Upuuzi wa William Malechela Le Mutuz

Le Mutuz anajua kucheza na akili za wadanganyika kama ccm.
Atacheza na akili za nani huyu, anajichezea mwenyewe, huyu ni mtu wa kuhurumiwa tu na kumwacha kama alivyo athari za utotoni hizo alichelewa kutembea.
 
Hahahahah, wachambe haoo le mutuz, hii ni proof tosha kuwa wewe ni big celebrity, the king of all bongo social media network
 
siwezi jibizana na mbururazzz u know!!! haa haaa im humbled #lemutuz#
 
Binafsi najifunza kitu. Mtu ukiamua kuishi "kimakosa" kinyume na style ya jamii yako, ukishambuliwe ujue ni "sehemu ya kanuni"

Ever thing has prons and cons. Accept them in equal weight!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…