Upuuzi wa William Malechela Le Mutuz


nimeipenda hii
 
Last edited by a moderator:

mwaga ubuyu wote hapa hawezi kusema alichojibiwa u know
 
Matola wewe ndio wa kike umezidi kutukana watu na kujiona una akili kuliko watu wengine, kutwa kushinda kutukana na kudharau watu.Unashinda unatukana kina Wema,diamond n.k na leo jukwaa la habari umewaanza Wasabato. Umezidi ngoja upewe za uso na kiboko yako .
 
Hao followers miaka nenda rudi hawafiki hata 15,000 alafu anajiita King... Washenzi wenzake akina Sepetu wana followers laki mbili huko..

si ndio anawaongeza kwa style hii ...unadhani kupitia hii thread hajawapata japo mmoja wawili..?
 
si ndio anawaongeza kwa style hii ...unadhani kupitia hii thread hajawapata japo mmoja wawili..?

Anayemfollow huyu ----en nae hana akili hata moja... Linapiga makelele humu eti King sijui supastaa wakati account yenyewe hata haiko verified..
 

Kiboko na Mamba nani kiboko?
 
Huyo jamaa nadhani alivyozaliwa alichelewa kulia...
 
Mimi nilipo ni asubuhi.

Mimi nilipo ni 22.47 usiku mwema, kumbe ni mbeba box !! ndio maana una hasira na Le big show anavyokula bata maana huko full box hakuna bata.Haya asubuhi njema .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…