Upweke umenichosha, nahitaji boyfriend

Upweke umenichosha, nahitaji boyfriend

Upweke umenichosha, nahitaji boyfriend kama tukielewana, tufunge ndoa takatifu Kwa wakati sahihi.

Mume wa mtu haitajiki.
Umri uwe 28 mpaka 30..
Awe na kazi au kitu anachoshughulika nacho kumuingizia kipato.
Asiwe mrefu kupitiliza.
Atoke mkoa wowote tu. Mengine tutaelezana pm.
Kwa aliye serious tu tafadhali.
Mimi nakutakia kila la heri. Maana kupitia hivi vigezo vyako, nimejiona sitoshi.
 
Upweke umenichosha, nahitaji boyfriend kama tukielewana, tufunge ndoa takatifu Kwa wakati sahihi.

Mume wa mtu haitajiki.
Umri uwe 28 mpaka 30..
Awe na kazi au kitu anachoshughulika nacho kumuingizia kipato.
Asiwe mrefu kupitiliza.
Atoke mkoa wowote tu. Mengine tutaelezana pm.
Kwa aliye serious tu tafadhali.
Ok nipo hapa niko dar nicheck whatsapp 0717262911 ommy
 
Ukisoma comments jobless mapovu yanawatoka [emoji1787],
Wakati mpo chuo mlikua mnawang'oa kwa Wali Maharage na Mihogo ya Buku, mmekuja Kitaa kila Mwanamke kigezo AWE NA KITU KINACHOMUINGIZIA KIPATO [emoji23][emoji23]

Vijana, Tafuteni HEEEEEEEEEEEE......LAAAAAAAAAAAAA.
Hii comment itasomwa ktk kikao cha majobless jumatatu.
 
Hua hakikosekani kigezo cha kunitoa knock out. Leo ni urefu
 
...
JamiiForums2014152030.jpg
 
Ukisoma comments jobless mapovu yanawatoka [emoji1787],
Wakati mpo chuo mlikua mnawang'oa kwa Wali Maharage na Mihogo ya Buku, mmekuja Kitaa kila Mwanamke kigezo AWE NA KITU KINACHOMUINGIZIA KIPATO [emoji23][emoji23]

Vijana, Tafuteni HEEEEEEEEEEEE......LAAAAAAAAAAAAA.
Akipata mwanaume humu.Alete mrejesho.

Wanawake tafuteni hela zenu.

Aseme atanafuta ajira ieleweke. Na siyo upwekee umemchosha[emoji28][emoji28]

Na akiliwa kimasihara,Uzi wa rikiboy uko wazi asisahau kutuwekea comment sisi wasomaji[emoji1]
 
Upweke umenichosha, nahitaji boyfriend kama tukielewana, tufunge ndoa takatifu Kwa wakati sahihi.

Mume wa mtu haitajiki.
Umri uwe 28 mpaka 30..
Awe na kazi au kitu anachoshughulika nacho kumuingizia kipato.
Asiwe mrefu kupitiliza.
Atoke mkoa wowote tu. Mengine tutaelezana pm.
Kwa aliye serious tu tafadhali.
Mnatuonaga wanaume mazoba sana.
Unafikiri kwanini mwanaume aje gizani na hajui aina ya mwansmke?
Weka sifa zako hadharani utapata mume fasta.
Nakusaidia tu ujazie nyama but mimi sihitaji
 
Mie niwe mkweli tu, mimi ni MUME WA MTU.

Ila nawe si mtu, basi ndio hivyo hivyo tena, mimi ni MUME WA MTU
[emoji23][emoji1787][emoji23]
 
Ifike mahalo tuwe wastaarabu Kwa kweli... wengine wana'comment'' hovyo Sana!!
 
Upweke umenichosha, nahitaji boyfriend kama tukielewana, tufunge ndoa takatifu Kwa wakati sahihi.

Mume wa mtu haitajiki.
Umri uwe 28 mpaka 30..
Awe na kazi au kitu anachoshughulika nacho kumuingizia kipato.
Asiwe mrefu kupitiliza.
Atoke mkoa wowote tu. Mengine tutaelezana pm.
Kwa aliye serious tu tafadhali.
[emoji1]
JamiiForums-19372771.jpg
 
Awe na kazi au kitu anachoshughulika nacho kumuingizia kipato
 
Back
Top Bottom