Illuminata Rodgers
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 2,845
- 2,024
Hahhahahhahaha mkuu soma uelewe kapotelewa WAP?Polisi ameenda kulipoti,kama kapotelewa na mwenza?
NakujaHaya njoo upesi pm
Me sijui sasaHaya njoo upesi pm
Kwa hiyo anahitaji mbususu ipelelewe moto🤣🤣🤣🤣Ni mke wa mtu but kutokanana na mumewe kutokujali anahitajika mwanaume kwa ajili ya kumuondoa upweke,kuhusu yeye yuko na miaka 27,ni mjasiriamali.
Mwanaume anaehitajika awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato na awe na umri wa miaka 32 mpaka 50.
Serious man inbox me
Don't manipulate the story , to be honest mtu anayehitaji mpenzi ni ww ,ukitaka ushahidi nakupa[emoji23][emoji23]Ni mke wa mtu but kutokanana na mumewe kutokujali anahitajika mwanaume kwa ajili ya kumuondoa upweke,kuhusu yeye yuko na miaka 27,ni mjasiriamali.
Mwanaume anaehitajika awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato na awe na umri wa miaka 32 mpaka 50.
Serious man inbox me
Ongeza nyama kwenye CV kama ni mama wa nyumbani au anafanya shughuli Gani? Mweupe/mweusi? Mwembaba/mnene, mrefu/mfupi/wastani nkNi mke wa mtu but kutokanana na mumewe kutokujali anahitajika mwanaume kwa ajili ya kumuondoa upweke,kuhusu yeye yuko na miaka 27,ni mjasiriamali.
Mwanaume anaehitajika awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato na awe na umri wa miaka 32 mpaka 50.
Serious man inbox me
Hivi mtoa mada asingeweka wazi mhitaji ni mke wa mtu, nyanaume kibao zingemiminika kuloweka mguu....!
KWanj akiwa nke ya mutu ndio wanaume hatutakiwi kwenda kula mbususu yake kama yeye yupo tayari kuitoa bureeeBinadamu tumeumbwa kwa namna ya tofauti....
Kuna ukweli tukiambiwa tunakimbia na uongo tunakubali....
Wakati niko mschana wanaume waliokuwa wananitongoza na kutaka tufanye mapenzi nilikuwa nawaambia nikipata mimba je...!?? Mambo ya kuanza kukimbizana mimba yako mara katoe siyataki...
Wananijibu tutatumia Condom.
Nawaambia tukapime HIV, wanasema sasa kama tunavaa Condom kuzuia mimba itaswihi n HIV hakuna haja ya kupima.
Nawaambia je, ukiambiwa huyu dada amepimwa na amegundulika na virusi vya HIV ila anataka mfanye mapenzi kwa kutumia Condom....!
Wanaruka futi mia, weeh huko ni kujichoma mtu ushajua kabisa ana ngwengwe hapo hata ndom haisaidii.....!
Hivi mtoa mada asingeweka wazi mhitaji ni mke wa mtu, nyanaume kibao zingemiminika kuloweka mguu....!