Upuuzi wa William Malechela Le Mutuz

- hahahahahah kumbe unsuguliwa duh? hahahahahaha kama kawaida unajisema mwenyewe badala ya kujibu swali unajisema mwenyewe mambo yako ya siri hahahahahahahahahahahahahahahaha

Le Mutuz

Kama una stress katafute pengine kwa kuzitolea.. You can consider this conversation is over.
 
Kama una stress katafute pengine kwa kuzitolea.. You can consider this conversation is over.

- HAHAHAHAHAHAHA wewe utabadili ID mpaka utachoka eti ulisema mimi nimekukimbia wewe? Please hahahahahah ona sasa ulivyojivua nguo mwenyewe kuhusu mambo yako ya binafsi hahahahahahaha

Le Mutuz
 
- hahahahahah kumbe unsuguliwa duh? hahahahahaha kama kawaida unajisema mwenyewe badala ya kujibu swali unajisema mwenyewe mambo yako ya siri hahahahahahahahahahahahahahahaha

Le Mutuz

Haha haaaaa Mdakuzi njoo huku umuone Le Mutuz...
I miss you u know.....
 
Last edited by a moderator:

kipi ambacho kimesemwa ni cha uongo labda?
We jamaa tezi dume kweli jibu hoja zake
 

Brilliant aiseee
Huna ao called degree tatu kama yeye and u r this smart
Shame on le mutuz le mavuziz
 
gwijimimi

- Mbona unajisema mwenyewe mambo yako ya siri hapa hatuyahitaji kuyajua mkuu hapa sio Momabasa eti, kuhusu Escape One naomba nikuulize Instagram Party ya kwanza waliingia wangapi? hahahahahahahah mtakufa na vijiba shongoni sisi tunavuta pesa tu U know!!, umesikia kivumbi cha Tegeta juzi nilipompelekea Juma Nature ilikuwa ni balahaaaa

Le Mutuz
 
Last edited by a moderator:
gwijimimi

- Unahangaika na ID mpaka ufe mimi mwendo ni ule ule huwezi kuwa na Degree 3 ukaja kwa majina ya bandia hapa kufuatilia maisha ya Wanaume kama wewe lazima uwe huna elimu kwanza, U know hahahahahaha U know

Le Big Show
 
Last edited by a moderator:
Unafikiri kumchamba vima /kumtawaza lijitu lizima kama lemutuz kazi ndogo eeh?

- Leo All big Celebrities hapa mjini tumealikwa kwenye Preview ya Movie mpya Obey, vipi wewe na wewe Big Celeb umealikwa au utasubiri kuona picha tu kama kawa? hahahahahahahahahah U know

Le Mutuz
 
Haha haaaaa Mdakuzi njoo huku umuone Le Mutuz...
I miss you u know.....

Le Mutuz hewani. Ila sijamuelewa kabisa, Degree tatu zake zimeishia kuwa mpiga show za night clubs. Labda angefanya matamasha ningemwelewa, au labda anasanya hela za kutafutia ubunge?!
Ova
 
Last edited by a moderator:
Le Mutuz hewani. Ila sijamuelewa kabisa, Degree tatu zake zimeishia kuwa mpiga show za night clubs. Labda angefanya matamasha ningemwelewa, au labda anasanya hela za kutafutia ubunge?!
Ova

- Eti unawajua wabongo wangapi wenye Degree 3 kama mimi wanaoweza kukusanya wananchi 6,000 kwenye event moja hapa Dar? hahahahahahah Wazungu wanasema ukiona binadam ana uwezo wa kufanya kitu cha kuwakusanyisha wananchi asiowajua zaidi ya 100 sio wa kawaida So relax!! tupo town tunapiga pesa sio longo longo tena clean money!!, juzi Tegeta ilikuwa ni balahaaaa

Le Big Show
 

Sio kila mtu ukimkusanya unakuwa wewe balaa. Wengine ni mazuzu tu, so usijidanganye kuwa umetusua kwa kuwakusanya mbululazzz U know.
Ila nakupa tano kwa kusaka clean money huo ndo uzalendo kwa nchi yako ya asili. Ila kazitoe kabatini Degree zako, achana na hayo mambo ya level za akina Said Fella.
Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…