Bella Ciao
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 1,804
- 4,461
Hiyo kuchagua chagua ndio ilikufanya adi ukafikisha 40.. Mapenzi hayachagui[emoji28][emoji28]Nina imani nitapata.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo kuchagua chagua ndio ilikufanya adi ukafikisha 40.. Mapenzi hayachagui[emoji28][emoji28]Nina imani nitapata.
Kwa hiyo asichague achukue tu mizigo?Hiyo kuchagua chagua ndio ilikufanya adi ukafikisha 40.. Mapenzi hayachagui[emoji28][emoji28]
Unamaanisha nayeye afanye vice versa mkuu?Ukafanikiwe hitaji la moyo wako. Japo hao wa 40-45 wanataka vibinti 20-30
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaiyo unafananisha mapenzi na ng'ombe au mnada?[emoji41][emoji41]Hata ng'ombe mnadani huwa tunachagua.
Kwaiyo ukipata huyo mwanaume ndio utakuwa umechagua li-ng'ombe lako?[emoji26]Hata ng'ombe mnadani huwa tunachagua.
Negativity ni sumu, usijali mkuu take it easy.Mlipokuwa mkitongozwa wakati mna miaka 20-30 ulikuwa bize kutupiga chini na kutubanjua kama mashine za kubangua korosho.
Tunakuomba upambane na Hali yako na iwe fundisho kwa wadogo zako wa kike hapa jf kuwa mwanamke umri ni ukuta ...
Hakuna mwanaume wa umri huo asie na familia, hapa utaishia kugongwa mpaka uote mvi. Labda upate mwanaume aliefiwa na mke, otherwise jiandae Kupigwa mashine dadeki...
Sent using Jamii Forums mobile app