Hahah....UMEUAAcha kujipa utoto wewe uwe sawa na Pinda? Pinda umemzidi umri sana tu....
We si upo na 65 now rika la kina JK!!!
Laana mbaya wenzio wamejukuu we unahangaika kucheza na watoto....
haha mfalme feki wa mitandaoni wewe ni zero brain... vichwa ni akina millard ayo, issa michuzi etc wewe ni feki acha kudanganya- So kujiita Dr. na picha ya bandia unasema ndio kuwa na akili? hahahahahaha mbona kama umejisema mwenyewe kuwa ni mburulazzz maana mtu mwenye akili hawezi kujiiita DR. na picha ya bandia akitumia jina la bandia, unasema una akili mkuu? kama unazo basi sizitaki tena hahahahahaha
le Mutuz
Mie mbona sijui vizuri huyu
Mkuu naona unafunua file watu wapitishe machokatika zile harakati za ku [HASHTAG]#ThrowBackThursday[/HASHTAG]
Na hicho kipisi cha sigara atakiingiza kwa mwanamke gani?Hhhhhhhhaaaa le mutuz aoe awe busy na familiaa jamaniii
Kibamia- So kujiita Dr. na picha ya bandia unasema ndio kuwa na akili? hahahahahaha mbona kama umejisema mwenyewe kuwa ni mburulazzz maana mtu mwenye akili hawezi kujiiita DR. na picha ya bandia akitumia jina la bandia, unasema una akili mkuu? kama unazo basi sizitaki tena hahahahahaha
le Mutuz
AhhahahahahaNa hicho kipisi cha sigara atakiingiza kwa mwanamke gani?
Hawa wanao ndiovwamekutwanga photo kwaaaachaa- Ratiba yangu ni kesho nitakuwa Mwanza kwa mualiko wa Rockcity Mall at Mwanza for Instagram Party nitarudi Jumatatu, halafu Jumatano ninaondoka tena kwenda Nairobi kwa mualiko wa Citizen TV, nikirudi naelekea South Africa kwa mualiko wa Glenfiddich Whiskey Inc., nikirudi itakuwa ni safari ya Dubai kwa mualiko wa the Official Launch of Clouds Media Cable Channel so nitakuwa busy Internationally na my Social Media works mpaka kati kati ya Mwezi May ndio nitapumzika kidogo hapa home Dar,
- Now jipime tena mkuu una fit wapi in my life, Samaki Samaki nipo nao for the last 2 years, kama ni Wabebezz hao sina tatizo nao tena wa ukweli au unataka nikupe picha hapa niliyekuwa naye jana?
- hii ilikuwa jana na Super Star Actress Mariam at Maisha Basement now tizama ana wigi huyu au wewe ndio umevaa wigi? hahahahahahahahha
- Hii ilikuwa juzi with Super Star Actress Nishe Chande, now hebu angalia tena kama maneno yako ni ukweli maana huwa sina muda na wabebezz wasi wasi hahahahahahahah
le Mutuz
We banned unatabu.Watu wamefukua kaburi hili duuuh
Kumbe ulijua kuwa K100hana akili....hana chochote kichwani...ni mtumbo tu na bamia labda apart from hvo ni kama mwehu hivi....