By the way muandiko wa kike na maneno ya kike na feelings za kike zinajulikana pia, so don't fool ur self old boy.
Huna hata haya Matusi na utapeli uliofanya unataka kumuhusisha Neema? Are u Christian Billy? Mwanamke mliyeshare damu kupata watoto na anafanya kazi taasisi kubwa Marekani unataka kumuhusisha na uchafu wa Field Marshal Es? Realy? Seriously?
Mrembo by Nature gilasi of water puliziii
- Sina degree 3 nina Degree 3, ila siwapigi wanawake halafu nikirudi bongo sikimbilii hotel kisa kwetu Kimara hakuna choo, ningekuwa mimi ningewajengea choo cha kisasa wazazi wangu kusudi nikija niwe nafikia home badala ya kujiongezea madeni ya credit card kukaa Protea, hahahahahahahahahahaha
Le Mutuz
AnonymousSeptember 11, 2011 at 3:41 AM
Hili si jambo la binafsi. Halimhusu Neema Ngwilulupi tu. Na halihusu familia ya Malecela tu. Linahusu taifa letu kwa sababu Neema Ngwilulupi Malecela ni mmoja wa wawakilishaji wetu Umoja wa Mataifa (UN), na kabla ya hapo alikuwa ni mmoja wa wawakilishaji wetu katika ubalozi wa Tanzania nchini Belgium.
Amethibitisha pia katika michangio yake Jamii Forums kwamba aliwahi kuishi na kufanya kazi, Brussels, Belgium, alipo andika, "nina zungumza Kibeligiji," ingawa hakusema ukweli wote kwamba alikuwa secretary katika ubalozi wetu katika nchi hiyo.
Lakini inasikitisha kwamba hajui hata kueleza vizuri kuhusu lugha za nchi hiyo anaposema "nazungumza Kibeligiji," na kwamba "najua Kibeligiji."
Hakuna lugha inyoitwa Kibeligiji. Ni sawa na kusema "nazungumza Ki-Zambia," "najua Ki-Angola," "nazungumza Ki-Liberia," au "nazungumza Ki-Canada." Hakuna lugha kama hizo.
That is ignorance.
Kuna lugha tatu Belgium: Kidachi (Dutch), Kifaransa (French), na Kijerumani (German).
Neema Ngwilulupi Malecela (Field Marshall Es) hajui hata lugha moja kati ya lugha hizo. Najua ukweli kwa sababu mimi ni ndugu yake wa damu, na wa karibu sana, na tumejuana tangu utotoni.
Tuache kupendeleana, na tuache kulindana, eti kwa sababu ni ndugu ingawa tunajua ukweli utakao saidia kulikomboa taifa letu. Tumeumia vya kutosha kama taifa chini ya uongozi mbovu. Ndiyo maana imenibidi niseme ukweli bila kuficha chochote. Na siko peke yangu. Kuna ndugu wengi ambao wanataka wananchi wajue ukweli huo.
Reply
source:http://free-zanzibar.blogspot.com/2011/05/wananchi-tukisubiri-serekeli-yetu-ya.html
my take: kuna uwezekano ikawa kweli au le jingaz alikuwa anamchafua mkewe maana ni post ya 3 years ago hiyo
Inawezekana lemutuz ndio anamchafua mkewe? ngoja kuna kitu nakuwekea hapa