si hio miaka yako ulotaja hapo juu
btn have a good day
And you toosi hio miaka yako ulotaja hapo juu
btn have a good day
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
si hio miaka yako ulotaja hapo juu
btn have a good day
And you toosi hio miaka yako ulotaja hapo juu
btn have a good day
Mimi nakutakia kila la heri. Maana kupitia hivi vigezo vyako, nimejiona sitoshi.Upweke umenichosha, nahitaji boyfriend kama tukielewana, tufunge ndoa takatifu Kwa wakati sahihi.
Mume wa mtu haitajiki.
Umri uwe 28 mpaka 30..
Awe na kazi au kitu anachoshughulika nacho kumuingizia kipato.
Asiwe mrefu kupitiliza.
Atoke mkoa wowote tu. Mengine tutaelezana pm.
Kwa aliye serious tu tafadhali.
Ok nipo hapa niko dar nicheck whatsapp 0717262911 ommyUpweke umenichosha, nahitaji boyfriend kama tukielewana, tufunge ndoa takatifu Kwa wakati sahihi.
Mume wa mtu haitajiki.
Umri uwe 28 mpaka 30..
Awe na kazi au kitu anachoshughulika nacho kumuingizia kipato.
Asiwe mrefu kupitiliza.
Atoke mkoa wowote tu. Mengine tutaelezana pm.
Kwa aliye serious tu tafadhali.
🤣🤣🤣🤣 Ah nilizama pm mweee!! Nilivyomwambia tuu mie bodaboda na maomgezi yaliishia hapo hapo.uzi utakua ni batili bila reply ya mzabzab 😅👏🏾
Mnatucheka sie makapuku eeh...aya bwana ngoja tuzisake tukizipata tutaanza na sie kufanya yale ya waarabu wa dubai😅😅😅😅😅
Hii comment itasomwa ktk kikao cha majobless jumatatu.Ukisoma comments jobless mapovu yanawatoka [emoji1787],
Wakati mpo chuo mlikua mnawang'oa kwa Wali Maharage na Mihogo ya Buku, mmekuja Kitaa kila Mwanamke kigezo AWE NA KITU KINACHOMUINGIZIA KIPATO [emoji23][emoji23]
Vijana, Tafuteni HEEEEEEEEEEEE......LAAAAAAAAAAAAA.
Akipata mwanaume humu.Alete mrejesho.Ukisoma comments jobless mapovu yanawatoka [emoji1787],
Wakati mpo chuo mlikua mnawang'oa kwa Wali Maharage na Mihogo ya Buku, mmekuja Kitaa kila Mwanamke kigezo AWE NA KITU KINACHOMUINGIZIA KIPATO [emoji23][emoji23]
Vijana, Tafuteni HEEEEEEEEEEEE......LAAAAAAAAAAAAA.
Mnatuonaga wanaume mazoba sana.Upweke umenichosha, nahitaji boyfriend kama tukielewana, tufunge ndoa takatifu Kwa wakati sahihi.
Mume wa mtu haitajiki.
Umri uwe 28 mpaka 30..
Awe na kazi au kitu anachoshughulika nacho kumuingizia kipato.
Asiwe mrefu kupitiliza.
Atoke mkoa wowote tu. Mengine tutaelezana pm.
Kwa aliye serious tu tafadhali.
[emoji1]Upweke umenichosha, nahitaji boyfriend kama tukielewana, tufunge ndoa takatifu Kwa wakati sahihi.
Mume wa mtu haitajiki.
Umri uwe 28 mpaka 30..
Awe na kazi au kitu anachoshughulika nacho kumuingizia kipato.
Asiwe mrefu kupitiliza.
Atoke mkoa wowote tu. Mengine tutaelezana pm.
Kwa aliye serious tu tafadhali.
😂😂😁🙄🙄😀😬