Upuuzi wa William Malechela Le Mutuz

Upuuzi wa William Malechela Le Mutuz

Lemutuz vipi tena uko insta wanakushambulia ulikua unafanya haja barabarani au photoshop ile?
 
Unamuadije nimebadili Id nimebadili profile pick ila nikifollow inagoma... nielekeze kuna mtu muhimu kaniblock nataka aniblokue

Shosti haya mambo ya insta hata siyajui mwaya 😊😊😊😊
 
Unamuadije nimebadili Id nimebadili profile pick ila nikifollow inagoma... nielekeze kuna mtu muhimu kaniblock nataka aniblokue

Mimi simfollow celeb yoyote Insta wote Id zao ziko open huwa napita na kusoma tu, je hutosheki kusoma tu Insta na kuangalia picha zao?

Mimi sioni la maana Insta linalokulazimu kuwafollow hawa maboya wakati una access ya kuingia kwenye account zao ukisearch user name tu.
 
Mimi simfollow celeb yoyote Insta wote Id zao ziko open huwa napita na kusoma tu, je hutosheki kusoma tu Insta na kuangalia picha zao?

Mimi sioni la maana Insta linalokulazimu kuwafollow hawa maboya wakati una access ya kuingia kwenye account zao ukisearch user name tu.

Hivi huko Instagram unaingiaje?
 
Hivi huko Instagram unaingiaje?


Angalia hiyo app kama ipo kwenye smartphone yako ingia hapo kama huna kaipakuwe playstore.

Ukishafunguwa account yako sasa wewe search username zao ushuhudie Dunia hii Teknolojia inavyozidi kuwatia watu ujinga badala ya kuelimika.
 

Attachments

  • 1415905506301.jpg
    1415905506301.jpg
    61.9 KB · Views: 360
Mimi simfollow celeb yoyote Insta wote Id zao ziko open huwa napita na kusoma tu, je hutosheki kusoma tu Insta na kuangalia picha zao?

Mimi sioni la maana Insta linalokulazimu kuwafollow hawa maboya wakati una access ya kuingia kwenye account zao ukisearch user name tu.

Wengine ni private mpwa... inabidi tu umfollow..

Hahaaaa eti hawa maboya lol
 
Wengine ni private mpwa... inabidi tu umfollow..

Hahaaaa eti hawa maboya lol

Not me mpwa? Simfollow yeyote labda wale ambao tuko friends facebook.

Mimi huwa napita huko Insta kuwasanifu tu, kama Le boyas likionaga mipicha yake ina comment 3 tu linaishia kuwatisha followers atawadelete wasipokuwa wanacomment umbululaz wake, hapo mimi ndio starehe yangu huwa nacheka kimyakimya Mazafantaz.
 
- Wewe kaa pembeni hapa ninajaribu kuelewa kama Matola ni Mwanaume au Mwanamke maana hakuna Mwanaume anayeweza kuandika majungu na umbeya like this never! hahahahahahaha

Le Mutuz

- Matola wewe ni Mwanamke au Mwanaume na kama ni Mwanaume ni kabila gani ambalo ulienda jandoni wakakufundisha hizi tabia za kufuatilia wanaume usowajua na kuanza kuwaandika kwenye JF kwa majina ya bandia, nakuuliza MAtola wewe kweli ni mwanaume au ndio yale yale maana hii thread ni ya Kitchen Party sio ya wanaume kama hapa au? hahahahahahaha

Le Mutuz

- Le mburulazzzz unanichekesha sana maneno mengi hoja hamna, Michuzi hahusiki na this foolishness of yours, Juzi nimechaguliwa kuwa kiongozi wa Tanzania Bloggers Asscociation jiulize ni kwa nini wamenichagua kabla hujajivua nguo hapa na ujinga ujinga, Michuzi ni my close friend tunatoka mbali sana na this life ya mjini sina tatizo naye ana area zake na mimi nina zangu we respect each other na kwenye many project we work together kwa hiyo umekosea sana kwenye hiyo njiia nimekubana mbavu huna pa kutokea tizama unavyohangaika kama kuku anataka kutaga, hiyo picha imepigwa siky ya Dinner ya Muungano Ikulu niambie kama wewe au baba yako alialikwa? hahahahahahahahah

- Ninarudia tena juzi nimeongea na Rais na siku wa peke yangu mmoja wa tuliyeongea naye ni Steve Nyerere siku aliyofanyiwa operation ya kwamba ilikuwa baada tu ya operation hayo ni yako maana unaona kwamba huna pa kutokea mmezoea kutukana watu wasiokuja kujibu hapa mimi nitakupa FACTS mpaka ujielewe mjinga wewe, mwanaume mzima kazi kufutailia maisha ya wananume wengine yako mwenye ni empty huna life maana Mwanaume huwezi kulala macho na maisha ya asiyekuhusu lazima una matatizo makubwa sana kimaisha, wewe mjinga wewe utajilinganisha na mimi on what?

- Kuhusu JF nimekwambia mara nyingi sana nenda Brela pale Mnazimmoja, gorofa ya Saba muulizie Fraank mwambie unataka kuona information za Jamiiiforums watakupa utajionea yote na utaona jina langu, ila ukishafanya hivyo njoo useme feedback hapa, Rais JK ni mshikaji wangu loong time hata kabla hajawa Rais waulize watu wa New York watakwambia ukweli mpaka leo tupo vile vile, sasa niambie na hizo picha nilizopiga naye ni Malecela ndiye alimuambia tupige? hahahahahahaha binadam mjinga hata kwenye ukweli hujifanya kujua unajua nini wewe mshamba wewe, tuliza boli nakushukuru sana kwa kunipa platform ya kuweka ukweli wazi, wenye akili wakisoma hapa wanaelewa ila wajinga akama wewe wataendelea kubisha unabisha nini jali maisha yako mabovu, hivi kweli wewe mjinga utalinganisha maisha yangu na yako? pleasee hahahahahahahahah wewe unaweza kweli kunitisha mimi na maneno ya kijinga kama mlevi unafikiri mimi ninatishika na wajinga kama wewe, with absolutely no edcuation huna elimu wewe huoni kwamba ni empty head? hahahahahah tisha wajinga wenzako sio mimi

The King Of All Bongo Social MEdia Network

Hahahahahah,,,,Le baharia mzee wa mbelez mzee wa bebez. U know naona unatoa sindano tu kwa wagonjwa
 
Kuhusu le mk..bwa ...jing.....a kumganda omar bakhresa nina file yake hapa hivi muulizen miez mitatu nyuma alienda ofsini kwa omar akawadanganya walinzi eti ana msg kapewa kutoka ze whte nyumba amfkishie ze omar muulizen alijibiwa nn akidanganya tuu narudi zee babz jingz u knw hahahaaaaaa ze mazasprite
 
Sijawahi ona mgogo sifuri kama hili ze tom... b..oyyy ze jingz kubz lem...vut..uuuu anamuaibisha mzee wake stil nakusubiri uongee zee ujingz nikupez za uso kuhusu kumganda omar bakhresa
 
Mgogo ni mgogo tu, hata asome vipi ,hata apate exposure vipi, huwa anabaki kuwa mgogo tu!

Eh eh eh nitake radhi tafadhali. Wagogo ni watu fresh sana. Mimi siyo mgogo ila nimekulia Dodoma na nimeolewa na mgogo...ni watu intelligent na wana talents sana tu, na ni wema sana
 
Back
Top Bottom