Upuuzi wa William Malechela Le Mutuz


Majibu yaaaaaako saaasa!
Huwa nachekaaaaaaaaa mpk napaliwa
 

Hahahahahahahahahahahaha
 
hebu tupe somo kuhusu matamasha na udhamini!!

yaani wale sponsor wanakupa hela before or after events?

nataka Nipige hizi mambo huku Namtumbo!!

- Ukitayarisha Tamasha inategemea kama ni zito sana ukianza kulitangaza mwanzoni kuna wadhamini wanajitokeza wenyewe au kuna wewe kuwatafuta, Wadhamini wanakupa hela baada ya event sio kabla.

Le Mutuz
 
- Ukitayarisha Tamasha inategemea kama ni zito sana ukianza kulitangaza mwanzoni kuna wadhamini wanajitokeza wenyewe au kuna wewe kuwatafuta, Wadhamini wanakupa hela baada ya event sio kabla.

Le Mutuz

me I like it u know!!

mimi nikikupa idea sababu ya uzoefu wako kwenye hizo events inakuwa vipi hapo?
 
Nakukubali sana my brother mm nimsomaji tu wa thread hz lakn kwa majibu yako upo juu sana haupanic kujibu wala hautumii lugha mbaya u know never give up the king
 
me I like it u know!!

mimi nikikupa idea sababu ya uzoefu wako kwenye hizo events inakuwa vipi hapo?
U knw me ze big celeb so mabebz wote wakare u knw ukinipa idea zen naku bikira wa kisukuma u knw wht i mean with my 3 degree za kupapatikia picha n wasaneee mchwara


Le mtumb....ooozzzzzzzzz
 
U knw me ze big celeb so mabebz wote wakare u knw ukinipa idea zen naku bikira wa kisukuma u knw wht i mean with my 3 degree za kupapatikia picha n wasaneee mchwara


Le mtumb....ooozzzzzzzzz

- Saafi sana kumbe unanifollow The King Of All Bongo Social Media Network mpaka unaweza kuimba swagazzz zangu ndio maana ya kuwa Big Celebrity U know and I love it!!

Le Mutuz
 
Nakukubali sana my brother mm nimsomaji tu wa thread hz lakn kwa majibu yako upo juu sana haupanic kujibu wala hautumii lugha mbaya u know never give up the king

- Ndio faida ya kuwa elimu kubwa mkuu kama yangu U know Degree 3 sio mchezo U know!! hahahahahahaha I love it!!

Le Mutuz
 
dah. .kwa jinsi unavyojua kujibu hoja unanifanya nijikute n
ifungue thread coz ntabaki na tabasamu tu....le mutuz upo juu kwa kweli
 
u knw me ze big celeb so mabebz wote wakare u knw ukinipa idea zen naku bikira wa kisukuma u knw wht i mean with my 3 degree za kupapatikia picha n wasaneee mchwara


le mtumb....ooozzzzzzzzz

- hahahaha ha u know

le mutuz
 
Wewe ndo celebrity wangu kwa mwaka huu.... dangote bado anasubiri kwako.... u know..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…