Jana nimemsikia XXL ya clouds anaelezea sakata la Miss Tanzania. Jamaa yuko vizuri, alitoa maelezo mazuri tu. Ifike hatu tukubali na kuheshimu lyfstyle ya mtu aliyoichagua.
Hizo shughuli ndo zinamfanya aende chooni itakuwa sio poa kumkandia ki hivyo. Au mnataka naye akafanye biashara ya kuuza ngada kama wale watoto wa wakubwa???
Big up Le Mbululaaaazzz.
Anaongeza followers....
Ha! ha! ha! thanks Le Mutuz kwa kutoa le majangaz yanayokukabiliz...watu walishachukua le tongez le mdomonizzzzz
Usiwe na le manenoz we le mburulazzzz!
Hakika atunzwe kabisa...kwa vituko vyake naamini sitozeeka mapema kwa vicheko....
Mie aliniblok..
Hivi mtu akikublok ukataka kumfollow tena unafanyaje
Hhhhhhhhaaaa le mutuz aoe awe busy na familiaa jamaniii
Hivi ana mtoto hata WA uongo uongoo?
Like a Father Like a Son!
Hahahahaa alipo Le Mutuz ni full burudani yaani!!
Hivi ana mtoto hata WA uongo uongoo?
Mie aliniblok..
Hivi mtu akikublok ukataka kumfollow tena unafanyaje
Mweeeeh ulimfanyaje Le Big Show hadi akakublock?
Mi sijamfollow ila nikijisikia kucheka huwa naenda kwenye page......jamani ule mwandiko wake unaniachaga hoi aiseee!
Who are you kuingilia mambo yao ungemstiri km usingeleta habari za lemutuz hapa...
Sio mtoto,watoto wawili kabisaaa