- Ratiba yangu ni kesho nitakuwa Mwanza kwa mualiko wa Rockcity Mall at Mwanza for Instagram Party nitarudi Jumatatu, halafu Jumatano ninaondoka tena kwenda Nairobi kwa mualiko wa Citizen TV, nikirudi naelekea South Africa kwa mualiko wa Glenfiddich Whiskey Inc., nikirudi itakuwa ni safari ya Dubai kwa mualiko wa the Official Launch of Clouds Media Cable Channel so nitakuwa busy Internationally na my Social Media works mpaka kati kati ya Mwezi May ndio nitapumzika kidogo hapa home Dar,
- Now jipime tena mkuu una fit wapi in my life, Samaki Samaki nipo nao for the last 2 years, kama ni Wabebezz hao sina tatizo nao tena wa ukweli au unataka nikupe picha hapa niliyekuwa naye jana?
- hii ilikuwa jana na Super Star Actress Mariam at Maisha Basement now tizama ana wigi huyu au wewe ndio umevaa wigi? hahahahahahahahha

- Hii ilikuwa juzi with Super Star Actress Nishe Chande, now hebu angalia tena kama maneno yako ni ukweli maana huwa sina muda na wabebezz wasi wasi hahahahahahahah
le Mutuz