Upweke umenichosha nahitaji mwanaume mwenye 43-55

Upweke umenichosha nahitaji mwanaume mwenye 43-55

Great thinkers wapozidi kupoteza hapa JF inasikitisha (ngoja nimtetee Kidogo.Unaweza kuta alishaolewagwa au Hata kuzaa au vyote Bht mbaya mi.e akafa au yakamkuta ya kumkuta.Usijifanye Jiniasiiii wa Maisha.Kabla hujafa hujaumbika.Dada vitoto vya JF vinavyosubiri mkopo wa Chuo visikukatishe Tamaa.Kwa jina la Yesu utapata
Mlipokuwa mkitongozwa wakati mna miaka 20-30 ulikuwa bize kutupiga chini na kutubanjua kama mashine za kubangua korosho.


Tunakuomba upambane na Hali yako na iwe fundisho kwa wadogo zako wa kike hapa jf kuwa mwanamke umri ni ukuta ...


Hakuna mwanaume wa umri huo asie na familia, hapa utaishia kugongwa mpaka uote mvi. Labda upate mwanaume aliefiwa na mke, otherwise jiandae Kupigwa mashine dadeki...





Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amani kwenu wakuu, upweke umenikalia kooni naona siwezi kustahimili tena, upweke ni mbaya saaaana haungalii umesoma, una pesa au hauna, umeumbika kama zebra au vinginevyo, upweke unaumizaaaa.

Mimi ni mwanamke 40yrs nahitaji mwanaume ambaye nae ana uhitaji kama wangu ila awe mkristo. Usaili mwingine tutafanyiana PM.
Wahenga karibuni only kwa walio serious tafadhali. Asante
Sijafika miak hiyo ila mm pia nahitaj mwanamke kama utaona Ni sawa tukaonan na ku discuss na kuweka mbali miaka itakuw vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilidhani hapa kuna Great thinkers only. Sasa alifiwa au akipata changamoto why asisake mwenzangu what is wrong with that .Hata kama hakufiwa au situation imemkuta with different reason kos gani kafanya ??kaka jiangalie kama kichwani upo vyema.
Endelea kusema negativity huo ndio ukweli , wakati mkiwa mnang'aa mlikuwa hamkamatiki.. ukitokewa na mwanaume serious unaishia kutaka sifa za tamthilia za kifilipino. Leo mnakuja kulialia hapa mnataka wazee wetu ili mle pension zao za kustaafu... Ishieni huko huko

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akiliwa wewe Wewe waumia?au mnajuana Na Huyu Dada.Kiukweli unaboa .Sidhani kama umri Ni tatizo Yeye anataka kampani.Na kama Wewe Sio mhusika is better ukaangalie jukwaa la mapishi ukajifunze Hata kupika Vitumbua.Mbona unamkera MTU ambaye hujui Hata mambo yaliyomkuta?au umeitwaa kwa page yake.Bwana subiri mkopo wa Chuo ukikua Ndo uje hapa
Domo zege nenda ukaliwe pension yako

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Advice of the year
Mwenyezi Mungu akupe haja ya moyo wako @ Dada!

Funga kwa 30-40 days futuru jioni saa 12 na kuendelea.

Weka nia kusudia unachotaka Mungu akupe!

Hali hiyo ianzie ndani ya moyo wako bila kushinikizwa na mtu!

Msihi Mungu akupe mume mwema ambayo unataka aweje.

Ambaye mtasikilizana, ambaye hatakuwa na michepuko , mwenye huruma , mwenye kuwajibika n.k


Halafu iwe siri yako usimwambie mtu kuwa umefunga sababu ya kitu fulani.

Mungu anapenda usiri wakati mwingine.




Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fool of the year. HUWA najiulizaga huwa ni Lazima umkere MTU Hata kama hajakukosea.Kwani ungepita kimya ungepungukiwa?Basi hujatembea Wewe wapo wana wake kwa wanaume wenye umri huo Na wanaoana .Research zinaonyesha wazi.Na what's wrong with that anyway.... .foolish little boy
Yaan ukweli miaka 40 umri umeenda sana.

Kifupi huna upweke ni stress ndio zinakusumbua kichwani

Wazee wenye 43 kuendelea wanawatoto wako hadi university wako bize kusomesha kuwapata nadhan itakuwa ngumu kidogo labda kama unataka kupotezewa muda.

Advice ninayoweza kukupa kama unafamilia jaribu kuwekeza nguvu zako zote hapo.

Kama huna mtoto jaribu kutafuta kwa njia zote uweze kupata fasta maana umebakiza miaka 3 ufikie menopause. majukumu ya kulea ndio yatakuondolea upweke.

Kama utakuwa unania ya kupata mtoto PM yangu iko wazi unaweza ni fuata tukayajenga japo umenizidi miaka kibao.




Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani Vitoto vya JF vimevamia jukwaa.MTU anayokwa povu kama mlrta made alimuulia mama yake Mzazi.Aiseee its a pity. Pia ukosefu wa Elimu.Na ujinga
Watu bana mtu kaanzisha uzi kutafuta mtu, matokeo yake watu wanaleta ushauri na wengine kuleta judgment zisizo na maana...

Kumbuka kila mtu ana maisha yake na maisha yako yanaweza kuwa perfect kwako na sio kwa mwingine.., tusipende kuwapangia watu jinsi ya kuishi...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
What.!!!!!!Jamani kwani kumbe kuchelewa kuolewa Hata kulifiwa au yalikukuta Ni kosa?Ebu achen ujinga
Ulivyokuwa binti umetombesha weee ukawa unatongozwa unaleta nyodo sasa ushakuwa bibi ndo unakumbuka kuolewa.

Pambana na hali yako tu huku mtandaoni hakuna waoaji kuna wasafisha rungu tu.

Sent using Rocket Propelled Grenade

Sent using Jamii Forums mobile app
 
..............Ulipokuwa kwenye 20's aah utasema hutazeeka ulivyokuwa unawakaushia wana mtaani sasa upo hapa unahangaika kuwatafuta wakati wao saizi wanawaza kusomesha watoto wewe unataka muanze maisha,labda ukutane na aliyepata bahati mbaya akampoteza mkewe..

Nia siyo kukukwaza ila nataka kuwaambia wadogo zako watakaopita kwenye huu uzi wako waangalie sana hatua zao kuna umri sahihi wa kutafuta mwenza waujue mapema wasije kuishia kama hii wewe.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Mkuu, mbona hajasema chanzo cha upwele wake?
labda ni mjane!
 
..............Ulipokuwa kwenye 20's aah utasema hutazeeka ulivyokuwa unawakaushia wana mtaani sasa upo hapa unahangaika kuwatafuta wakati wao saizi wanawaza kusomesha watoto wewe unataka muanze maisha,labda ukutane na aliyepata bahati mbaya akampoteza mkewe..

Nia siyo kukukwaza ila nataka kuwaambia wadogo zako watakaopita kwenye huu uzi wako waangalie sana hatua zao kuna umri sahihi wa kutafuta mwenza waujue mapema wasije kuishia kama hii wewe.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Acha kukariri na kuhukumu mkuu, unajuaje kama hiyo 20s yake alikuwa hivyo? Vitu vingine sio lazima kutia kashfa, ukimtakia kheri tu inatosha
 
Fool of the year. HUWA najiulizaga huwa ni Lazima umkere MTU Hata kama hajakukosea.Kwani ungepita kimya ungepungukiwa?Basi hujatembea Wewe wapo wana wake kwa wanaume wenye umri huo Na wanaoana .Research zinaonyesha wazi.Na what's wrong with that anyway.... .foolish little boy

Sent using Jamii Forums mobile app

Sending love.
 
Hivi 43 na 34 zote si sawa tu!!? Hatuwezi kuifanya 34 kuwa 43 kama watu wanabadili mpaka dini!? Ndio tushindwe namba bibie!!


[emoji23]🤣
 
Back
Top Bottom