Kwenye harakati tulikula mzinga wa haja na wenzangu wawili waka fariki dunia.Nini shida nikuletee matunda
sasa unajihisi mpweke, unaitwa PM kwa watoa upweke hutaki ushasikia wapi upweke unatolewa sebuleni?HEllow
Naumwa na upweke sina friend kipindi hiki nawezaje kuondokana na upweke?
Weeee pole sana mkuuKwenye harakati tulikula mzinga wa haja na wenzangu wawili waka fariki dunia.
Mungu aliniokoa ingawa nilipoteza faham kwa masaa kadhaa, lakini matokeo ya pale nilipata fracture kwenye mguu na mfupa wa bega ulivunjika na kutoka eneo lake mnaita "clavicle"
Nilipata matibabu kwenye hospital moja ya rufaa yenye bingwa wa mifupa, kwasasa natumia "figure of 8 bandage" pia "hand sling bandage".
I'm doing good mkuu na asante kwa kujali pia...π
Pole sana mkuu,Kwenye harakati tulikula mzinga wa haja na wenzangu wawili waka fariki dunia.
Mungu aliniokoa ingawa nilipoteza faham kwa masaa kadhaa, lakini matokeo ya pale nilipata fracture kwenye mguu na mfupa wa bega ulivunjika na kutoka eneo lake mnaita "clavicle"
Nilipata matibabu kwenye hospital moja ya rufaa yenye bingwa wa mifupa, kwasasa natumia "figure of 8 bandage" pia "hand sling bandage".
I'm doing good mkuu na asante kwa kujali pia...π
Asante sana mkuu...πPole sana mkuu,
Njoo pm iko wazi nikutoe upwekeHEllow
Naumwa na upweke sina friend kipindi hiki nawezaje kuondokana na upweke?
π€£unabidii ya ku type siku hiz na sio ku like tena,au cm mna share saivπ
Una Upweke au UpwiruuHEllow
Naumwa na upweke sina friend kipindi hiki nawezaje kuondokana na upweke?
Jimilikishe mpweke mwenzako mieHEllow
Naumwa na upweke sina friend kipindi hiki nawezaje kuondokana na upweke?
πKuna ile wanasema "mwanamke ndoa anaitaka ila hataki kutoa namba kwa wanaume"
π ajichanganye ajuteKuna ondoa upweke kwa mudaπ€£π€£π€£π€£ ikifuatia kukimbia idπ€£π€£π€£
Pole sana mkuu, upone haraka.Kwenye harakati tulikula mzinga wa haja na wenzangu wawili waka fariki dunia.
Mungu aliniokoa ingawa nilipoteza faham kwa masaa kadhaa, lakini matokeo ya pale nilipata fracture kwenye mguu na mfupa wa bega ulivunjika na kutoka eneo lake mnaita "clavicle"
Nilipata matibabu kwenye hospital moja ya rufaa yenye bingwa wa mifupa, kwasasa natumia "figure of 8 bandage" pia "hand sling bandage".
I'm doing good mkuu na asante kwa kujali pia...π
Asante sana mkuu, ingawa maumivu ni makali sana...πPole sana mkuu, upone haraka.
Pole sana mkuu, yatapungua kadri unavyozidi kuimarika kwa kupata nafuu.Asante sana mkuu, ingawa maumivu ni makali sana...π
Asante kwa kujali mkuu...πPole sana mkuu, yatapungua kadri unavyozidi kuimarika kwa kupata nafuu.
Tupo pamoja mkuuAsante kwa kujali mkuu...π