Bella Ciao
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 1,804
- 4,461
Oohh.. Hao 40 to 55 wenyewe wanataka 20-30.. Bora na wewe ufanye ivo ivoBado haifai, ben40'
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oohh.. Hao 40 to 55 wenyewe wanataka 20-30.. Bora na wewe ufanye ivo ivoBado haifai, ben40'
Mimi pia nina miaka 43 wewe una 23....kuna ugumu gani wa kuniamkia hapo?Wewe una umri gani hadi nikusalimie?
Mwenzio ana 40...ndiyo ameeanza maisha.
Unadhani miaka inahesabiwa kama maembe siyo!...Mimi pia nina miaka 43 wewe una 23....kuna ugumu gani wa kuniamkia hapo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaiyo bora unendelee kuwa mpweke?Dooh! Hapana kabisa
Unadhani miaka inahesabiwa kama maembe siyo!...
Nitakuamkia kitandani tu.
Unaninyima nini?
Unajinyima vinono wewe.... compromise.Hujakidhi vigezo
Asante kwa maneno yako mazuriii.Mungu akupe hitaji la moyo wako maisha ya furaha Sana ukiwa huna upweke
Ninge Kuja ila Sina sifa walio na sifa jaman mke hiyoo
Sent using Jamii Forums mobile app
What does tigirai mean?Daby (tigirai)
Bora hata ulivyorudisha hili jina la ID hiii
Kuwa mpole sasa....kuamkiana waamkiane wenye vya kunyimana.
[emoji16][emoji16][emoji16] mimi mbona hata sijui kushushua jamaniBora hata ulivyorudisha hili jina la ID hiii
lile la mwanzo lilikua ni vurum vurum machon mwangu
sema nikawa najinyamazia tu usije nishushua bure.