Upweke umenichosha nahitaji mwanaume mwenye 43-55

Upweke umenichosha nahitaji mwanaume mwenye 43-55

Mlipokuwa mkitongozwa wakati mna miaka 20-30 ulikuwa bize kutupiga chini na kutubanjua kama mashine za kubangua korosho.


Tunakuomba upambane na Hali yako na iwe fundisho kwa wadogo zako wa kike hapa jf kuwa mwanamke umri ni ukuta ...


Hakuna mwanaume wa umri huo asie na familia, hapa utaishia kugongwa mpaka uote mvi. Labda upate mwanaume aliefiwa na mke, otherwise jiandae Kupigwa mashine dadeki...





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mlipokuwa mkitongozwa wakati mna miaka 20-30 ulikuwa bize kutupiga chini na kutubanjua kama mashine za kubangua korosho.


Tunakuomba upambane na Hali yako na iwe fundisho kwa wadogo zako wa kike hapa jf kuwa mwanamke umri ni ukuta ...


Hakuna mwanaume wa umri huo asie na familia, hapa utaishia kugongwa mpaka uote mvi. Labda upate mwanaume aliefiwa na mke, otherwise jiandae Kupigwa mashine dadeki...





Sent using Jamii Forums mobile app
Negativity ni sumu, usijali mkuu take it easy.
 
Back
Top Bottom