Franco Zetta
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 1,661
- 843
Atacheza na akili za nani huyu, anajichezea mwenyewe, huyu ni mtu wa kuhurumiwa tu na kumwacha kama alivyo athari za utotoni hizo alichelewa kutembea.Le Mutuz anajua kucheza na akili za wadanganyika kama ccm.
Kweli kabisa akawekwe museum kama kiumbe pekee anaye zeeka mwili na akili ya mtoto wa miaka mitano.Heheh Le mutuz ni hazina kwa Tanganyika, atunzwe!
hana akili....hana chochote kichwani...ni mtumbo tu na bamia labda apart from hvo ni kama mwehu hivi....
HahahahahaHeheh Le mutuz ni hazina kwa Tanganyika, atunzwe!
HahhahahHahahaaaaa eti now this is "LE SUPER TAMKOZZ"
Nimecheka hatariiiiii long live Le Mutuz....
With you....no more stress
Kutakuwa kuna kitu ulimfanya sio bureMie aliniblok..
Hivi mtu akikublok ukataka kumfollow tena unafanyaje
Hahahahah, wachambe haoo le mutuz, hii ni proof tosha kuwa wewe ni big celebrity, the king of all bongo social media network1. Matola mwanaume mzima mwenye watoto wanaokuheshimu sana unasema watakuheshimu zaidi kujua baba yao kazi yako kwenda kwenye instagram za wasiokujua na kuanza kuhamishia JF kwa kutumia jina la bandia na kuanza kuwatukana? Unasema for this watoto wako na mke wako watakuheshimu zaidi?
2. Eti kosa langu ni nini hasa in this case? Kwenda kwenye Instagram yangu kutangaza kwamba nitaweka ukweli kuhusu Diamond na Zari kama wana date au hapana, unasema nimevunja sheria ya nnchi? au unasema nilitumia bastola kuwalazimisha wananchi wengi pamoja na wewe kuja Instagram yangu kufuatilia huu umbeya?
3. Halafu umri wangu mbona unakupa taabu sana maana for sure huujui, mimi nikiwa 60 Mwenyekiti wako wa Chadema atakuwa 75, hahahahahahahaha unanichekesha sana ingawa I love this maana inaniongezea umaarufu zaidi hasa kwenye mitandao ambako ndio kuna 80% ya my investment.
- Otherwise Diamond is my close friend so is Zari and Wema too, na wote ni big Celebs kama mimi U know so lets the movie keep on going, ila umejishusha sana hadhi kwa mwanaume mzima kuingia instagram za wasiokujua na kuanza kuhamisha habari zao kwa majina ya bandia, ingawa najua kwamba unanifuata kwenye isnta yangu kwa sababu mimi ni Big Celeb
- Halafu mnanishaangaza sana mnasema mnanichukia na kwamba sifai na kwamba sina akili, jamani kila siku thread ya mtu msiyempenda inawezekana vipi yaani hii thread nimeona mahali mpaka Philemon Michael amechangia I was like no way daamn yaani nimekuwa this Big of Celebrity U know hahahahahaha and I love iit!!
Le Big Show
Mkuu hiyo ID yako hunivunja mbavu sana.Hahhahah
- KWa maana ya kwamba wewe ni mzima, Mwanaume mzima unaingia kwenye mitandao kufuatilia maisha ya wanaume wengine mpaka kuwazushia kuumwa na wewe ni mtoto wa kiume? duh inashangaza sana U know
le Mutuz
HahahahMkuu hiyo ID yako hunivunja mbavu sana.
Imekaa ki Le Mutuz
Akili zake bando la wikihuyu jamaa anajijuaga mwenyewe na akili zake
Akili zake bando la wiki
Good self riddance-hahahahahah ok guys nipo busy sana and let me retire now tutaonana another new thread ila hii imetosha I am out now!!
le Mutuz
Good self riddance
Bado upo? Usishangae na kufurahia PAGE 30 VIEWERS 60,000......Hata jalala hujaa ndugu yangu.....taka- hahahahahahah le mburulazzz, PAGE 30 VIEWERS 60,000 INATOSHA SANA
le Mutuz
Binafsi najifunza kitu. Mtu ukiamua kuishi "kimakosa" kinyume na style ya jamii yako, ukishambuliwa ujue ni "sehemu ya kanuni"
Everything has prons and cons. Accept them in equal weight!